Mtoto wa Jadu JF-Expert Member Joined Jun 26, 2018 Posts 419 Reaction score 1,020 Sep 17, 2023 #2 Tafadhari mkuu, elezea kidogo kinachoendelea. Au unamaanisha tuweke mkazo kwenye hiyo picha?
stow away JF-Expert Member Joined Dec 5, 2022 Posts 11,073 Reaction score 21,945 Sep 17, 2023 #3 Kiulizo
kichomiz JF-Expert Member Joined Feb 28, 2011 Posts 19,257 Reaction score 12,244 Sep 17, 2023 #4 Upumbavu kama upumbavu mwingine
N nguvu JF-Expert Member Joined Jun 13, 2013 Posts 22,976 Reaction score 22,564 Sep 19, 2023 #5 Mtoto wa Jadu said: Tafadhari mkuu, elezea kidogo kinachoendelea. Au unamaanisha tuweke mkazo kwenye hiyo picha? Click to expand... Anamaanisha hao wakina obama ndio waliivamia libya kumtoa Gadafi wakati libya ikiwa nzuri yenye kila neema na kuiharibu, leo wanajidai kutoa msaada kwenye mafuriko
Mtoto wa Jadu said: Tafadhari mkuu, elezea kidogo kinachoendelea. Au unamaanisha tuweke mkazo kwenye hiyo picha? Click to expand... Anamaanisha hao wakina obama ndio waliivamia libya kumtoa Gadafi wakati libya ikiwa nzuri yenye kila neema na kuiharibu, leo wanajidai kutoa msaada kwenye mafuriko
Joannah JF-Expert Member Joined May 8, 2020 Posts 20,921 Reaction score 49,014 Sep 19, 2023 #6 Kwamba unahisi Obama anataka kutapeli wananchi πππ?