Barnabas Mashamba
JF-Expert Member
- Jul 4, 2020
- 797
- 2,233
Natumia Airtel mkuuUnatumia mtandao gani?
Somo:Wakuu habari za January naiman wote n wazima wa afya...niende kwenye mada moja kwa moja
Tarehe 25/12/2024 saa 9 Kasoro usiku wa kuamkia Boxing Day nilikabwa kwenye bajaji
Tukio lilikuwa hivi
Nilikuwa nimetoka mizunguko ya kuizunguka dar na washkaji ilikuwa usiku wa kuamkia tarehe 26.. nilikuwa na washkaji tuko na private car wao wanaelekea tabata Mimi naenda kimara ikabid was drop ubungo mataa mida kama ya saa 9 kasoro iv .
Nikajaribu ku request bolt ila bolt nying zilikuwa ziko bize nikawa nimesimama kituo cha ubungo upande wa kwenda mbezi nikiendelea ku request bolt. Ikapita bajaji moja ikielekea kimara dereva akasema “kimara mwisho buku bado abiria mmoja” pale stend tulikuwa kama abiria wanne au watano iv
Sababu nilikuwa naenda Kimara baruti nikaona ngoja nipande umu umu then nifike baruti nitachukua tu boda
Basi bwana nikasogea kwenye bajaji nikakuta inaabiria wawili wanaume wamekaa nyuma pale . Nilivyotaka kupanda moja wa abiria akaniambia yeye anashuka mbele tu apo mi nipite Kati
Sikuina shida nikampisha akakaa pemben then Mimi nikaka katkati
Tukaanza safari adi tulipo fika kimara corner bajaji ikasimama nikajua labda ndio yule abiria mwingine anashuka Asa sikuwa makini nao sana . Asa nikaona w wa bajaji kashuka akaja upande wa kimlango kile then wakatoa visu wakaanza kuniibia
Walinichukulia simu hela zilikuwa kwenye wallet saa na vitu vingine vidogo vidogo vilikuwa mifukoni (kilikuwa ni kitendo cha sekunde chache sana) wakanuvuta wakanisukuma uko nje ya barabara wakachukua walet wakanitupia baada ya kuona imebak na vitamburisho tu
Basi wakawasha bajaji wakazima mataa wakakimbia (nilijaribu kusoma pret number nikakuta wameikunja so sikuweza kuijua ile plet number)
Basi kama baada ya dakika moja ikapita pikipiki nikamsimamisha chap nikamuelezea nikapanda tujaribu kwenda mbele tuone kama tunaweza kuiona bajaji ila sikufanikiwa basi yule bodaboda nikaendanae ad hom nikampa pesa yake ye akasepa
Nikatoka nikamgongea jirani yangu mmoja akanipa sim yake nikampigia mwanangu mmoja anauza sim Ig.. akaniambia kuna sim alitoka nazo shop yupo nazo kwake niende nikazichek
Sikutaka ata pakuche nikaanza safari time iyo iyo (ilikuwa kama 11 au 12 kasoro iv) nikafika kwa jamaa nikazichek sim nikachukua moja kati ya zile then nikampa jamaa kiasi cha pesa nyingine tukakubariana kummalizia. Nikatoka apo direct nikaenda ku rudisha line yangu kwenye kibanda cha mshkaji nafahamiana nae (mpaka saa mbili nilikuwa na sim teyari Niko hewan kama kawaida )
Asa leo nimeshangaa kuna pesa imekata kwenye line yangu sh 104000 laki moja na elfu nne inaonekana nilikopa tarehe 26/12/2025 saa 12:41 asubuhi (hii Kwa mujibu wa computer zao) ila kwenye taharifa za simu yangu inaonesha Mimi mara ya Mwisho kukopa ni march 2023 na pesa ikapipwa ndani ya siku Saba
Asa hii kitu nashindwa kuielewa kabisa wakuu hii kitu inawezekana vip
Yanatokea tu mkuu Mimi Usiku natembea Sana ila ilikuwa zamu yangu tu siku iyo ...manzese na keko Kuna watu wanakaba saa 7 mchanaSomo:
Usiku mnene Dar ni hatari sana
Natumia Airtel mkuu
naona unatafta mbinu ya kukopa kwenye laini za watu ukiziibaWakuu habari za January naiman wote n wazima wa afya...niende kwenye mada moja kwa moja
Tarehe 25/12/2024 saa 9 Kasoro usiku wa kuamkia Boxing Day nilikabwa kwenye bajaji
Tukio lilikuwa hivi
Nilikuwa nimetoka mizunguko ya kuizunguka dar na washkaji ilikuwa usiku wa kuamkia tarehe 26.. nilikuwa na washkaji tuko na private car wao wanaelekea tabata Mimi naenda kimara ikabid was drop ubungo mataa mida kama ya saa 9 kasoro iv .
