Magulumangu
JF-Expert Member
- Jan 7, 2010
- 3,051
- 461
- Thread starter
-
- #21
cheeeeeeeeekaaaaa weeeeeeeee,mmmh na hizi bikira nazo.wasichana wengine wajanja.kama unampenda endelea nae,bikira sio issue,issue muelewane
Aisee huo ni unyanyasaji ambao haustahili kuvumuliwa....
Wee Bana kama vipi mpeleke mahakamani, mimi nitajitolea kuwa wakili wako mpaka haki itendeke...
Haiwezekani muda wote huo ulikuwa unasubiri uje uambulie patupu...
Kwa kuzingatia haki za Binaadam huyo mdada ana kesi ya kujibu....
Dah! Nimesikitika kama nimetendwa mimi vile....:A S-alert1:
Vipi wewe, je nawe ulikuwa bikira? Au bikira ni upande mmoja tu!
Vipi wewe, je nawe ulikuwa bikira? Au bikira ni upande mmoja tu!
Kinachoudhi ni mwanamke kusema yeye ni bikira wakati si kweli, nawashuri wasichana kuweni wakweli au kaeni kimya tu kuliko kujitapa, kwani ukisema huna bikira unafikiri hutapata mwnaume!
halafu wewe tabutupu, nimeshasema nilivumilia sana lkn aliponipa hata mie nilishangazwa sana bila hata husuda, yeye ndo alinichekechua maana mie nilidhamiria kusubiri hadi mwisho wake, alikuwa akipekechuliwa before huyo, hivi mwenye bikira huwa anasemaga? tena sidhani kama kuna msichana anapenda awe na bikira...
Chapa mwendo hapo hakuna kitu.Nilianza urafiki naye akiwa darasa la saba, akamaliza form four hakutaka kunipa kwa minajiri eti hataki mpaka amalize form six, nikavumilia kwa vile nilimpenda sana, nikaomba tena mchezo akiwa form six lakini akakataa madai yake yuko BIKIRA akianza atazoea hivyo kuathiri masomo yake nikamwamini na kumuacha asome, alipomalizza form six akabana tena, tukakorofishana kidogo eti mie nataka kumharibia maisha yake, baada ya kurudiana akanipa bila shida WAKUU kulia kushoto hamna UKUTA, nikamuuliza kwa ustaarabu tu BIBIE VIPI BIKIRA IMEENDA WAPI? Jibu lake eti tulipokorofishana alikutana na mkaka akambikiri...NILIISUBIRIA kwa hamu hiyo BIKIRA lakini sikuiona..
Mpige chini huyo mwanamke hana maaana hata kidogo, ni bora angekuambia ukweli longtime ukajuaNilianza urafiki naye akiwa darasa la saba, akamaliza form four hakutaka kunipa kwa minajiri eti hataki mpaka amalize form six, nikavumilia kwa vile nilimpenda sana, nikaomba tena mchezo akiwa form six lakini akakataa madai yake yuko BIKIRA akianza atazoea hivyo kuathiri masomo yake nikamwamini na kumuacha asome, alipomalizza form six akabana tena, tukakorofishana kidogo eti mie nataka kumharibia maisha yake, baada ya kurudiana akanipa bila shida WAKUU kulia kushoto hamna UKUTA, nikamuuliza kwa ustaarabu tu BIBIE VIPI BIKIRA IMEENDA WAPI? Jibu lake eti tulipokorofishana alikutana na mkaka akambikiri...NILIISUBIRIA kwa hamu hiyo BIKIRA lakini sikuiona..
hahahahahahahahahahahahahahahah duhhivi bikira ina faida gani kwa m/ume mpk uisubirie hivyo, kitu chenyewe unakitoa siku moja tu na ukiono tena, mie ki-ukweli kabisa sijawahi kukutana nayo hata ya kichina kila mtu nayekutana nae ni used na ilo wala halinipi kwikwi
Sijasema nilikula nje mkuu, nilimwamini yeye tu ila tulipoachana akaona mwanya kunidanganya maana alikuwa kila siku akinambia yeye bikira...Ni maneno yake sasa ukali unatoka wapi?
bt trust ya mumy.Never trust women!!!
bt trust ya mumy.
cz ur wthn her n u into ha.
Mpige chini huyo mwanamke hana maaana hata kidogo, ni bora angekuambia ukweli longtime ukajua
Rosey hebi nrushie namba za St. Roya.
Ana kesi flani hivi ya kujibu.
atakuchekRosey hebi nrushie namba za St. Roya.
Ana kesi flani hivi ya kujibu.
atakuchek
nishamwambia alikuwa jikon uko anaosha masufuria na kufua nep mi nilikuwa seblen nasugua kucha..akimaliza kuosha vyombo na kufua nep za mtoto na kuanika NGUO zangu...kabla kuanza kuchambua matembele...
hapana..Hahaha...kwa hiyo unamuibia akiwa anaona?
Haya yalete huku.