Nilijua ni story tu ila dah! Pisi kali punguzeni kulia shida

Chukua zigo hilo
 
[emoji23][emoji23][emoji23]no one can feel ur pain bro[emoji23][emoji23][emoji23] unless umekutana nayo
Me ndani ya 3days nkapga hesabu ya mizinga nkakuta nadaiwa kama 200000 hivi[emoji16][emoji16][emoji16]
[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Mademu wanaomba sana,sio hao tu hata wanaofanya kazi nzuri maofisini wanaomba kinoma.

Thus why watu kwenye sex wanawa treat vibaya.
 
Tafuta pesa, acha kulia lia. Khaaaah [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Alikua na maji makubwa. Nikampa offer ya kumnunulia beer
Mkuu hapo ndio ulipoharibu sasa!! Anaekunywa maji unaendelea kumnunulia maji mpaka aseme mwenyewe.
Yaani hapo ilikua ni mwendo wa waiter muongezee kinywaji; Huyo angejiongeza mwenyewe na kusema atachokunywa bila wewe kutoa offer ya kumnunulia beer - ukampa mwanya wa kuagizia "Henken" 😛
 
Tatzo unatak jumla , inabid ufanye reja reja ain ya mazngr hayo ulie mchukulia.
 
MREJESHO; Jana nilifanikiwa kumtafuna, ila nimekuja kugundua alikua ni malaya bhana. Maanake baada ya kumla nilitaka kumpiga calenda nisimpe hela. Dah huo moto alouwasha ikabidi nimpe wekundu 3.
[emoji23][emoji23][emoji23]utaleta ngoma kwa familia uache yatima na machokoraa mtaani bure. Hafu vizuri kakukomesha k ya bure kwa mkeo tu aisee
 
Mario wake "Sugar mummy" kwa pisi kali umepotea mkuu!!
 
Sio kila mwanamke anaweza kukufaa, kama unamwona wa gharama achana nae, sio size yako.

Mwachie nafasi kutane na wanaotoa matumizi bila hata kuombwa..... wapo

Na hao ndio wanaomfaa na yeye ndio anayewafaa
Chama kimoja
 
Aisee mi kuna moja la kichagga mpaka nikiwa napokea simu yeye mwenyewe anacheka kwanza yani utafikiri matatizo yanamfata yeye tu mara gesi imekata,mtoto ada mara baba anaumwa aisee nilijikuta naanza kuzeeka sababu ya majukumu ya ghafla
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]du mbombo ngafu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…