Nilifukuzwa kazi nifanyeje niweze kurudi?

Nilifukuzwa kazi nifanyeje niweze kurudi?

Katung'a

Member
Joined
Jul 2, 2015
Posts
40
Reaction score
20
Niliondoka kwenda masomoni bila ya kukamilisha ruhusa baada ya mwaka mmoja nikafungiwa mshahara na kutumiwa hati ya mashtaka na baadae nikafunguzwa kazi bila utumishi. Je naweza vipi kurudi kazini?? (Idara ya Elimu ) Naomba msaada tafadhali

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Niliondoka kwenda masomoni bila ya kukamilisha ruhusa baada ya mwaka mmoja nikafungiwa mshahara na kutumiwa hati ya mashtaka na baadae nikafunguzwa kazi bila utumishi. Je naweza vipi kurudi kazini?? (Idara ya Elimu ) Naomba msaada tafadhali

Sent using Jamii Forums mobile app
Subiri serikali ikitangaza ajira za ualimu uombe tena

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kosa lako lilikiwa nini mpaka kufukuzwa
 
Pumzika tu mkuu. Kuna watu wako mtaani wana vyeti tena vizuri kuliko hicho chako.

Kwanini ulienda masomoni bila kufuata utaratibu? Mnapenda sana kuingia migogoro na waajiri bila sababu zenye tija.
Katafute shule ya binafsi ufundishe, tupishe wengine tupige mzigo😡😡😡😡😡😡
 
Kumbe bado unasoma kuna watu tunaelimu zaidi yako na hatujawahi pata bahati ya kula kodi au mshahara wa serikali kwa lugha yako na tupo mtaani tuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa majibu wa standing orders (download online), ukifukuzwa kazi serikalini huwezi tena kupata ajira ya serikali mpaka uwe na kibali cha Katibu Mkuu Kiongozi(ikulu). Kwa kifupi ni ngumu sana kupata ajira serikalini ukifukuzwa.

Soma standing order uielewe, itakusaidia mbele ya safari. Wanaokushauri uombe kazi upya wanakupotosha maana jina lako tayari lipo kwenye payroll system ambayo inakutambua kwa namba yako ya mtihani ya kidato cha nne. Hivyo huwezi kupiga chenga kutambuliwa.
 
Hapo ndo nashidwaga kuwaelea watu kama ww unacha kazi unaenda kusoma unarudi tena unataka kazi ileile, hebu kaa mtaani miaka miwili ndo utajua utamu wa kuacha kazi na kwenda kusoma
 
Niliondoka kwenda masomoni bila ya kukamilisha ruhusa baada ya mwaka mmoja nikafungiwa mshahara na kutumiwa hati ya mashtaka na baadae nikafunguzwa kazi bila utumishi. Je naweza vipi kurudi kazini?? (Idara ya Elimu ) Naomba msaada tafadhali

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama ulifukuzwa kazi bila utumishi. unatumikia adhabu Hiyo ndani ya mwaka mmoja. unarudishwa kazini. mwone katibu wa TCS mkoa ulipo kwa maelekezo zaidi.
 
Uliondolewa kwenye payroll au ulifukuzwa?Be specific. Maana Mimi nilishawahi kupitia same issue,ila nilitolewa kwenye payroll.Nikapambana na TSC hatimae wakanirudisha.Cha msingi ukipambana tumia akili,usitumie nguvu.Suala kama lako limetupata wengi sana.Kufukuzwa utumishi wa umma sio jambo la mzaha mkuu!
 
Niliondoka kwenda masomoni bila ya kukamilisha ruhusa baada ya mwaka mmoja nikafungiwa mshahara na kutumiwa hati ya mashtaka na baadae nikafunguzwa kazi bila utumishi. Je naweza vipi kurudi kazini?? (Idara ya Elimu ) Naomba msaada tafadhali

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama maelezo yako ni una makosa. Maana wewe ulikuwa mtoro na ulikuwa "hujulikana" huko wapi. Kukatiwa mshahara ni sawa maana hukuwepo na "hujulikani" ulipo. Swali ulifukuzwa kazi na nani kama sio utumishi? Na bila kusikilizwa? Pamoja na yote kama kweli umefukuzwa....nadhani due process was not followed. Hence you have a strong case= wrongful dismissal. (Japo siamini kama watu wenye akili timamu wanaweza wakafanya ulichokieleza. Seek professional legal advice.
 
Kwa maelezo yako yaonesha kuwa kosa lako ni utoro kazini, na kwenye sheria imeeleza wazi mtumishi asipoonekana kwenye kituo cha kaz kwa muda gan anakuwa amejifukuzisha kaz. Kwa suala lako inabid umuombe Mungu wako awape roho ya huruma waajiri wako ila kisheria huna haki tena ya kurudi kazin
 
Kwa majibu wa standing orders (download online), ukifukuzwa kazi serikalini huwezi tena kupata ajira ya serikali mpaka uwe na kibali cha Katibu Mkuu Kiongozi(ikulu). Kwa kifupi ni ngumu sana kupata ajira serikalini ukifukuzwa.

Soma standing order uielewe, itakusaidia mbele ya safari. Wanaokushauri uombe kazi upya wanakupotosha maana jina lako tayari lipo kwenye payroll system ambayo inakutambua kwa namba yako ya mtihani ya kidato cha nne. Hivyo huwezi kupiga chenga kutambuliwa.
naomba nielewesha hapa mkuu...vipi kwa wale walioajiriwa kiwango chao vha elimu kikiwa darasa la saba,wanatambulika vipi kwenye payroll wakati hawana iyo namba ya form four
 
naomba nielewesha hapa mkuu...vipi kwa wale walioajiriwa kiwango chao vha elimu kikiwa darasa la saba,wanatambulika vipi kwenye payroll wakati hawana iyo namba ya form four
Kwa uelewa wangu, darasa la saba hawapo tena kwenye payroll ya serikali. Yaan hawatakiwi kuajiriwa tena. Kuna wadau tulikuwa tunafanya nao kazi (madereva) walipewa barua zao na kazi ikawa imeisha, hii ilikuwa takribani miaka 3-5 iliyopita.
 
Kwa uelewa wangu, darasa la saba hawapo tena kwenye payroll ya serikali. Yaan hawatakiwi kuajiriwa tena. Kuna wadau tulikuwa tunafanya nao kazi (madereva) walipewa barua zao na kazi ikawa imeisha, hii ilikuwa takribani miaka 3-5 iliyopita.
Kuna wengine mbona wamerudishwa kazini huko Tanesco na ni std 7
 
Mpigie kura lissu
Niliondoka kwenda masomoni bila ya kukamilisha ruhusa baada ya mwaka mmoja nikafungiwa mshahara na kutumiwa hati ya mashtaka na baadae nikafunguzwa kazi bila utumishi. Je naweza vipi kurudi kazini?? (Idara ya Elimu ) Naomba msaada tafadhali

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom