Niliibiwa naona...

cheeeeeeeeekaaaaa weeeeeeeee,mmmh na hizi bikira nazo.wasichana wengine wajanja.kama unampenda endelea nae,bikira sio issue,issue muelewane


Mwenye bikira jamani hasemagi maana wanaonaga aibu eti hajui mambo, utajistukia tu red carpet ndani ya kitanda ukimuuliza anajiumauma tu, akisema mapema anabikira mhhhhhhh kuna swali hapo na sababu zake
 

Mkuu nilinyong'onyea nilipoikuta haipo, hata kama kitu ingekuwa tight kidogo hapo ningesema uchakachuaji sio kwa sana lakini yaliyonikuta humo ndani, ni mzee tu anajua hakubisha wala nini, Kweli hii ni kesi ya kujibu jamani....
 
Vipi wewe, je nawe ulikuwa bikira? Au bikira ni upande mmoja tu!
 
Vipi wewe, je nawe ulikuwa bikira? Au bikira ni upande mmoja tu!

Kama sikuwa nayo unadhani ingeniuma hivyo? Ustaadh umejuaje hayo mambo tena? Unajua mwenyewe umeahidiwa 72 bikiras ukifanya nini vile?
 
Vipi wewe, je nawe ulikuwa bikira? Au bikira ni upande mmoja tu!

Kinachoudhi ni mwanamke kusema yeye ni bikira wakati si kweli, nawashuri wasichana kuweni wakweli au kaeni kimya tu kuliko kujitapa, kwani ukisema huna bikira unafikiri hutapata mwnaume!
 
Kinachoudhi ni mwanamke kusema yeye ni bikira wakati si kweli, nawashuri wasichana kuweni wakweli au kaeni kimya tu kuliko kujitapa, kwani ukisema huna bikira unafikiri hutapata mwnaume!


Mkuu asante sana mzee, leo nimekupata au sio?sitakupoteza tena mzee wangu....hahahahaha
 

Nikweli hawasemi, lakini hawasemi kwa kuogopa kuchakachuliwa kwabni wanaume wanapenda sana bikira. Ya nini akwambie, si utajua siku ikifika??. Wewe ulipiosikia bikira umeuzwa si ulisikitika. ina maana ulikuwa unaivizia kwa udi na uvumbi???? tete te te.
 
Chapa mwendo hapo hakuna kitu.
 
Inauma sana dem kutangaza anabikira kumbe bilabila.
 
hivi bikira ina faida gani kwa m/ume mpk uisubirie hivyo, kitu chenyewe unakitoa siku moja tu na ukiono tena, mie ki-ukweli kabisa sijawahi kukutana nayo hata ya kichina kila mtu nayekutana nae ni used na ilo wala halinipi kwikwi
 
Mpige chini huyo mwanamke hana maaana hata kidogo, ni bora angekuambia ukweli longtime ukajua
 
hivi bikira ina faida gani kwa m/ume mpk uisubirie hivyo, kitu chenyewe unakitoa siku moja tu na ukiono tena, mie ki-ukweli kabisa sijawahi kukutana nayo hata ya kichina kila mtu nayekutana nae ni used na ilo wala halinipi kwikwi
hahahahahahahahahahahahahahahah duh
 
Sijasema nilikula nje mkuu, nilimwamini yeye tu ila tulipoachana akaona mwanya kunidanganya maana alikuwa kila siku akinambia yeye bikira...Ni maneno yake sasa ukali unatoka wapi?

dah nilikutana na hyo kadhia juzi b4 xmas,kumbe bnt ana foleni ya wanaume,kila mkoa,mtoto wa 4rm 6 Huyo,
BKRA ALISHAONDOKA NAZO MWENYEWE MAMA YAKE YESU.
 
Mpige chini huyo mwanamke hana maaana hata kidogo, ni bora angekuambia ukweli longtime ukajua

uyo mwanaume pia alishawai kumwambia ukweli that wakat unanizungusha nilikuwa napiga mademu awa joyce,halima,chausiku,mwamivta na kidawa?
au UKWELI UNALALIA KWA MKIKE TU ?
 
Rosey hebi nrushie namba za St. Roya.

Ana kesi flani hivi ya kujibu.
atakuchek
nishamwambia alikuwa jikon uko anaosha masufuria na kufua nep mi nilikuwa seblen nasugua kucha..akimaliza kuosha vyombo na kufua nep za mtoto na kuanika NGUO zangu...kabla kuanza kuchambua matembele...
 
atakuchek
nishamwambia alikuwa jikon uko anaosha masufuria na kufua nep mi nilikuwa seblen nasugua kucha..akimaliza kuosha vyombo na kufua nep za mtoto na kuanika NGUO zangu...kabla kuanza kuchambua matembele...

Hahaha...kwa hiyo unamuibia akiwa anaona?

Haya yalete huku.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…