Nilichukua maamuzi magumu

[emoji1696]

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
 
Mm idd Amin dada na mobutu seseseko walikuja kwangu kwa nyakati tofauti kupata internship ya ukauzu kwa mambo kama haya

Nikupe hongera ukiona anakusumbua kwa namba nyingne mualike chakula Cha mchana mwekee na sumu afe kabisa
Mimi Ni mdoko wake idd Amin
 
Mi wala huwa sihangaikagi na kublock.
Naacha tu kiwasiliana nae, status tunaview kama kawa zangu anaview zake akipost naview kiroho safi kabisa.

Mwisho wa siku kila mtu anamove on bila taarifa ya kuachana rasmi kublockiana wala maneno machafu.

Hii ni mbinu ya kibaharia ili uje kupasha kiporo, yani kifupi huwa siachani rasmi na manzi hata akinikosea mi ntamkaushia kiivo tu.
 
Ukianza kuact kama Alpha male ndyo utajua mbona ulikuwa wapi mda wote huo yani mizani ya upendo ikiwa sawa wala huoni shida na mnaelewana sana.
 
Haina tofaut na ya kwangu mimi hata miez mi2 haikuisha nikamute mana siez bembeleza mtu asiejielewa
 
Ukianza kuact kama Alpha male ndyo utajua mbona ulikuwa wapi mda wote huo yani mizani ya upendo ikiwa sawa wala huoni shida na mnaelewana sana.

Hutakiwi ku act,, unapaswa kuwa hvyo siku zote...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…