Nilichukua balo la mizura niuze kipindi cha baridi, aisee nilikuta mizura yote ni ya Father Christmas

Nilichukua balo la mizura niuze kipindi cha baridi, aisee nilikuta mizura yote ni ya Father Christmas

Hapo kwenye mabalo ya Nguo avha kabisa.

Mwaka nimefungua Balo la gauni za kike kutoka uturuki, Nikakutana na nguo za wa palestina na Israel tena zina damu na moshi wa mabomu. Sahivi nipo kwenye kilimo
Kilimo cha matikiti Whattsapp? Subiri kilio chako.
 
Kilimo cha matikiti Whattsapp? Subiri kilio chako.
KIlimo nacho kimenishinda
Nilipata changamoto ya kifedha iliopelekea nimuazime mkulima mmoja mbegu za matikiti, Nashukuru alinipatia
Baada ya mvua kubwa ilionyesha kuanzia mwezi wa 4 mwaka huu nikawa nimepanda mbegu hizo.
Nacho shangaa mazao yanayochipua ni Matango Pori

Nimeamua kufungua kanisa..
 
Hapo kwenye mabalo ya Nguo acha kabisa.

Mwaka nimefungua Balo la gauni za kike kutoka uturuki, Nikakutana na nguo za wa palestina na Israel tena zina damu na moshi wa mabomu. Sahivi nipo kwenye kilimo
Hahaha.....we unaweka utani sasa
 
Ilikuwa ni mwezi wa sita nilichukua balo la mizura niuze kipindi cha baridi, aisee nilikuta mizura yote ni ya father christmas.

Yaani yote ni aina moja father christmas, na biashara ikaishia hapo hapo, nikapaki tu ndani , yani ikifika kipindi cha siku kuu nagawa kidogo kidogo mingine naacha hadi inanitia uvivu.
mwezi wa 12 utauza tu
 
Ilikuwa ni mwezi wa sita nilichukua balo la mizura niuze kipindi cha baridi, aisee nilikuta mizura yote ni ya father christmas.

Yaani yote ni aina moja father christmas, na biashara ikaishia hapo hapo, nikapaki tu ndani , yani ikifika kipindi cha siku kuu nagawa kidogo kidogo mingine naacha hadi inanitia uvivu.
Ikifika December utapiga pesa mkuu ,vuta subira.
 
Back
Top Bottom