Nilijiapiza mjini nitarudi kutembea tu, lakini hapa nimelalia maboksi baada ya kuungua na maisha ya kijijini

Nilijiapiza mjini nitarudi kutembea tu, lakini hapa nimelalia maboksi baada ya kuungua na maisha ya kijijini

LA7

JF-Expert Member
Joined
Aug 26, 2019
Posts
655
Reaction score
2,369
Ilikuwa ni mwezi wa saba sikumbuki tarehe ndo niliaga JF na kuelekea kijijini nikitokea Dar, baada ya kumaliza mafunzo ya ufundi, na nikijiapiza mjini ntarudi kutembea tu. Lakini hapa ninapoandika huu ujumbe nipo nimelalia maboksi kwenye geto la kupanga baada ya kuungua na maisha ya kijijini huku nikiwa na ujuzi wangu vizuri tu. Kwanza kabisa mimi ni fundi - simu, radio, umeme wa majumbani. Natengeneza video mbali mbali na vitu vingi vingi tu vinavyotumia umeme.

Changamoto za kijijini:
  • Upatikanaji haraka wa diode au spea za maredio tv nk.
  • Umbali wa kuvifikia nauli 12000 kwenda na kurudi.
  • Intaneti, unapokuwa unahitaji msaada wa kiufundi kupitia google
  • Kazi za msimu
  • Wateja wengi ni malialia n.k
Ndo vimenifanya leo hii nimelala kwenye mabox na vifaa vyangu vya kazi hapa Arussha mjini leo hii

Asanteni nawasilisha
 
Ilikuwa ni mwezi wa saba sikumbuki tarehe ndo niliaga JF na kuelekea kijijini nikitokea Dar, baada ya kumaliza mafunzo ya ufundi, na nikijiapiza mjini ntarudi kutembea tu. Lakini hapa ninapoandika huu ujumbe nipo nimelalia maboksi kwenye geto la kupanga baada ya kuungua na maisha ya kijijini huku nikiwa na ujuzi wangu vizuri tu. Kwanza kabisa mimi ni fundi - simu, radio, umeme wa majumbani. Natengeneza video mbali mbali na vitu vingi vingi tu vinavyotumia umeme.

Changamoto za kijijini:
  • Upatikanaji haraka wa diode au spea za maredio tv nk.
  • Umbali wa kuvifikia nauli 12000 kwenda na kurudi.
  • Intaneti, unapokuwa unahitaji msaada wa kiufundi kupitia google
  • Kazi za msimu
  • Wateja wengi ni malialia n.k
Ndo vimenifanya leo hii nimelala kwenye mabox na vifaa vyangu vya kazi hapa Arussha mjini leo hii

Asanteni nawasilisha
Uchumi na mfumo wetu kwa ujumla sio wezeshi. Una ufundi (utaalamu), wateja wana uwezo kulipia huduma yako? Je wako wa kutosha ili usife njaa? Miundo mbinu ya usafiri, teknolojia (intanet), navyo ni changamoto. Hii inaonesha uchumi duni wa nchi.

Fanya shughuli zako kwa muda mrefu mjini, halafu watembelee kijijini kwa ratiba fupi, upate kuwahudumia kwa matatizo yao, na kuyapatia ufumbuzi mjini ikibidi.

Kila la Kheri kwa nia yako njema!
 
Uchumi na mfumo wetu kwa ujumla sio wezeshi. Una ufundi (utaalamu), wateja wana uwezo kulipia huduma yako? Je wako wa kutosha ili usife njaa? Miundo mbinu ya usafiri, teknolojia (intanet), navyo ni changamoto. Hii inaonesha uchumi duni wa nchi.
Fanya shughuli zako kwa muda mrefu mjini, halafu watembelee kijijini kwa ratiba fupi, upate kuwahudumia kwa matatizo yao, na kuyapatia ufumbuzi mjini ikibidi.
Kila la Kheri kwa nia yako njema!
Nashukuru sanaaa broo kwani kijiji kizima fundi mwenye vifaa na utaalamu ilikuwa ni mm pekee lakini ndo hivo maslahi yamenifanya niondoke
 
Ilikuwa ni mwezi wa saba sikumbuki tarehe ndo niliaga JF na kuelekea kijijini nikitokea Dar, baada ya kumaliza mafunzo ya ufundi, na nikijiapiza mjini ntarudi kutembea tu. Lakini hapa ninapoandika huu ujumbe nipo nimelalia maboksi kwenye geto la kupanga baada ya kuungua na maisha ya kijijini huku nikiwa na ujuzi wangu vizuri tu. Kwanza kabisa mimi ni fundi - simu, radio, umeme wa majumbani. Natengeneza video mbali mbali na vitu vingi vingi tu vinavyotumia umeme.

