Nilijua nimewakimbia Katoliki

Nilijua nimewakimbia Katoliki

Msafiri Kafiri: Mwenda Tezi na Omo…​

‘Nuru ya Ufahamu’ katika ‘Kujiwazia UTU’ huwa na ‘utenge wa kusudi’ katika mapana ya ‘makusudi ya Uzima wote’--Uzima na Uweza na Utukufu wa Miili ya dhahiri ilivyo ni ‘Usupasha-Wakati’. Kwa mintarafu ya haya, dhahiri yoyote katika usupasha-wakati ni ‘madanganyiko’ ya ‘Kujichagulia’ kwa (1) Dhamiri, (2) Vina vya tafsiri, na (3) Uono na Ufikirifu Mifumo.

Uono na Ufikirifu Mifumo katika ‘madanganyiko’ na ‘Kujichagulia’, maya na samsara ya gari la safari ya fahari za maisha na kuishi ndivyo hufanya ‘umbali na wakati’ wa ‘kudumu’ kwa mashauri ya ‘Kujiwazia UTU’. Kwa mintarafu ya haya, ‘kujiwazia UTU’ ni ‘Ndoto/Njozi’ katika ‘Mbalamwezi’ ya ‘Utukufu wa Mbingu na Nyota’; ambamo huoteshwa ‘mbegu za uzima wa miili’ ya kujisahau/kujidanganya ili kusudi la ‘Pia ya UTU’ ipate kudhihiri ‘Uweza, Nguvu na Utukufu’ wa ‘Kusafiri na KUTOKA’. Basi ndivyo yawa, gari na safari ndiyo mambo kutwaa miili na karma katika ‘Utukufu wa Mbingu/Nchi na Nyota’.

‘Umbali na wakati’ wa ‘kudumu’ kwa mashauri ya ‘Kujiwazia UTU’ katika ‘dhukka’, kiuno na ufikirifu mifumo, ndiyo muktadha akilifu wa (1) Matendo, (2) Wakati na (3) Matukio. Kwa mintarafu ya hili, kujiwazia UTU ni kupanda mbegu ya ‘matendo, wakati na matukio’ ilivyo ni muktadha wa ‘Kujichagulia’--ufanyaji maamuzi na kuchagua mapito kwa wakati. Basi ndivyo yawa, kupanga ni kuchagua na akipandacho mtu ndivyo, katika kupita kwa kipindi cha wakati, atavuna kwa kadiri ya kusudi na matendo yake; hauwezi kupanda pilipili ukavakuvuna parachichi… ‘Dhukka’ ni matokeo ya yote matatu (1) Ujinga/Kutofahamu, (2) Kutofahamu mambo ilivyobora, na (3) Makusudi yenye kuharibika… Mapelekeo ya ‘Nia ya UTU’ katika uhasimu wa Kujua na Kutokujua ilivyobora.

Buddha alifundisha habari za ‘Marga’ ilivyo ni Miongozo ya Wongofu kwa ajili ya Kumalizana na ‘Dhukka’-- Dhukka na muambatano wake wa ‘Samsara’ na ‘Maya’. Kwa mintarafu ya hili, miongozo hii yaja kuwa Gurudumu la Midenge Minane la Buddha Mkuu; na tena Muktadha Akilifu wa Dhammapada—Njia ya Buddha.

Miongozo/Mafundisho ya Wongofu ya Buddha, kiuono na ufikirifu mifumo, ni ufunguo khasa wa ‘Uono na Ufikirifu Mifumo’. Kwa mintarafu ya hili, Njia ya Buddha ni ‘Usahihi wa katikati wa (1) Dhamira, (2)Mawazo/Kujiwazia UTU na (3) Uono’ ambavyo mifumo ya kuishi/maisha hukadirisha (1) ‘utabia binafsi’, na tena (2) ‘utabia wa kishirika’ kwa ajili ya (3) ‘Mazingira Rafiki’ ya ustawi wa wote wenye ‘Nuru ya Ufahamu’, miili ya uweza na Kuchagua/kujichagulia ilivyobora. Basi ndivyo yawa, kwa kheri ya Dhammapada ‘Mawazo/Kujiwazia UTU’ ni kitovu cha mhimili wa imani ambavyo ‘Nuru ya Ufahamu’ ni ufunguo wa wongofu—ufunuo wenye kupitiliza mashauri ya ‘vina vya tafsiri’ na ‘dhamira’ ilivyo ni moja kwa moja.

