Nilifanikiwa kukutana na bosi ya skretarieti ya ajira,.alinipa Siri ya maswali ya mitihani wanayotoa kwa Sasa! Research hawatoi Tena!

bloggerboy

JF-Expert Member
Joined
Nov 13, 2017
Posts
568
Reaction score
1,217
Nilifanikiwa kukutana na bosi ya skretarieti ya ajira,.alinipa Siri ya maswali ya mitihani wanayotoa kwa Sasa!

Moja ya Maswali wanatoa kwenye "head job tittle"

Mfano; Agric tutor-crop science
Unatakiwa usome contents zote za crop science utafaulu mitihani!

Msidanganyane na "research siku hizi hawatoi" hiyo ni kauli yake!

Mfano: unakuta KAZI inahusisha degree zaidi ya 4, hapo unachotakiwa kuangalia KAZI unayoenda kufanya inahusu degree gani Soma Sana!

Mfano mwingine: Juzi walitangaza KAZI za Liti ,moja ya watu waliotakiwa kuapply Ni Agri business, aiseee Kuna jamaa wa Agri business alipiga paper hakuona hata kimoja maswali yote yalihusu Mambo ya vet na animal science!

Pitia majukumu ya KAZI zako pia, Soma Sana muombe Mungu utafaulu tu.

Maswali ya essay: hakikisha Kila point unaelezea na kuweka underlined example,
 
Kiufupi ngoma haitabiriki siku hizi mtu usome madesa yote mkuu usipotoshe, research muhimu sana kusoma special kwa engineers
 
Kiufupi ngoma haitabiriki siku hizi mtu usome madesa yote mkuu usipotoshe, research muhimu sana kusoma special kwa engineers
Kaka,

Narudia Tena Soma kitu unachoapply,

Kama umeomba KAZI inayohusu research Soma Sana research,uliza waliotoka usaili last two weeks,watakuambia ninachosema!

RESEARCH HAWATOI TENA KAMA KAZI YAKO HAIUHUSIKU NA RESEARCH, WAMELALAMIKIWA SANA NA WADAU
 
Hii kwa saili nilizofanya mm juzi kati ni FACT

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Kikubwa ni kusoma tena vitu vingi, maliza vya fani yako nenda hadi nje ya fani. Kimsingi jinoe uwe mshindani mzuri kwa kutaja, kuelezea, kuchora na mifano. Utatoboa.
 
Ukikutana na huyo boss muulize kwa nini LGA na MDA hawaiti watu interview tangu watume maombi May.
 
Hawa jamaa hawatabiriki mimi nimefanya pepa jmos ya tarehe 3 research ilikuwepo
cha muhimu ni maandalizi ya kutosha tu
 
Hawa jamaa hawatabiriki mimi nimefanya pepa jmos ya tarehe 3 research ilikuwepo
cha muhimu ni maandalizi ya kutosha tu
Yawezekana KAZI uliyoomba inahusu research maaa wamefanya paper tar hiyohiyo 3
 
Sorry Kuna uhusiano gani wa Written Interview na Oral Interview kwenye placement??
 
Week iliyopita ASA research ilikuwepo kama kawaida kwa wale wa Marketing swali lilikua linataka Process za Conduct Marketing Research.
 
Week iliyopita ASA research ilikuwepo kama kawaida kwa wale wa Marketing swali lilikua linataka Process za Conduct Marketing Research.
Hivi umeeelewa nilichoandika,

Ipo hivi, hakuna degree course wasiyofundisha research chuo,

Mwanzoni Kati ya maswali 4 yote unakuta research na ukweli Ni kwamba research Ni ngumu na pana, watu wengi walikuwa wanachemka,WADAU wakalalamika kwann research research paper nzima kuliko kupima course content ya alichosoma msailiwa?

Ndio wakaja na mfuko mpya wa maswali, sa hivi ukikuta research ujue kazi uliyoomba inahusu research, mfnao: marketing lazima ujue kufanya research ili upate wateja!
 
Mimi nakuunga mkono kwasababu nimefanya zote na nimejionea unachoongea ni fact, tena hiyo marketing kuna topic inaitwa Marketing information system and marketing reseach ndio walioitoa, na TARI pia walitoa reseacch kwasababu ilihusu lkn kwengine nilikofanya sikuona isipokuwa maswali ya kada husika tu ndio yalijaa na wakati job description ukiisoma inanesha kuna utafiti, That is true from my last week experience.
Lkn pia km ni kujiandaa wajiandae ila wasiitegemee

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Mliofanya paper Jana,leteni mrejesho Kama kulikuwa na research
 
Tatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…