Nikajaribu ku request bolt ila bolt nying zilikuwa ziko bize nikawa nimesimama kituo cha ubungo upande wa kwenda mbezi nikiendelea ku request bolt. Ikapita bajaji moja ikielekea kimara dereva akasema “kimara mwisho buku bado abiria mmoja” pale stend tulikuwa kama abiria wanne au watano iv
Sababu nilikuwa naenda Kimara baruti nikaona ngoja nipande umu umu then nifike baruti nitachukua tu boda
Basi bwana nikasogea kwenye bajaji nikakuta inaabiria wawili wanaume wamekaa nyuma pale . Nilivyotaka kupanda moja wa abiria akaniambia yeye anashuka mbele tu apo mi nipite Kati
Sikuina shida nikampisha akakaa pemben then Mimi nikaka katkati
Tukaanza safari adi tulipo fika kimara corner bajaji ikasimama nikajua labda ndio yule abiria mwingine anashuka Asa sikuwa makini nao sana . Asa nikaona w wa bajaji kashuka akaja upande wa kimlango kile then wakatoa visu wakaanza kuniibia
Walinichukulia simu hela zilikuwa kwenye wallet saa na vitu vingine vidogo vidogo vilikuwa mifukoni (kilikuwa ni kitendo cha sekunde chache sana) wakanuvuta wakanisukuma uko nje ya barabara wakachukua walet wakanitupia baada ya kuona imebak na vitamburisho tu
Basi wakawasha bajaji wakazima mataa wakakimbia (nilijaribu kusoma pret number nikakuta wameikunja so sikuweza kuijua ile plet number)
Basi kama baada ya dakika moja ikapita pikipiki nikamsimamisha chap nikamuelezea nikapanda tujaribu kwenda mbele tuone kama tunaweza kuiona bajaji ila sikufanikiwa basi yule bodaboda nikaendanae ad hom nikampa pesa yake ye akasepa
Nikatoka nikamgongea jirani yangu mmoja akanipa sim yake nikampigia mwanangu mmoja anauza sim Ig.. akaniambia kuna sim alitoka nazo shop yupo nazo kwake niende nikazichek
Sikutaka ata pakuche nikaanza safari time iyo iyo (ilikuwa kama 11 au 12 kasoro iv) nikafika kwa jamaa nikazichek sim nikachukua moja kati ya zile then nikampa jamaa kiasi cha pesa nyingine tukakubariana kummalizia. Nikatoka apo direct nikaenda ku rudisha line yangu kwenye kibanda cha mshkaji nafahamiana nae (mpaka saa mbili nilikuwa na sim teyari Niko hewan kama kawaida )
Asa leo nimeshangaa kuna pesa imekata kwenye line yangu sh 104000 laki moja na elfu nne inaonekana nilikopa tarehe 26/12/2025 saa 12:41 asubuhi (hii Kwa mujibu wa computer zao) ila kwenye taharifa za simu yangu inaonesha Mimi mara ya Mwisho kukopa ni march 2023 na pesa ikapipwa ndani ya siku Saba
Asa hii kitu nashindwa kuielewa kabisa wakuu hii kitu inawezekana vip
Wewe haujitambui inaomekana una shida.ukiibiwa simu piga mtandao husika jitambulishe taja majina na namba zako za simu vzr wakojithibitisha kuwa wewe ni mmiliki zinafungwa chap.mm ishanitokeq kuibiwa simu nilipiga sinu voda na line yangu chap ilifungiwaWakuu habari za January naiman wote n wazima wa afya...niende kwenye mada moja kwa moja
Tarehe 25/12/2024 saa 9 Kasoro usiku wa kuamkia Boxing Day nilikabwa kwenye bajaji
Tukio lilikuwa hivi
Nilikuwa nimetoka mizunguko ya kuizunguka dar na washkaji ilikuwa usiku wa kuamkia tarehe 26.. nilikuwa na washkaji tuko na private car wao wanaelekea tabata Mimi naenda kimara ikabid was drop ubungo mataa mida kama ya saa 9 kasoro iv .