Haya ni mambo ya akili na uakilifu.

Akili na uakilifu ni 'Umodulishi wa Ufahamu'; na ufahamu, wenyewe ni 'Nishati Nukta Sifuri'--nishati nukta sifuri ya vyote na kila kitu.

Uelewa huu ni wenye kushiriki uwanja na marefukio yale yale ya mashauri ya 'maya'-- viini macho vya sura ya vitu/mambo vyenye asili itokanayo na 'fremu ya Uhalisia wa Muona na Mkazo macho wake.

Ni kutokana na muktadha huu wa Uhalisia wa Muona na Mkazo wake macho, Gautama Buddha alijenga msingi wa Kweli nne(4) za tunu kuwa kwamba ndiyo mwanzo wa yote ya Kujichagulia ili kuja kuwa huru na 'Samsara ya Maisha yenye Mauti'.

Kwa mintarafu ya haya, 'Samsara', utwaaji mwili wa nyama wa mwenyekuwa sentienti hufuatisha (1)'Maua-Sura Akilifu' ya (2)'usababishano wa maadili ya ujuzi wa jema ama/na baya' na tena kuambatana na (3)'mafikara/misukumo ya hisia kwa ajili ya raha ama karaha/matakwa ya moyo/matamanio ya kiutu'.

Ipo asili ya ndani hasa ya hulka za kitabia kwa ajili ya 'Kutangatanga kwa nafsi-roho' na hali hapo hapo upo uhalisia usiobadilishika milele--wa kudiriki kusemwa kana ule uliombali kupitiliza uweza wa akili kufaa kutumika kiuakilifu. Mbali kupitiliza 'uweza akilifu' huelezwa na wasikirifu kama 'UKIMYA'.

Buddha alishughulika kwa ajili ya mawezekano ya mwisho kabisa ya mtu mmoja kuweza kufikia kupata hali ya kuwa fahamu na ULE UKIMYA. Hali ambayo hakuna nafsi/nafsi-roho, na tena basi 'hakuna Wakati'.

Buddha aliita njia ya kusharabika kwenye hali hii ya Ukimya, njia kuelekea Sammadhi katika UTU pekee, kuwa ni 'Dhammapada'. Ndivyo basi, katika mwelekeo wa Dhammapada ni uhalisia wa 'Gurudumu la Dhamma'--lililoitwa na Buddha, njia ya Manane yajayo na kusudi moja la wongofu.
====

View: https://www.youtube.com/watch?v=iw65evLgQgc
====​


Marejeo Ngamani:​

Kujisukanya na kujikung’uta mavumbi

Njia ya Manane yajayo na kusudi moja la wongofu, na dhamma yake katika UTU pekee, ndiyo yenye baraka ya kukadirisha 'Sovereini Jumuifu'; na basi zaidi 'Trizaniamu'. Samma/ Usahihi wa (1) Uelewa : Ditti, (2) Dhamira : Sankappa, (3) Kauli : Vacha, (4) Kitendo : Kammantha, (5) Uisho : Ajeeva, (6) Jitihada : Vayama, (7) Uakilifu : Sathi, na (8)Umbonishaji fahamu : Samadhi.

Maana mfanano kwa 'Usahihi/Samma' ni 'Mizania'; kwa mintarafu ya hivi ni mizania ya 'hisia ufahamu' na 'vina vya tafsiri za urazini' zinazotupatia mkononi mikutadha 'Kujifahamu'yenye baraka bora kwa wakati--aina ya 'kujifahamu' kwenye mzizi iliyojichomeka katika 'Uakilifu' na 'Uisho'. Mikutadha ya Uakilifu inatumikika kwenye 'Uelewa', 'Kauli' na 'Kitendo'; kwa maisha ya kila siku na vivyo hivyo panapo mmoja na mwingine wanavyoshiriki makutaniko ya shughuli; na wakati huo huo hutumikika vivyo hivyo kwenye 'Dhamira, Hekima na Uisho' kama maegamio kwa 'Uono Mifumo' kwa ajili ya 'maisha yasiyo na mapambano/manyukano' na uwepo wote wa vitu.

