Nilijihisi vibaya nilipata ujumbe

MLALUKO JR

JF-Expert Member
Joined
May 3, 2015
Posts
962
Reaction score
309
Salaam wanaJF,
Jana ilikuwa siku maalumu kwa mama yangu mzazi,yaañi ilkuwa ni siku yake ya kuzaliwa na kufikisha miaka kama 60s
Kutokana na kubanwa na mambo fulani ya kimajukumu hivyo ñikasahau kumtumia ujumbe wa kumtakia Siku njema hiyo adhimu kwake.
Leo ndo nmekutana na ujumbe wake huo
Nimejikuta roho inaniuma gafula.Anisamehe mama yangu
 
Amekusamehe lakini next time mkumbuke na mama yako.
 
Hahahahahahahaaaaa ya mchepuko ndio haisahauliki, Hauko Busy, hauna commitment muogope Mungu
 
Hahahahahahahaaaaa ya mchepuko ndio haisahauliki, Hauko Busy, hauna commitment muogope Mungu
Yangu mwenyewe huwa nasahau,bt hta kama ni hivo sikupaswa niwe vile kwa mzazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…