Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo ni form four waliomaliza mwaka jana? Humu kujisajili hawazingatii umri wala akili ya mtu. Na ndo maana hata nyie mnapata nafasi ya kutuandikia haya mnachangamana na SISI 😁Darasa la saba, OK... tangu 2010 niko jukwaani
UmelitamaniNaona tu umegeuza tacall km Unique Flower vile yaan eehe hivyo hivyo mafuta ya Mwamposa yatakuhusu very soon
Labda itakua ndio hivyo yaanUmelitamani
Una demu, mtu yeyote akiamua kuwa na demu nyeto anaacha. Suala ni kuacha kabisa ilhali huna cha demu wala nini, utaishije?!Kwako mimi mpaka leo sijapiga
Umecheka nini mkuu deeppond? Wamekukumbusha enzi zako ukiwa Misri au siyo?[emoji23]Huu uzi bhana
Nmecheka mpk Basi[emoji23][emoji23]
Kwani hawapo 18-20 wanafunzi wa form 3 to 4? Akili kichwani, suala ni uanafunzi na siyo umri!18-20 mvua itoke wapi au unabaka hujui kutongoza?
mhhBabyCare 500g ni 5,000/- tu, unatumia mpaka miezi 7, (kwa wastani wa 4 rounds a day)
Mkuu, fanya kurudisha tai ya taifa! Kuwa mzalendo, penda nchi yako, usipinge ongezeko la tozo![emoji39][emoji39] yaani mkuu umeshanikariri Sana eti
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Mi nilisoma nikapita,maana huyu dogo kazingua... anything too much is harmful
Nimecheka sanaNakumbuka mwaka 2010 ndiyo nilijiunga hapa, enzi hizo niko kidato cha tatu. Zama zile kulikuwa na jukwaa la wakubwa na ili ilitembelee ilikuwa ni lazima mods wakuunge.
Basi nikaomba kuungwa, nikawa nashinda huko. Katika peruzi zangu nikakutana na uzi unafundisha namna ya kupiga puli kwa njia mbalimbali.
Nilianza kwa kutumia sabuni, nikawa mteja. Basi kuna siku nilikosa sabuni, nikatumia mate. Kwasababu ya ukomavu wa mkono wangu nikaona kama najiumiza. Ghetto kulikuwa na glycerin, yale mafuta yana joto sana.
Nilipiga puli kuanzia saa mbili asubuhi hadi lunch time, baada ya msosi nikarudi tena ghetto, nikapiga tena hadi muda wa kuangalia Isidingo.
Baada ya hapo nikawa hoi sana, kichupa cha mafuta kimeisha, nikaumwa wiki mbili na nilichoumwa sikijui lakini niko hoi.
Tangu hapo sikurudia tena!
Lilifutwa lilikuwepo zamaniNimecheka sana
Hilo jukwaa liko wapi?