Mikutadha ya Uakilifu unatumikika kwenye 'Jitihada', 'Dhamira' na 'Umbonishaji fahamu' kwa ajili ya 'kumodulishia juu ama chini' hisia fahamu za uhalisia wa kifiziki sambamba na sehemu zake uhesabu ilivyo ni 'fikra na hisia'. Kwa mintarafu ya hili, 'Uzimishaji wa Akili' ni hali bahatifu iliyo huru na 'Mawazio ya Maisha'.​

Mikutadha ya Uakilifu ni Vipassana--Michakato ya Uonefu/Ushuhudiaji wa fahamu pasipo 'kujitambulisha na yatokeayo'. Kwa mintarafu ya hili, vipassana ni mbinu mahsusi ya kiufundi ya kuitafuta nukta sifuri ya akili ambapo ufahamu pasi umodulishi waweza 'kuishika' pasipo 'unafsi kupata jina'--mapelekeo ya maana ya 'Utupu' katika 'Utu Mmoja'.

Kwa mabaki ya asili-akili yenye uingiliano wa chini kabisa kivitendo na mambo, kuelekea hali ya 'Utupu' kabisa kabisa, ilivyo hali ya mapito ya kuliishi jambo kwa mwenye ushuhudiaji/uonefu, mtu wa vipassana katika samadhi hughubikwa na (1) hisia za juu za furaha ya moyo, (2) amani ya moyo, na (3) kina kisichofikika mwisho cha 'Amani ya Utu'.

Kwa mabaki ya asili-akili yenye uingiliano wenye ukuu wa kivitendo na mambo, kwa mtu wa vipassana katika samadhi, mapana yasiyokifani ya (1) ulimwengu/alimwengu, (2) mifanyiko akilifu na (3) ufanusi wa mambo; hufanyika 'kuwezekana kufahamika' kama mapitio ya moja kwa moja ya uzoefu wa mambo katika umbonishaji akilifu wa fahamu kwenye 'madanganyifu ya nafsi/Ukuwa na Wakati'.

Kwa mabaki ya asili-akili yenye uingiliano kivitendo na mambo wenye ukuu, gurudumu la dhamma linaweza kufanyizwa ukuu kutokea upande pitilizi wa uhalisia wa maisha ili kuwezesha (1) 'Umasiha/Mahdi/Manyoosheko udhahiri-nafsi wa Boddhisatva/Ukuwa UTU' na (2)'wakati'. Uhalisia ulionyookea mbali kupiliza kawaida ya mambo, katika mapokeo ya Kibuddha, ndivyo basi 'kinu cha mzigo-msalaba' wa katikati wa miduara ya gurudumu la maarifa kwa Buddha, mtu wa utaamuliko, aliyefanyika/anayefanyika ‘Mkuu’.
====

View: https://www.youtube.com/watch?v=ZaYMzvjsrjQ
====​


Kila Mtu anauchukua​

Mzigo wake yeye Mwenyewe

Msalaba ilivyo ni ukadinali wa (1) Uelewa, (2) Kauli, (3) Uisho, na (4) Uakilifu;

Kuwa basi:-

(1) Kauli na Uisho ndiyo huleta muktadha wa 'Shika Neno, Tenda Neno' na

(2) Uelewa na Uakilifu ndiyo asili ya Vipassana na Samadhi kwa ajili ya kukadirishia 'Mbawa-UTU za kujichagulia' ambavyo ni muktadha wa 'Dhamira' katika 'Umbonishaji wa fahamu' ili kuakisi 'Jitihada' na 'Kitendo'.

