Uchaguzi 2020 Niliingiza jumla ya Tsh laki 8 kwa watia nia hawa Nkenge lakini nikawasaliti sandukuni

Uchaguzi 2020 Niliingiza jumla ya Tsh laki 8 kwa watia nia hawa Nkenge lakini nikawasaliti sandukuni

1 Dr Mazima
huyu jamaa anaelimu ndogo yaani ni AMO lakini ni mbinafsi na roho ya ujuha sana nilikula laki mbili yake baada ya wapambe wake watatu walio nifata kwa nyakati tofauti na kunigea kitita hicho. Ila tabia zake za kudharau watu, shule ndogo kichwani na ujuha ndo vilisababisha nikaitafuna pesa yake kwa hasira sana

2Dr Kamala
huyu kasasemwa sana yeye nilitandika laki 3.5 nikiwa ndo miongoni mwa wagawaji wa pesa zake kwa wajumbe wenzangu huku akiamini ni timu yake lakini ujinga wake wa kupata madaraka na kuisahau Nkenge ndo kiliniudhi nikaila vyema hiyo pesa

3 Assumpita.
huyu alipojua nipo timu Kamala akaja kuzunja kwa fitna, nikajifanya namsapoti nikawa nauma huku na kule hatimaye nikala ela yake laki 2.5 ila kura nikampa Muungwana mmoja aitwaye Frolent Kyombo ingawa sikula pesa yake. Asanteni watia nia me naongezea kiasi kingine nikachukue bodaboda yangu ila msisahau kurudi 2025 tuzile tena
Riz king nikupe pole mkuu.
Kwa akiri yako unaweza kufikiria kuwa unampambania kwa nguvu zote mgombea wako, ila kwa mtu yeyote mwenye akiri ya kawaida sana akisoma tu thread zako atajua ni ninj makusudi yako na ni upande gani unesimamia.Unawezajikuta unamharibia mgombea wako badala ya kumjenga.
Any way,let sleeping dogs lie.
All the best bro.
 
Mmhhh laki 8 kwa watu watatu?? Huwa wajumbe si wanapewa elfu 20 mpaka 40?
Huyo jamaa ni muongo. Dau letu ndani ya chama ni elfu 10 hadi 30 mwisho.

Katibu na Mwenyekiti wa Wilaya hao ndio tunawapa hela ndefu kidogo.
 
Back
Top Bottom