Nilijinunulia Pete, Nikagharamia harusi mwenyewe, Ndoa ikafa baada ya miezi minne


Uzi mzuri kwa vijana
 
Ndoa nzur n ndoa ya chumban yan mkitoka kanisan mnarud home mnaendwlea na kawaida. Hakuna kuumiza hela mfano we unaumizwa kuachana pia unaumia kuachana mapema na kupoteza hela zako nyingi.
Yan issue yako n kama ya stamina
 
Ndoa bhana,,,

Acha nisome tu comment....

Watu wamekuja kuwa wa hovyo sana..
 
Ndoa ni nzuri sana "mkipatana"

Betting...

kama sentensi ingeishia kwenye nzuri sana ingependeza,,, ila ukiona kuna condition jua ni bahati nasibu..

InFact ndoa haipo kwa ajili ya kila mtu..
 
Tatizo kuongea sana,
 
Piga miaka 10 kuishi pamoja mkichunguzana kwa makini, mkishajuana kwa kina funga ndoa.
 
Mdomo pisto ni hatari katika ndoa
 
Watu wakifunga ndoa huwa nashangaaaa sana

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…