Restless Hustler
JF-Expert Member
- Apr 9, 2017
- 5,150
- 20,025
- Thread starter
- #61
Madam nimepitia magumu lakini Sina ulemavu wowote hivyo naamini nitashindaJamani kuna watu wamepitia mateso grade A ..pole sana aise
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Madam nimepitia magumu lakini Sina ulemavu wowote hivyo naamini nitashindaJamani kuna watu wamepitia mateso grade A ..pole sana aise
Mindsets za mitandao ya vijana waliokosa adabu ya vinywa vyao zinahamishiwa huku kwa watu wazima wanaotanguliza akili kabla ya neno......shida ndio inaanzia hapo......Tatizo la JF kila mtu anataka kujulikana ni expert member, Hata Kama hana hoja
Mkuu hapa sijakufuata wewe halafu nipo kabla yako, kwanza member mwenyewe kwangu bado mchanga.Mbona sijakuita Hapa! nimeamua kuandika uongo wangu kwa Bundle langu. Shida yako Nini?!
I'm inspired [emoji172][emoji1545]Pili Hakuna matatizo mapya duniani KILA tatizo lishawahi pitiwa na wengine na yakapita.
Wengine tulikuwa tunawalinda walio lala ndani leo tunalindwa tumelala ndani
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1535]Pole mkuu,endelea na mkasa. Achana na masnitch!
Nimependa sana sentensi hii..HUNA ULEMAVU NA UTASHINDA YOU ARE ENOUGHMadam bnimepitia magumu lakini lakini Sina ulemavu wowote hivyo naamini nitashinda
[emoji776]Endelea Mkuu! Tunamengi ya kujifunza ktk story yako!
[emoji172][emoji256][emoji256]Nimependa sana sentensi hii..HUNA ULEMAVU NA UTASHINDA YOU ARE ENOUGH
hebu tupishe bwana weeeMkuu hapa sijakufuata wewe halafu nipo kabla yako, kwanza member mwenyewe kwangu bado mchanga.
Na JF siyo ya babako. Kwenye jukwaa nilikuwepo kabla yako shahidi mamayako utanieleza Nini!!?
Haiwezekani eh!Anyway, sisemi story ni ya uongo. Wala sipo hapa kumpa changamoto Msimuliaji.
Lakini, hebu twende taratibu.. Umetoka dukani, kijana from nowhere akakupiga teke.. Ukampiga teke la kifua, akaanguka. Ukaokota jiwe unatoka kumpiga jiwe la kichwa!.. Ustadhi akatokea.
Mhmhhm!.. Tuendelee.
inaweza kuwa ngumu ila kuna siku kwenye mwendokasi niligundua watu wana stress mnoAnyway, sisemi story ni ya uongo. Wala sipo hapa kumpa changamoto Msimuliaji.
Lakini, hebu twende taratibu.. Umetoka dukani, kijana from nowhere akakupiga teke.. Ukampiga teke la kifua, akaanguka. Ukaokota jiwe unatoka kumpiga jiwe la kichwa!.. Ustadhi akatokea.
Mhmhhm!.. Tuendelee.
[emoji1546][emoji1546]Moderators ebu njoeni Mara moja mnisaidie kujibizana na huyuMkuu hapa sijakufuata wewe halafu nipo kabla yako, kwanza member mwenyewe kwangu bado mchanga.
Na JF siyo ya babako. Kwenye jukwaa nilikuwepo kabla yako shahidi mamayako utanieleza Nini!!?
Mie naona inawezekana kbs...kama ulivyoandika...inawezekana kbs twna easy tuinaweza kuwa ngumu ila kuna siku kwenye mwendokasi niligundua watu wana stress mno
jamaa alikuwa anashuka kuna mtu akampush kidogo aisee yule mshukaji aligeuka akampa ngumi mmoja huyo aliemsukuma hajakaa sawa akamrukia na teke ndo watu kuingilia kati
vichwa vya watu vinatembea na mengi
pia kwa mazingira ya vijana wa ng'ombe anaweza kuwa ameanza kupuliza kidogo
Mkuu unaonekana huna unalolijua Kuhusu street boys. (I mean I was a boy by then). Mtaani ukikutwa umezubaa chalii ya kitaa anatokea tu huko alikotoka anakupiga kofi zito la sikio.. alafu anakuambia Acha kuzubaazubaa utapigwa mashua mjini hapa [emoji28]Anyway, sisemi story ni ya uongo. Wala sipo hapa kumpa changamoto Msimuliaji.
Lakini, hebu twende taratibu.. Umetoka dukani, kijana from nowhere akakupiga teke.. Ukampiga teke la kifua, akaanguka. Ukaokota jiwe unatoka kumpiga jiwe la kichwa!.. Ustadhi akatokea.
Mhmhhm!.. Tuendelee.
Sawa mkuu japo umepokea swali negatively!Tarakwa said:Hapana. Mimi Ng'urunyi.
Hata shule za msingi zilikuwepo sana hizo...Mkuu unaonekana huna unalolijua Kuhusu street boys. (I mean I was a boy by then). Mtaani ukikutwa umezubaa chalii ya kitaa anatokea tu huko alikotoka anakupiga kofi zito la sikio.. alafu anakuambia Acha kuzubaazubaa utapigwa mashua mjini hapa [emoji28]
Sawa mkuu japo umepokea swali negatively!Tarakwa said:Hapana. Mimi Ng'urunyi.