Niliibiwa naona...

Niliibiwa naona...

Magulumagu wewe mmmhhh

ningekewa na vocha ningekupigia ...

ukirudi online ni BP....
 
Rose na Asprin.......mnaanza mwaka kwa umbeya??.....mtambeyeka mwaka mzima mjue shauri zenu.
 
Huyo ni miongoni mwa hao wachache wanaobanduliwa na baba zao
nilianza urafiki naye akiwa darasa la saba, akamaliza form four hakutaka kunipa kwa minajiri eti hataki mpaka amalize form six, nikavumilia kwa vile nilimpenda sana, nikaomba tena mchezo akiwa form six lakini akakataa madai yake yuko bikira akianza atazoea hivyo kuathiri masomo yake nikamwamini na kumuacha asome, alipomalizza form six akabana tena, tukakorofishana kidogo eti mie nataka kumharibia maisha yake, baada ya kurudiana akanipa bila shida wakuu kulia kushoto hamna ukuta, nikamuuliza kwa ustaarabu tu bibie vipi bikira imeenda wapi? Jibu lake eti tulipokorofishana alikutana na mkaka akambikiri...niliisubiria kwa hamu hiyo bikira lakini sikuiona..
 
Mamy msalimie BABU mwambie Abali ake bana

Niko hapa Mama Big, salamu zako nimezipokea kwa mikono miwili.

Hebu tafuta sababu tukaguane bana. Achana na vidigidigi havijui kukagua mazingira.
 
Nilianza urafiki naye akiwa darasa la saba, akamaliza form four hakutaka kunipa kwa minajiri eti hataki mpaka amalize form six, nikavumilia kwa vile nilimpenda sana, nikaomba tena mchezo akiwa form six lakini akakataa madai yake yuko BIKIRA akianza atazoea hivyo kuathiri masomo yake nikamwamini na kumuacha asome, alipomalizza form six akabana tena, tukakorofishana kidogo eti mie nataka kumharibia maisha yake, baada ya kurudiana akanipa bila shida WAKUU kulia kushoto hamna UKUTA, nikamuuliza kwa ustaarabu tu BIBIE VIPI BIKIRA IMEENDA WAPI? Jibu lake eti tulipokorofishana alikutana na mkaka akambikiri...NILIISUBIRIA kwa hamu hiyo BIKIRA lakini sikuiona..

Subira yako ndio ilokuponza ngoja ngoja umeonekana ZOBA. Kwahiyo we ni bikira tu ndo ulokua unaiwania mh, kweli wewe inaonekana ni mzee wa under ground, kaziako unakuza vipaji unasepa. Alikuweza kweli.
 
Rose na Asprin.......mnaanza mwaka kwa umbeya??.....mtambeyeka mwaka mzima mjue shauri zenu.

kumbeyeka kuna burudan yake...mwulize teamo akwambie jins anavyombeyeka daily ili tu asutwe na fm akademia si makopo tena:embarrassed::teeth:😱
 
Niko hapa Mama Big, salamu zako nimezipokea kwa mikono miwili.

Hebu tafuta sababu tukaguane bana. Achana na vidigidigi havijui kukagua mazingira.

Kweli babu lazima pale kwenye ukumbi wa mikutano kwa eliza tuonane nikupe kheri ya mwaka mpya
 
Back
Top Bottom