Nilijiona mjanja kumbe mjinga tu, hatimaye leo nimetapeliwa

Duh bado kuna watu wanapigwa Kwa style hizi kumbe safari bado ndefu sana..
 
Hii niliwahi kuiskia maeneo ya Mwanjelwa pale, Aliyepigwa alikuwa mwanamke alibaki tu kupiga kelele wajamaa washakula ndefu. Sema pole Mkuu
 
Vijana wa Mbeya ni Washamba sana,haya mambo yamekuwepo huko Usukumani zaidi ya miaka 50 wewe leo ndo unagutuka umepigwa?

Wewe mshamba wa Songwe Lucas mwashambwa hebu njoo umuone ndugu yako huku!
 
Hivi huu utapeli Wa kizamani hivi Bado upogo tu na watu wanapigwa mi nilitapeliwaga Kwa staili hii 2018
 
Chai hi Hadi SAS unatapeliwa kwa gia hyo SAS s utoke humu tumesha Seema magret thinker hawatapeliwi kijinga
 
Kama nyie ndio born town, basi hii nchi haina town.

Utapeli wa mwaka 1999 huo unapigwa leo 2024?
 
Dah, kitambo sana hii kitu

Huu utapeli nikiwa na Maza mwaka 1994 maeneo ya Kiwalani walitokeaga jamaa wawili hivi hivi wakataka kumtapeli Maza. Shida ni kua Maza aliona udwanzi kuanza kizunguka nao akiwa na Mimi, hapo nina miaka kama 13 hiv.

So kwakua Maza aliona kuanza kuzunguka na mimi itakua tabu akawaambia hawezi kuwasaidia. Lakin hapo Kwenye kuwaachia hela ili wasiwe na wasiwasi wa kukimbia na Mzigo walitaka awape Pete na Saa Seiko5
 
Utapeli wa miaka ya 90 bado unafanya kazi miaka ya 2024 hukuu, kweli mjini kutegemeana
 
Yani huu wizi wa namna hii mara ya mwisho nilikutana nao 2008 pale ubungo …na tena hao wajinga wanajifanyaga wanaongea kisukuma!

Walivyo wajinga hata ukiwashitukia wanapunguza bei hadi hata 60,000/= madini ambayo wanadai ni million kumi kifupi hao wanawatapeli washamba tuu na wenye tamaa ya mafanikio ya haraka!

Kwa akili ya kawaida kweli mtu ana hata ya kutoka chunya na madini wakati masoko uko chunya yapo ya kutosha na bei ni ile ile …? Wewe hadi leo unanasa kwenye mtego wa kizamani namna hii?

Wewe ni mjinga sana
 
Huu wizi wa kitapeli nilikutana nao Tunduma , nikiwa natoka hapa boarder naelekea kule msikitini eneo maarufu kwa jina ilo wanapochenji dola mara namuona jamaa anakimbia mbio spidi kubwa akitokea bondeni ninakotoka mimi akadondosha bonge la butungutu la pesa ambazo ni dola feki.Baada ya kudondosha akatokea jamaa mwingine kwa spidi akaokota lile burungutu na kunipa ishara ni nyamaze nisiongee.Mimi wala sikua na interest na chezo lao ukizingatia Dar hiyo michezo ilifanyika miaka hiyo.Nikabaki naendelea na safari yangu mara jamaa akawa anajitaidi kuniongelesha nikae kimya ili tukagawane hiyo pesa uchochoroni.
Nikamwambia aisee mbona huu wizi au utapeli ni wa kizamani sana tumeupitia manzese ila nakupa ofa moja kama una pesa nikupe mbinu mpya za kutapeli online jamaa akabaki anacheka na kuondoka zake.
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜­πŸ˜­ omg ni mchanga!
Yaaani nipate dhahabu nisijue kwa kuuzaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
na mungu alikukomesha maana na wewe ulishakua na mawazo ya kumtapel yule mwenye dhahab ukawa unadhan dhulma inaenda patupu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…