Kwa mintarafu ya haya, kulizingurusha gurudumu la dhamma ni jambo bahati lijalo kwa fasaha za (1) Kuhama sura moja hata ingine ya kujichagulia utukufu, (2) Ku(ji)nyooshea miongozo ya mageuzi ya sura na utukufu, na (3) Kusogeza mahalisia ya ujumuifu wa ufahamu ilivyo ni mafungamano ya nafsi-akili-maumbile ya sura.

Kila mmoja wa kiumbe awe na fahamu ama asiwe na fahamu anatendesha dhamma yake mwenyewe, uhalisia ulionyookea mbali wa (1) Karma, (2) Akili, na (3) Madhamirio--KUBU za 'Supasha-wakati'/'Nafsi/Akili. Alamu zingine za Ukuwa Kiumbe na Asili wakati wote huwepo kama manyookeo hai ya mafikara, hisia na madhamirio -- vyenye mambo ya ushirika kwa mapelekeo ya 'kulizungurusha gurudumu la dhamma'; kubahatisha ujio wa asili za (1)'Tripitaka' na tena kwa mujibu wa (2)'Triptika' katika (3)'mapana ya Trikaya'. Kwa mintarafu ya haya, uisho sahihi--samma Ajiiva, ni ufunguo wa 'Kuhama sura moja hata ingine ya kujichagulia utukufu' kulingana na hamasa ya kiutu katika Nafsi/Ukuwa Kiumbe na tena wakati.

Miditisha ni muhimu hasa kwa ajili ya Dhammapada -- utimilisho wa matakwa tunu ili kuja kuwa Buddha anayeishi; na hii ni njia upweke, ya mtu mmoja kipekee yake na tena uhuru wake. ‘Kuabudu’ na ‘Kujitoa moyo’ kwa ‘chenye kheri’ si miditisha -- haya ni mengine ya 'mapokeo ya kukamilishana'; na basi wakati mmoja haya yaja kukutana/kuingiliana na mielekeo kwa ajili ya 'Maisha yanayoizidia juu Kawaida'

Mbinu-kazi ya Buddha kwa ajili ya 'Nidhamu ya Kiakili', ilivyo katika njia ya Buddha, na tena kwa ajili ya kufikia utaamuliko ni 'Via Negativa'. Kwa mintarafu ya hili, mwenye kufikia utaamuliko anakwenda kuikosa ladha ya kigulu na njia kupitia tuseme 'kujitoa moyo/Upendo/Huruma'; ingawaje mielekeo yote miwili, miditisha na mapendo, huishia kwenye kilele cha 'Utaamuliko Mmoja wenye kujumuisha yote'. Kwa hivyo ndivyo kusema asili ya 'ufahamu-nafsi-akili-maumbile sura' hufanya kuinuka kwa 'mikutadha akilifu yenye kukamilishana' ya ukweli wa YOTE.
====

View: https://www.youtube.com/watch?v=vj6GM-C5vks&list=OLAK5uy_k0d3C57m3iJKirqXygSz4ci0DbXN6RmBE&index=1
====​

Isemwavyo ’Nira iliyo ni Nyepesi’​

SASA, haya yanakujaje na ‘Utaifa’ wa Tanzania—kwa mfano?

Kiufundi, ‘Utaamuliko jamii’ ni ufunguo wa ‘Ulinzi’ na ‘Kazi’--Ulinzi na kazi kwa ajili ya kulijenga taifa, kuujenga UTU.

UHURU, UDUGU, HAKI na AMANI ni KISU ilivyo ni ALMASI ya UBUDDHA; Maisha na Uisho ni ‘Mchezo wa Mapiku’ ambavyo ‘Masumbuko na Tabu’ ni matokeo ya Kuzichanga karata kichaa za Uzima wa Miili.

Kwa hivyo kama ilivyo dhahiri shahiri katika Yantra Dhamma, Gurudumu la Dhamma huja na Duara nne (4) na Mraba wa Maisha. Duara katika kila upande wa Mstari wa Mraba wa maisha ni uashirifu wa ‘Usahihi wa Vitovu’ vinne ya Tunu ya Utu kama alivyofundisha Buddha Mkuu.