Nikajaribu ku request bolt ila bolt nying zilikuwa ziko bize nikawa nimesimama kituo cha ubungo upande wa kwenda mbezi nikiendelea ku request bolt. Ikapita bajaji moja ikielekea kimara dereva akasema “kimara mwisho buku bado abiria mmoja” pale stend tulikuwa kama abiria wanne au watano iv
Sababu nilikuwa naenda Kimara baruti nikaona ngoja nipande umu umu then nifike baruti nitachukua tu boda
Basi bwana nikasogea kwenye bajaji nikakuta inaabiria wawili wanaume wamekaa nyuma pale . Nilivyotaka kupanda moja wa abiria akaniambia yeye anashuka mbele tu apo mi nipite Kati
Sikuina shida nikampisha akakaa pemben then Mimi nikaka katkati
Tukaanza safari adi tulipo fika kimara corner bajaji ikasimama nikajua labda ndio yule abiria mwingine anashuka Asa sikuwa makini nao sana . Asa nikaona w wa bajaji kashuka akaja upande wa kimlango kile then wakatoa visu wakaanza kuniibia
Walinichukulia simu hela zilikuwa kwenye wallet saa na vitu vingine vidogo vidogo vilikuwa mifukoni (kilikuwa ni kitendo cha sekunde chache sana) wakanuvuta wakanisukuma uko nje ya barabara wakachukua walet wakanitupia baada ya kuona imebak na vitamburisho tu
Basi wakawasha bajaji wakazima mataa wakakimbia (nilijaribu kusoma pret number nikakuta wameikunja so sikuweza kuijua ile plet number)
Basi kama baada ya dakika moja ikapita pikipiki nikamsimamisha chap nikamuelezea nikapanda tujaribu kwenda mbele tuone kama tunaweza kuiona bajaji ila sikufanikiwa basi yule bodaboda nikaendanae ad hom nikampa pesa yake ye akasepa
Nikatoka nikamgongea jirani yangu mmoja akanipa sim yake nikampigia mwanangu mmoja anauza sim Ig.. akaniambia kuna sim alitoka nazo shop yupo nazo kwake niende nikazichek
Sikutaka ata pakuche nikaanza safari time iyo iyo (ilikuwa kama 11 au 12 kasoro iv) nikafika kwa jamaa nikazichek sim nikachukua moja kati ya zile then nikampa jamaa kiasi cha pesa nyingine tukakubariana kummalizia. Nikatoka apo direct nikaenda ku rudisha line yangu kwenye kibanda cha mshkaji nafahamiana nae (mpaka saa mbili nilikuwa na sim teyari Niko hewan kama kawaida )
Asa leo nimeshangaa kuna pesa imekata kwenye line yangu sh 104000 laki moja na elfu nne inaonekana nilikopa tarehe 26/12/2025 saa 12:41 asubuhi (hii Kwa mujibu wa computer zao) ila kwenye taharifa za simu yangu inaonesha Mimi mara ya Mwisho kukopa ni march 2023 na pesa ikapipwa ndani ya siku Saba
Asa hii kitu nashindwa kuielewa kabisa wakuu hii kitu inawezekana vip
Hapana Kwa kwel sikutoa taharifa kokoteUliwajulisha polisi hilo tukio la kukabwa au viongozi wako wa mtaa?
kama akili yako ndio imeishia apo hongera mkuunaona unatafta mbinu ya kukopa kwenye laini za watu ukiziiba
Na hii kitu unasemwa kila siku. Kwa mida ile hata bodaboda sipandi, angesubidi saa kumi na moja au na mbili angeondoka kwa amani kabisa.Mkuu pole sana lakini nawew mda kama huo usiku unapandaje bajaji ambayo tyari inawatu tyari tena bad enough unawekwa mtu kati naww unakubali tu kirahisi
AsaWewe haujitambui inaomekana una shida.ukiibiwa simu piga mtandao husika jitambulishe taja majina na namba zako za simu vzr wakojithibitisha kuwa wewe ni mmiliki zinafungwa chap.mm ishanitokeq kuibiwa simu nilipiga sinu voda na line yangu chap ilifungiwa
ok mkuu hongera wewe Kwa kujitambuaWewe haujitambui inaomekana una shida.ukiibiwa simu piga mtandao husika jitambulishe taja majina na namba zako za simu vzr wakojithibitisha kuwa wewe ni mmiliki zinafungwa chap.mm ishanitokeq kuibiwa simu nilipiga sinu voda na line yangu chap ilifungiwa
Hawakukukata makofi hadi ukawapa na pin numbers za line yako?Kumbuka kama walikuzabua mabanzi.Wakuu habari za January naiman wote n wazima wa afya...niende kwenye mada moja kwa moja
Tarehe 25/12/2024 saa 9 Kasoro usiku wa kuamkia Boxing Day nilikabwa kwenye bajaji
Tukio lilikuwa hivi
Nilikuwa nimetoka mizunguko ya kuizunguka dar na washkaji ilikuwa usiku wa kuamkia tarehe 26.. nilikuwa na washkaji tuko na private car wao wanaelekea tabata Mimi naenda kimara ikabid was drop ubungo mataa mida kama ya saa 9 kasoro iv .
