Nilienda kwa lengo la kushauriwa nikaishia kusimangwa

Nilienda kwa lengo la kushauriwa nikaishia kusimangwa

Dah! Watu wana mbaya sana.. sio wazur hata kidogo. Mengi ukiyaongea yanabuma. Binafsi nimejionea na hili la huyu mama aliyejichanganya limenikimbiza kabisaaa. Tutaonana misibani tu
Uswahilini hata ukizungusha nyumba yako ukuta wananuna , kisa kuna umbea wanaukosa ,ndio maana mtu akijipata vizuri anajenga sehemu za kishua kila mtu na mishe zake😁
 
Amini nakwambia huyo Shangazi katembea vyema sana, na kama hukuelewa basi hutoelewa tena

Mi nilivyomuelewa
1.Kupitia hiko kibao alichokuwekea alimaanisha watu hawana muda kukaa kuanza kuyajadil yako
(Pambana na hali yako, maana watu hawajali)
2.Akakuambia ushakuwa sasa na hiyo ndio dunia, Basi huo ndio ukweli
Be strong enough, this world is not easy, but the good thing is to rely on yourself

KAMNUNULIE SODA MZEE UMPELEKEE[emoji16]
 
Dah! Watu wana mbaya sana.. sio wazur hata kidogo. Mengi ukiyaongea yanabuma. Binafsi nimejionea na hili la huyu mama aliyejichanganya limenikimbiza kabisaaa. Tutaonana misibani tu
Usijaribu kabisa kumwambia mtu hustles zako wala matatizo yako. Zaidi sana wanakusengenya na kufurahia chini ya kapeti
 
Uswahilini hata ukizungusha nyumba yako ukuta wananuna , kisa kuna umbea wanaukosa ,ndio maana mtu akijipata vizuri anajenga sehemu za kishua kila mtu na mishe zake😁
Amini kaka. Mm nina plan hii hii ya kujitafuta ushuani hata kama nitakuwa na kachumba kamoja maeneo yaliyo tulia. Na nina plan wanangu wasipitie magumu bora niwatenganishe na ukoo kabisa. Mana hizi roho naona sasa zinaota mizizi ukoo huu
 
Kwenye haya maisha watu ambao wanaweza kuwa wanakupenda Kwa dhati na kukuombea ufanikiwe ni Wazazi wako na Watoto wako tu

Hawa Ndugu na jamaa wengine tuishie kunywa nao beer tu na Kuchoma nao Kuku, kamwe usidhani wanaweza kukupenda na kutamani ufanikiwe

Mchekeshaji kutoka Nchini Kenya, Profesa Hamo huwa anasema "kwanini tubebe mizigo yako wakati Kila mtu ako na yake"
Wakenya ni heartless
 
They don't bother with someone's life

Yaani unaweza umia hapo asiwepo wa kukwambia pole

Huku Tz tunaishi poa sana, unaweza kuhudhuria Msiba hata wa mtu ambaye humjui kisa umepita njiani umekuta watu wanalia Msiba

Hayo huwezi yakuta Kenya
Bora ngumu ngumu kila mtu na mishe zake kuliko huu unafki tunaoufanya .
 
Bora ngumu ngumu kila mtu na mishe zake kuliko huu unafki tunaoufanya .
Inakuwa kama Wazungu, wenzetu kule hawajihusishi na mambo yasiyo wahusu

Ndiyo maana hata Msiba, familia inakodi Kampuni kwaajili ya kuchimba kaburi hadi kukuhifadhi

Sio kama huku kwetu ndugu na jamaa ndiyo wanachimba kaburi na kukuhifadhi
 
Inakuwa kama Wazungu, wenzetu kule hawajihusishi na mambo yasiyo wahusu

Ndiyo maana hata Msiba, familia inakodi Kampuni kwaajili ya kuchimba kaburi hadi kukuhifadhi

Sio kama huku kwetu ndugu na jamaa ndiyo wanachimba kaburi na kukuhifadhi
Tunahusisha ndugu jamaa na marafiki na bajeti ya msiba inafika dollars 1000 mpaka 2000 ,wakati marahemu alikufa kwa utapia mlo🤔🤔
 
Amini nakwambia huyo Shangazi katembea vyema sana, na kama hukuelewa basi hutoelewa tena

Mi nilivyomuelewa
1.Kupitia hiko kibao alichokuwekea alimaanisha watu hawana muda kukaa kuanza kuyajadil yako
(Pambana na hali yako, maana watu hawajali)
2.Akakuambiwa ushakuwa sasa na hiyo ndio dunia, Basi huo ndio ukweli
Be strong enough, this world is not easy, but the good thing is to rely on yourself

KAMNUNULIE SODA MZEE UMPELEKEE[emoji16]
Kamanda huchekeshi, ngumu kumeza lakini ndio uhalisia
 
Back
Top Bottom