Kama alivyofundisha Buddha, kukosa fasaha ya vitovu vya uono na tafsiri ya mambo ndiyo adha kuu ya Maisha na Kuishi -- kukadirisha Kweli Nne (4) zilizo ni TUNU.

Kila ‘Pembetatu’ inayokabiliana na upande wa Mraba ni ‘Vekta Dhamiri’ ya UTU na Maadili—Thrishiksha. Kiufundi, pembetatu ya muktadha wa vekta dhamiri ndiyo aslili ya pembetatu ndani ya duara katika alama oanifu za Trizaniamu.

Basi ndiyo yaja kuwa mifumo yote ni asili ya pembetatu za vekta dhamiri kujimizanisha katika mapana na marefu ya ‘Mraba wa Maisha’—KUBU za 'Supasha-wakati'/'Nafsi/Akili . Alama ya ‘Mifumo’ katika Trizaniamu ndivyo basi khasa pembetatu mbili zinazokinzana uelekeo huku zikishiriki kitovu cha nguvu na uweza katika ‘mstari wa mizania’. Duara yenye Kitovu chenye kushiriki kitovu za mstari wa mizania ni asili ya ‘Mboni ya Fahamu’.

‘Mboni ya Ufahamu’ katika vitovu vya (1) vitendo, (2) dhamira na (3) jitihada ndiyo khasa asili ya ‘Uelewa’ na ‘Uakilifu’ ilivyo basi ni asili ya ‘Vipassana’ na ‘Samadhi ‘kwa ajili ya kukadirishia 'Mbawa-UTU za kujichagulia'.

Mintarafu ya haya ndiyo yanakarisha ingilio kwa ‘Hekima, Umoja na Amani’.

Msalaba ilivyo ni ukadinali wa (1) Uelewa, (2) Kauli, (3) Uisho, na (4) Uakilifu; Katika taifa la Tanzania ndiyo kiini cha ‘kunena na kutenda’ kwa ajili ya udhamirifu wa UHURU, UDUGU, HAKI na AMANI.

Kiufundi HEKIMA na AMANI huja na Utangamano wa (1) Jitihada katika muktadha wa usahihi wa katikati wa (2)Dhamira na (3) Matendo; Ambavyo ‘UMOJA’ ni koherensia ya nidhamu ya vitendo kulingana na ‘Miongozo’--Mraba wa Maisha katika Yantra Dhamma ndiyo ‘Muakisiko’ wa ‘Vitendo vyenye miongozo ya UTU bora’, Dhamma.

Koherensia ya nidhamu ya vitendo kulingana na ‘Miongozo’ ndiyo msingi wa Taifa na Ontolojia ya Utaasisi wake wa Dola na Mamlaka ya wananchi. Kwa mintarafu ya hili, katiba ni ‘Mkusanyiko wa Miongozo’ kwa ajili ya ‘Ontolojia ya Taasisi’ na ‘Usivilai wa Wananchi’. Fanusi ya ‘Utaamuliko Jamii’ ndiyo msingi wa Ku-Jua na Kuto-Ku-Jua kunakokadirisha Haki na Wajibu wa ‘Wenyenchi/Wananchi’ kwa kuwa ufahamu wa UTU na UZALENDO ndiyo hujenga ubayanifu wa Kujichagulia katika ‘Kheri’ ama ‘Mikosi’ ya UTAIFA.

Kwa hivyo ufundi wa Katiba ni kujenga ‘miongozo’ kwa mambo ya Kiroho, Maadili na Miiko; si michoro ya ‘Sura na mipango’ kwa ajili ya sura na nchi tawala kwa ‘vina vya kimasahafu’ ya miundo na utaasisi ‘iliyokubuhu’ maelezo na uchanganuzi wa ‘taasisi ndani ya taasisi’. ‘Miongozo’ kuwa ‘Sheria Mama’ ni ingilio la ‘taratibu na kawaida’ za kijamii—basi si ‘ufunguo wa ufahamu’ khasa. ‘Utaamuliko Jamii’ ndiyo hasa ‘Ufunguo wa Ufahamu’ na ndiyo ‘Dume la Shupaza’ la ‘Maisha na Uisho’…
====

