Nilichotendwa Tabora huku Ng'ambo sina hamu tena!

Nilichotendwa Tabora huku Ng'ambo sina hamu tena!

Kwa nini wewe unaumia kwa pesa yangu?
emoji16.png

Ulitaka nikupangishie wewe? Sometimes its better to mind your own business ...take your shit advice and shove it up your as*. Pesa yangu,ubwege wangu,kuibiwa nimeibiwa mimi,uzi wangu,nmeandika mimi.... Wewe tu unaumia for nothing ambacho kinakuhusu. Bas njoo wewe pia nikulipie halafu uni cheat...
emoji23.png

binadamu mna wivu na chuki. Unamwonea wivu jimama na kutamani ningekufanyia hivyo.halafu unanichukia mimi kwa kutokukubali😁😁😁😁

Kwa kusoma comments zako nimegundua bado utoto na ujinga vinakutawala.
 
Kwa nini wewe unaumia kwa pesa yangu?
emoji16.png

Ulitaka nikupangishie wewe? Sometimes its better to mind your own business ...take your shit advice and shove it up your as*. Pesa yangu,ubwege wangu,kuibiwa nimeibiwa mimi,uzi wangu,nmeandika mimi.... Wewe tu unaumia for nothing ambacho kinakuhusu. Bas njoo wewe pia nikulipie halafu uni cheat...
emoji23.png

binadamu mna wivu na chuki. Unamwonea wivu jimama na kutamani ningekufanyia hivyo.halafu unanichukia mimi kwa kutokukubali😁😁😁😁

Sorry, ila kweli una ushamba flani wa kisukuma sukuma hivi

Unaenda mahali tena Boss mzima humfahamu vizuri manzi, hujamchunguza hata kidogo tayari unamkodia chumba & full furnished, kama ni Malaya na umezidiwa si ungemalizana nae lodge huko?

Unapasua TV ndio ilikutuma umtafute huyo Malaya?

SWALI : Mfano huyo Malaya angekupasulia chupa ya bia kichwani au huyo jamaa uliyemkuta ndani angechukua tu kisu akuchome kwa kujihami, je wenzako na jamii ingekuonaje?

Think Beyond.
 
Ukiamua kukaa na malaya mpaka kufikia kujifanya umekuws USAID basi ukianza kutaka kuonana nae au kwenda kambi uliyompangia hakikisha unampa taarifa masaa kuanzia 12 kabla kuepusha mabalaa! Maana hapo ungeweza hata kudhuru mtu ukajikuta umekosa mwana na maji ya moto,jela hiyoooooo!!!
 
Back
Top Bottom