Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 17,694
- 17,131
- Thread starter
- #21
Unaniuliza Mimi au majeruhi?!Inaonyesha una msimamo sasa kuwa mkweli mpaka kwa umri huo umetafunwa na wangapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaniuliza Mimi au majeruhi?!Inaonyesha una msimamo sasa kuwa mkweli mpaka kwa umri huo umetafunwa na wangapi?
Wanaume mmeishaUtajah tu
Yaa ndio siri ya u tajiriKwahiyo mnafupisha uchumba ili muwe matajiri sio??
Nakuuliza weweUnaniuliza Mimi au majeruhi?!
Naona utakufa na hamu zakoYaa ndio siri ya u tajiri
Are you buying any?!WTF is this!? You selling something?
Mimi sio muhusika wa malalamiko Mimi mtoa madaNakuuliza wewe
Ukiisha liwa umeliwa tu hakuna cha kuliwa kilaini.JINSI YA kutokuliwa kilaini
Ndio unajifariji ee?Ukiisha liwa umeliwa tu hakuna cha kuliwa kilaini.
AnajiuzaMoral of the story.
Jiuze na wewe kama NI rahisiAnajiuza
Ongea na moderators wafungue jukwaa la sense uanzishe uzi tuje Tu commentHata kama ni jukwaa la mapenzi ila kuna mademu wanazingua 24/7 talking about love and relationships affairs is nonsense.