Nilidhani nimeshaona kila kitu

Nilidhani nimeshaona kila kitu

Preator

Member
Joined
Sep 1, 2023
Posts
71
Reaction score
131
IMG_8924.jpg
 
Tafadhari mkuu, elezea kidogo kinachoendelea.

Au unamaanisha tuweke mkazo kwenye hiyo picha?
Anamaanisha hao wakina obama ndio waliivamia libya kumtoa Gadafi wakati libya ikiwa nzuri yenye kila neema na kuiharibu, leo wanajidai kutoa msaada kwenye mafuriko
 
Kwamba unahisi Obama anataka kutapeli wananchi 😁😁😁?
 
Back
Top Bottom