Niliibiwa naona...

Asprin na Rose1980..............nanyi naona mnataka kubikiri mbavu zangu jumatatu ya leo.
 
Asprin na Rose1980..............nanyi naona mnataka kubikiri mbavu zangu jumatatu ya leo.

Kwa mujibu wa katiba mpya tunayotaka kuipitisha hiyo kwenye red inaitwa Act Calling. Adhabu yake ni kumkata babu kucha za miguuni kwa mwaka mzima....You have been notified.
 
hahahaha pole mkuu hapo hamna kitu chapa lapa maana alie mfungua atakuwa anathaminiwa zaidi kuliko wewe. Mwachie tu huyo mkaka aliye mbikiri ww hapo ukioa tayari kitu used tafadhari tafuta mwingine nae umlee kama huyo.
 

Subira yangu ndio iloniponza,
Ngaja ngoja naonekana Zoba,
Kwasababu nilimpenda yeyee ....
......
Banana Zorro
 
Mwenye bikira jamani hasemagi maana wanaonaga aibu eti hajui mambo, utajistukia tu red carpet ndani ya kitanda ukimuuliza anajiumauma tu, akisema mapema anabikira mhhhhhhh kuna swali hapo na sababu zake

Hii ni kweli mkuu, aliyenayo(bikira) haoni thamani yake. yule aliye tolewa/ondolewa anatamani irudi ndio maana hupenda kujisingizia anayo. kiundani inakuwa ni screpa kama uliyokutananayo.:hungry: kula tu
 


Never ever trust dat thing...
 

Attachments

  • nevertrust.jpg
    15.5 KB · Views: 51
Kwa mujibu wa katiba mpya tunayotaka kuipitisha hiyo kwenye red inaitwa Act Calling. Adhabu yake ni kumkata babu kucha za miguuni kwa mwaka mzima....You have been notified.

ehhhh:teeth::teeth:
pole mwanajamii!!!!!!
 
Umiiona signature yako?huna mpya:whoo::whoo:
 
Pole kwa kutamani bikira mbona hiyo imepitwa na wakati wenzio sikuhizi wantamani zilizolainika kwani wanaogopa kuwaumiza wanawake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…