Changamoto za kijijini:
  • Upatikanaji haraka wa diode au spea za maredio tv nk.
  • Umbali wa kuvifikia nauli 12000 kwenda na kurudi.
  • Intaneti, unapokuwa unahitaji msaada wa kiufundi kupitia google
  • Kazi za msimu
  • Wateja wengi ni malialia n.k
Ndo vimenifanya leo hii nimelala kwenye mabox na vifaa vyangu vya kazi hapa Arussha mjini leo hii

Asanteni nawasilisha
Pole sana .
Endelea kupambana wakati mzuri waja.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: LA7
Kijijini labda uwe bwana mifuko,mwenyekiti wa kijiji,mfanyabiashara wa mazao,mkulima,fundi ujenzi,Mwalimu,fundi pikipiki na baiskeli kinyume na hapo utaliwa kichwa[emoji276]
 
usiende kijijini kwa kutegemea fani yako, fanya chochote kinachowezekana, na uendane na mazingira.

Mimi nilienda kijijini nikiwa vyeti vyangu, kamtaji kadogo tu nikaanza biashara ya kununua na kuuza mazao, na kilimo juu (hicho kijiji nikikitaja kuna watu watanifahamu)

bas, niliishi kama mwanakijiji safi kbs! Na siwezi kukufuru, nimepata mafanikio makubwa sana pale nje na yale niliyoyasomea
 
kuna kaujinga fulani unako nilivo kusoma.
kijijini kutengeneza jina mpaka kufanikiwa kunachukua mda na mda ukifika basi kila mtu hata kupa kazi wewe na si mwingine.
kijijini unaweza kuanza na ziro na ukafikia kuwa hero.sababu mtaji utakuwa haraka mda unavozidi kwenda na utakuwa na ushindani mdogo.
kijijini unaweza kuwa wewe ndio muhasisi hapo nenda vijiji vingi utakuta walioanzisha kitu ndio matajiri wa hapo vijijini.
 
Ilikuwa ni mwezi wa saba sikumbuki tarehe ndo niliaga JF na kuelekea kijijini nikitokea Dar, baada ya kumaliza mafunzo ya ufundi, na nikijiapiza mjini ntarudi kutembea tu. Lakini hapa ninapoandika huu ujumbe nipo nimelalia maboksi kwenye geto la kupanga baada ya kuungua na maisha ya kijijini huku nikiwa na ujuzi wangu vizuri tu. Kwanza kabisa mimi ni fundi - simu, radio, umeme wa majumbani. Natengeneza video mbali mbali na vitu vingi vingi tu vinavyotumia umeme.

Changamoto za kijijini:
  • Upatikanaji haraka wa diode au spea za maredio tv nk.
  • Umbali wa kuvifikia nauli 12000 kwenda na kurudi.
  • Intaneti, unapokuwa unahitaji msaada wa kiufundi kupitia google
  • Kazi za msimu
  • Wateja wengi ni malialia n.k
Ndo vimenifanya leo hii nimelala kwenye mabox na vifaa vyangu vya kazi hapa Arussha mjini leo hii

Asanteni nawasilisha
Fundi unatoka mjini unaenda kutafuta kazi kijijini upo serious kweli?
Ufundi ulionao soko lake lipo mijini sio vijijini
 
Ilikuwa ni mwezi wa saba sikumbuki tarehe ndo niliaga JF na kuelekea kijijini nikitokea Dar, baada ya kumaliza mafunzo ya ufundi, na nikijiapiza mjini ntarudi kutembea tu. Lakini hapa ninapoandika huu ujumbe nipo nimelalia maboksi kwenye geto la kupanga baada ya kuungua na maisha ya kijijini huku nikiwa na ujuzi wangu vizuri tu. Kwanza kabisa mimi ni fundi - simu, radio, umeme wa majumbani. Natengeneza video mbali mbali na vitu vingi vingi tu vinavyotumia umeme.

Changamoto za kijijini:
  • Upatikanaji haraka wa diode au spea za maredio tv nk.
  • Umbali wa kuvifikia nauli 12000 kwenda na kurudi.
  • Intaneti, unapokuwa unahitaji msaada wa kiufundi kupitia google
  • Kazi za msimu
  • Wateja wengi ni malialia n.k
Ndo vimenifanya leo hii nimelala kwenye mabox na vifaa vyangu vya kazi hapa Arussha mjini leo hii

Asanteni nawasilisha
Arusha ni kijijini?

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom