Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Riz king nikupe pole mkuu.1 Dr Mazima
huyu jamaa anaelimu ndogo yaani ni AMO lakini ni mbinafsi na roho ya ujuha sana nilikula laki mbili yake baada ya wapambe wake watatu walio nifata kwa nyakati tofauti na kunigea kitita hicho. Ila tabia zake za kudharau watu, shule ndogo kichwani na ujuha ndo vilisababisha nikaitafuna pesa yake kwa hasira sana
2Dr Kamala
huyu kasasemwa sana yeye nilitandika laki 3.5 nikiwa ndo miongoni mwa wagawaji wa pesa zake kwa wajumbe wenzangu huku akiamini ni timu yake lakini ujinga wake wa kupata madaraka na kuisahau Nkenge ndo kiliniudhi nikaila vyema hiyo pesa
3 Assumpita.
huyu alipojua nipo timu Kamala akaja kuzunja kwa fitna, nikajifanya namsapoti nikawa nauma huku na kule hatimaye nikala ela yake laki 2.5 ila kura nikampa Muungwana mmoja aitwaye Frolent Kyombo ingawa sikula pesa yake. Asanteni watia nia me naongezea kiasi kingine nikachukue bodaboda yangu ila msisahau kurudi 2025 tuzile tena
Huyo jamaa ni muongo. Dau letu ndani ya chama ni elfu 10 hadi 30 mwisho.Mmhhh laki 8 kwa watu watatu?? Huwa wajumbe si wanapewa elfu 20 mpaka 40?