Niliibiwa simu, wezi wamekopa kwenye line yangu. Hii inawezekana vipi wakuu?

Hukuibiwa bali ULINYANG'ANYWA.
Inakuaje wanaweza kukopa,
Wanatuma fedha kiasi kidogo kwenye namba yako ikifika tu mtandaoni wanaonesha kiasi halisi.
Wanapiga huduma kwa wateja wakidai wamesahau namba ya siri,wataulizwa salio lililomo watalitaja na itakua rahisi tu kuambiwa namba ya siri na watafanya miamala watakayo.
 
Kwa mtandao wa YAS security IPO chini mtu anabadilisha pini zako Kwa kupiga namba sita jihudumie na Kama uliacha national I'd namba ndo rahisi Sana.
 
Wana mtu kwenye mtandao wa simu husika,kitengo cha huduma za fedha...kule kila kitu chako kipo uchi.
 
Mkuu pole sana lakini nawew mda kama huo usiku unapandaje bajaji ambayo tyari inawatu tyari tena bad enough unawekwa mtu kati naww unakubali tu kirahisi
Mkuu siku ya kufa Nyan miti yote uteleza... Wale ata nisinge Kaa kati waoijipanga kunidhuru ningewasumbua
 
Kwa mtandao wa YAS security IPO chini mtu anabadilisha pini zako Kwa kupiga namba sita jihudumie na Kama uliacha national I'd namba ndo rahisi Sana.
Hii Airtel ndio imeniacha hoi zaid Yan nimeenda Airtel shop hawana majibu ya kueleweka wanajizungusha tu
 
Ni kwel Nilikuwa na picha ya kitamburisho kwenye simu ila ni ngumu sana wao kuiona maana nilikuwa ninapicha zaid ya 5000+ Ni ngumu sana wao kuiona picha moja ya kitambulisho
ni rahisi sana, moja kati ya vitu ambavyo washenzi wanawinda sana kwenye simu, ni pamoja na picha na video za aibu za wamiliki, ili kuzitumia kwa kumtisha muhusika atoe pesa....so, kwenye kukagua, huwa wanakua makinisana,...hii inawezekana ikiwa wataweza ku-unlock simu ....
 
Karibu darisalama ngosha
Hahahahahahaha Asante ngosha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…