Nikajaribu ku request bolt ila bolt nying zilikuwa ziko bize nikawa nimesimama kituo cha ubungo upande wa kwenda mbezi nikiendelea ku request bolt. Ikapita bajaji moja ikielekea kimara dereva akasema “kimara mwisho buku bado abiria mmoja” pale stend tulikuwa kama abiria wanne au watano iv
Sababu nilikuwa naenda Kimara baruti nikaona ngoja nipande umu umu then nifike baruti nitachukua tu boda
Basi bwana nikasogea kwenye bajaji nikakuta inaabiria wawili wanaume wamekaa nyuma pale . Nilivyotaka kupanda moja wa abiria akaniambia yeye anashuka mbele tu apo mi nipite Kati
Sikuina shida nikampisha akakaa pemben then Mimi nikaka katkati
Tukaanza safari adi tulipo fika kimara corner bajaji ikasimama nikajua labda ndio yule abiria mwingine anashuka Asa sikuwa makini nao sana . Asa nikaona w wa bajaji kashuka akaja upande wa kimlango kile then wakatoa visu wakaanza kuniibia
Walinichukulia simu hela zilikuwa kwenye wallet saa na vitu vingine vidogo vidogo vilikuwa mifukoni (kilikuwa ni kitendo cha sekunde chache sana) wakanuvuta wakanisukuma uko nje ya barabara wakachukua walet wakanitupia baada ya kuona imebak na vitamburisho tu
Basi wakawasha bajaji wakazima mataa wakakimbia (nilijaribu kusoma pret number nikakuta wameikunja so sikuweza kuijua ile plet number)
Basi kama baada ya dakika moja ikapita pikipiki nikamsimamisha chap nikamuelezea nikapanda tujaribu kwenda mbele tuone kama tunaweza kuiona bajaji ila sikufanikiwa basi yule bodaboda nikaendanae ad hom nikampa pesa yake ye akasepa
Nikatoka nikamgongea jirani yangu mmoja akanipa sim yake nikampigia mwanangu mmoja anauza sim Ig.. akaniambia kuna sim alitoka nazo shop yupo nazo kwake niende nikazichek
Sikutaka ata pakuche nikaanza safari time iyo iyo (ilikuwa kama 11 au 12 kasoro iv) nikafika kwa jamaa nikazichek sim nikachukua moja kati ya zile then nikampa jamaa kiasi cha pesa nyingine tukakubariana kummalizia. Nikatoka apo direct nikaenda ku rudisha line yangu kwenye kibanda cha mshkaji nafahamiana nae (mpaka saa mbili nilikuwa na sim teyari Niko hewan kama kawaida )
Asa leo nimeshangaa kuna pesa imekata kwenye line yangu sh 104000 laki moja na elfu nne inaonekana nilikopa tarehe 26/12/2025 saa 12:41 asubuhi (hii Kwa mujibu wa computer zao) ila kwenye taharifa za simu yangu inaonesha Mimi mara ya Mwisho kukopa ni march 2023 na pesa ikapipwa ndani ya siku Saba
Asa hii kitu nashindwa kuielewa kabisa wakuu hii kitu inawezekana vip
Mkuu imenibid nichekeHawakukukata makofi hadi ukawapa na pin numbers za line yako?Kumbuka kama walikuzabua mabanzi.
Wamesema tuwe beyond mere thinkers.Mimi nimeenda hadi huko sasa mkuu.Na je,haukuwa tungi?Mkuu imenibid nicheke
Asante mkuuPole sana mkuu
Ahaaaa hii nchi Uhuru umezidiPole sana mkuu kwa mkasa huo na kuachiwa deni la Songesha Nk