Nilijiona mjanja kumbe mjinga tu, hatimaye leo nimetapeliwa

Amini mwanangu madawa yapo, mimi sikuwahi kuwaza kama nitakuja kupigwa kifala hivi, hatimaye leo nilitoa kila nilichokuwa nacho
na sikuiz kuna styl nyingn hii hasa wanatumiaga kwa wadada kuwapiga anafika anajifnya kuazima cm ampigie mtu kuwa simu yake imezima na yeye ni mgen hapa jijin wanavizia sehem zenye msongamano meng wa magar ukimpa tu anavunga kupiga cm alaf anavuka road chap....hapo jua imeisha
 
Mkuu sikucheki hii kitu ilinitokea miaka kama sita iliyopita,kwa style kama yako walifanikiwa kuondoka na laptop yangu
 
Maelezo yote hayo umeshindwa ku summarize na unataka kuja na muendelezo?
 
Hii kitu nilikutana nayo songea mwaka majuzi huko.

Nashukuru Mungu ,sikuwa natamaa ya hela sababu nlikua na hela na yule Mzee nilikua na Nia ya dhati ya kumsaidia ....

Shida tulishindwana hapo pa kusema nipe vitu vyako nishike ......nikashangaa ,nikasema inakuaje ashike vitu vyangu wakati Mimi nataka kumsaidia yeye auze mzigo wake arudi mtwara huko alikosema anatokea? ... Nikawa nasita sana .....akili kama inasema mbona mwenzako kampa ,we mpe tu .....nikitaka kutoa ,mkono na moyo vinakua vizito .....

Halafu kwanini analazimisha kusema yule mwenzangu hamuamini anaona kama anaweza kumwibia mzigo wake kwamba ananiamini Mimi pekee! ......

Nikawaambia Mimi Sina chochote Cha kuweka ...siwezi weka simu yangu Wala hela Sina ....ila asiwe na shaka alete mzigo niupeleke pale sheli (kwa mnunuzi) ....

Kale kazee kakajifanya kukasirika kwamba sisi sio waaminifu , tunataka kukaibia .....mm nikasema mpe mzigo huyu mwenzangu ,namuamini na asiwe na hofu Mimi ni kijana wa dini na sipo kwa ajili ya kumdhulumu na Wala akiuza sihitaji mgao wowote labda tu kama ikimpendeza mwenyewe......


Akasusa akawa anaondoka ,Dili likavunjika.

Nilikuja kugundua baadae kama masaa mawili mbele kwamba wale walikua wahuni ....kazee na yule kijana na nashkuru Mungu halikunipata maana mpaka kesho naamini ni Mungu tu aliniokoa pale na sio ujanja binafsi....πŸ™
 
Aiseee nimecjeka kifala,nimewahi kukutwa na hiii kitu,Hadi nilitaka kupiga simu kwa my nimkope ili nimpe Yule jamaa mwenye madini ili atumie km nauli ili aondoke zake aende mbeya,lkn mwenzake akanizuia.walichikua cm na 200,000,niliondoka na like fake dini naenda nyumbani nimelificha ili watu wasilione,nimefika nikapitiliza chumbani bila kumwambia mtu,kufungua nakuta Betty ndogo za radio,ikabidi nowasimulie tu
 
Umepigwa wizi wa zamani sana.
Any way pole
 
Hapo kitu ambacho kingeniokoa ni kuingia kwenye ratiba ya huyo muuza madini. Nina tatizo la kupenda kuwa in control hivyo ukitaka kunitapeli kirahisi fanya namna nione nipo in control.

Mfano, hapo ingekuwa namfahamu mnunuzi wa hayo madini, nimewasiliana nae nikamwambia kuna mzigo akaniambia njoo hapo sawa akitafuta namna anaweza nitapeli. Ila kama sipo in control akili itakataa.
 
Dhahabu iko kwenye kiberiti ndy iuzwe mln 29 πŸ˜„

Utapeli huoo wa kizamani sana hivi bado upo tu na watu mnapigwa

Ova

Yaani kabisa umeongea ,huu utapeli nakumbuka jamaa yetu alitapeliwa nafikiri ilikuwa 1996 ,ni utapeli wa kizamani sana ,kweli wajinga hawaishi......Pia kulikuwa na utapeli wa kukupa pipi kumbe imewekwa dawa za kulevya....Kuuziwa mche wa sabuni kama simu au kuuziwa mawe kama viatu ni utapeli wa zamani sana late 80s to early 90s lakini mpaka sasa 2024 watu wanapigwa tu.
 
Asante kwa fundisho hili litasaidia sana kuokoa watu watakaoweza kutapeliwa kwa njia hii huku, na pole pia.

Siyo mara ya kwanza kwa aina hii ya utapeli kuelezwa humu, ni bahati mbaya tu hujawhi kukutana na nyuzi kama hizo. Hata hivyo huu utapeli ni common sana na unafahamika kitambo sana. Nimeshangaa we unajiita kabisa mtoto wa mjini lakini hukuwa ukifahamu kuhusu aina hii ya utapeli.
 
Hizo mbinu za zaman sana buddah wew itakuwa mpya humu jF zimeshaelezwa sana miaka iyo. watu washahama uko wanaiba kwa mazingara saivi na wanawatumia zaidi hawa akinadada
 
"Karanga za 1700 na mche wa sabuni"
 
Haha ulitoka pale NMB mpaka wapi na kupaona mbali mkuu? 🀣🀣
Utapeli hauna mjanja na ili usiwe manipulated na maneno yao ni palepale mwanzoni unapaswa uwakatae no matter how sweet the deal is
 
Duh bado kuna watu wanapigwa Kwa style hizi kumbe safari Bado ndefu sana..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…