Nilidanganya kuwa mama amefariki ili nipate msaada, roho yangu inahuzunika sana

Mbona sijakuita Hapa! nimeamua kuandika uongo wangu kwa Bundle langu. Shida yako Nini?!
Mkuu hapa sijakufuata wewe halafu nipo kabla yako, kwanza member mwenyewe kwangu bado mchanga.

Na JF siyo ya babako. Kwenye jukwaa nilikuwepo kabla yako shahidi mamayako utanieleza Nini!!?
 
Anyway, sisemi story ni ya uongo. Wala sipo hapa kumpa changamoto Msimuliaji.

Lakini, hebu twende taratibu.. Umetoka dukani, kijana from nowhere akakupiga teke.. Ukampiga teke la kifua, akaanguka. Ukaokota jiwe unatoka kumpiga jiwe la kichwa!.. Ustadhi akatokea.

Mhmhhm!.. Tuendelee.
 
Haiwezekani eh!
 
inaweza kuwa ngumu ila kuna siku kwenye mwendokasi niligundua watu wana stress mno
jamaa alikuwa anashuka kuna mtu akampush kidogo aisee yule mshukaji aligeuka akampa ngumi mmoja huyo aliemsukuma hajakaa sawa akamrukia na teke ndo watu kuingilia kati
vichwa vya watu vinatembea na mengi

pia kwa mazingira ya vijana wa ng'ombe anaweza kuwa ameanza kupuliza kidogo
 
Mie naona inawezekana kbs...kama ulivyoandika...inawezekana kbs twna easy tu
 
Mkuu unaonekana huna unalolijua Kuhusu street boys. (I mean I was a boy by then). Mtaani ukikutwa umezubaa chalii ya kitaa anatokea tu huko alikotoka anakupiga kofi zito la sikio.. alafu anakuambia Acha kuzubaazubaa utapigwa mashua mjini hapa [emoji28]
 
Hata shule za msingi zilikuwepo sana hizo...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…