lordchimkwese
JF-Expert Member
- Nov 16, 2015
- 1,914
- 3,356
[emoji23][emoji23][emoji23]usifanye masihara na biashara ya watu. siku nyingine ukienda kwenye hilo eneo uwe serious....utakuja kupigwa, heshimu ofisi ya mtu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23]usifanye masihara na biashara ya watu. siku nyingine ukienda kwenye hilo eneo uwe serious....utakuja kupigwa, heshimu ofisi ya mtu.
Chimbo la mnazi mmoja kisutu unalijuaKwa Dsm sehemu ambayo sijafika ni Machimbo ya Tandika, Tegeta na Manzese, ila kwingine kote nimeshapita.
nilikua kwa demu wangu ,baadae mfadhili wake kasema anakuja nikaona nisije kulambwa shaba ya kiuno maana alichepuka tu kuja kwangu,Kuna mtaa umetengwa maalumu kwa kaz hio tu ??
Kazame chumvini kwa wa elf nne nne kwanza halafu rudi kwa mkeo uzame.Kwani harufu ya K ya mwanamke anayetumika sana na asiyetumika sana n tofauti [emoji1787][emoji1787][emoji1787] tuanzie hapo kwanza [emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
Umetisha sana mjuba.Wakati unachochea, ndom ikipasuka, Utajilaumu sana.
Unaweza taka ukajitolee kuwa mpishi kwenye maabara wanayofanya tafiti ya dawa ya ngoma. Ili uwe unawakumbusha "changamkeni jamani"
huo ni ukweli kabisa....Achana na buku 4 , hyo hyo dem unaeza jichanganya na usijuw anauza , ukamtongoza kistaarab, akachomoa,ukaanza kumhonga , na ukikaa kiboya Zaid unaweza usimle mzigo na akakulia hela zako , na ndo huyo hyo usiku wa buku nne , akakupeleka Kansan kujifanya mcha mungu ili kukutia kwenye ring, na ukijichanganya unaoa...hapa nlipo panga mtt wa mwenye nyumba anadanga juz kat kajifanya anaumwa na Kuna njemba ikaja kumuona , akaazima chumba Cha mpangaj mwingine kujifanya ndo geto lake ,njemba imepigwa kama lak tat za matibab, ...kiufupi hwa madem hawana alama ,na haya mambo hayana formula, hata mm na uzoef wangu naweza nikapigwa vile vile, ...
Acha nitafte passport hio chochoro inanifaa sananilikua kwa demu wangu ,baadae mfadhili wake kasema anakuja nikaona nisije kulambwa shaba ya kiuno maana alichepuka tu kuja kwangu,
nikatimua ndio baada kukatiza mitaa kibao nikienda hotelini kwangu nikakutana na hiyo balaa.
ni chochoro moja hivi barabarani wamejipanga ,pembeni huko watu wamepanga mstari wanapigana miti tu. nawewe ukitaka unahama tu unamkunguta wa mwengine pembeni hapo na mwengine na mwengine dola 5 tu unaongeza utakula mbunye hata 20
Mnazi mmoja sehemu gani ?Chimbo la mnazi mmoja kisutu unalijua
Nafuu ya wahaya over hawa wanaosimama mabarabarani ni ipi ?Isha mkuta jamaa yangu hiyo.
Yeye alipelekwa geto Kuna wawili wanakula mzigo Ila mmoja anapiga simu mtandao wa tiGO. Chumba kinanika ova choo Cha kiswahili vile ambavyo watu hawatumii maji.Jamaa yangu kuona vile akasema hela kaa nayo ntakuja hao wakimaliza.
Ameapa Bora kwenda kwa wahaya Kuna privacy japo nako wakati wa kutoka Ni mtihani Kama Ni mchana
Mhaya inaingia gheto kwake na anafunga mlango mnainjoi mpaka unapona.Nafuu ya wahaya over hawa wanaosimama mabarabarani ni ipi ?
Acha maneno yako wewe.Kwa Dsm sehemu ambayo sijafika ni Machimbo ya Tandika, Tegeta na Manzese, ila kwingine kote nimeshapita.
Ila wote ni hatari dangerMhaya inaingia gheto kwake na anafunga mlango mnainjoi mpaka unapona.
Wabarabarani mnakwenda kwa babu kwa malipo ya jero au buku na hakuna privacy.
Hakuna kitu kama hicho,kuna mademu wa pesa tofauti tofauti na viwango pia.madem wa elf 4 wengi wanakuwa na hivyo vijumba vyao na hiyo elf 4 huwa ni kwa bao 1,ukienda bao la 2 unaongeza hela nyingine.Nasisitiza Dem wa lak huenda ni WA buku nne , huenda ni dadaake na machiz tuliosoma nao
Sijafika, unasemaje sasa ?Acha maneno yako wewe.
Umeshafika mkund* buku Buza?
Hakuhalalisha lakini hiyo biasharaWatu wengine vichwa venu vigumu sana kuelewa,biashara ya uchangudua ipo toka kipindi cha Yesu-Yesu mwenyewe alisafishwa miguu na machozi ya changudua.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uwekewe ulinzikweli mzee atutajie tukienda mm namchukua monica wewe nakuachia huyo mwenye matako makubwa alomsusa jamaa