View: https://www.youtube.com/watch?v=T9UtTXu9pZ0
====​

Mambo ya Mlimani: Muongozo​

kwa ajili ya Taamuli, Kazi na Ulinzi

Katika ujenzi wa taifa la Tanzania na tena Afrika Mpya, ‘Mwenge wa Uhuru’ kuwekwa juu ya Mlima Kilimanjaro ndiyo ‘ufunguo wa ufahamu’ kwa ajili ya ‘Uono na Ufikirifu Mifumo’ juu ya ‘Uelewa’--Uelewa unaopaswa kuwa kwa ‘wananchi wote’ ili Hekima, Umoja na Amani vidhihiri utukufu wa sura na kheri ya taifa la watu.

Katika Gurudumu la Midenge minane la Dhamma, ‘Uelewa’ ni ncha moja ya ukadinali, KASKAZINI, inayosimama katikati ya mdenge ‘Umbonishaji Fahamu/Samadhi’ upande wa kushoto; na mdenge ‘Dhamiri/Sankappa’ kwa upande wa kulia. Basi ndiyo kuwa, mizania ya mapana ya kujichagulia katika sura ya nchi na tawala huja na yale yahusiayo miongozo mahususi ya ‘Udugu na Haki’ ili kuzaa ‘UJAZI’ na ‘LIBERTI’.

Katika Katiba ya JMT miongozo hii mahususi ndiyo hasa yale yaliyotajwa dhahiri kama:-​
  • 'Maendeleo ya uchumi wa Taifa yanakuzwa na kupangwa kwa ulinganifu na kwa pamoja';​
  • 'Kila mtu mwenye uwezo wa kufanya kazi anafanya kazi, na kazi maana yake ni shughuli yoyote ya halali inayompatia mtu riziki yake';​
  • 'Aina zote za dhuluma, vitisho, ubaguzi, rushwa, uonevu au upendeleo zinaondolewa nchini';​
  • 'Matumizi ya utajiri wa Taifa yanatilia mkazo maendeleo ya wananchi na hasa zaidi yanaelekezwa kwenye jitihada ya kuondosha umaskini, ujinga na maradhi';​
  • 'Shughuli za uchumi haziendeshwi kwa njia zinaweza kusababisha ulimbikizaji wa mali au njia kuu za uchumi katika mamlaka ya watu wachache binafsi';​
  • Nchi inatawaliwa kwa kufuata misingi ya DEMOKRASIA na UJAMAA.​
Miongozo hii, kwa mfano, ndiyo hasa ‘Gongo kwa Msafiri’--Taifa la Tanzania ni Msafiri katika ‘Uelewa’ na ‘Uisho’ wa Maisha, KASKAZINI na KUSINI ya Gurudumu la Dhamma; Ambavyo (1) ‘Umbonishaji wa fahamu upo kwenye shauri la Maendeleo ya Uchumi wa Taifa’; (2) ‘Vitendo ni Kazi’ kwa ajili ya Riziki—Ujenzi wa Taifa ni shughuli ya ‘chakula, mavazi na malazi’; (3) Uakilifu wa ‘Usalama wa Raia na Mali zao’ ni jambo liendalo sambamba na ‘Uaminifu wa Mifumo’ na ‘Utaasisi’ katika ‘kheri ya usivilai na ustawi’ wa ‘wenyenchi’--wananchi wote ndiyo wenyenchi katika ‘Utaamuliko Jamii’.

Hili la ‘Utaasisi’ katika ‘Kheri ya Usivilai na ustawi’ wa ‘wenyenchi’ ndilo hukadirisha Utaasisi wa jeshi la ulinzi wa raia na mali zao kuja kuwa na alama za moja kwa moja za (a) ‘taji la muktadha mwenge wa Uhuru’, (b) zana za jadi kwa kazi na ulinzi na tena (c) kaulimbiu ya ‘Shika Neno, Tenda Neno: Usalama wa Raia’.

Kuhusu Matumizi ya Utajiri wa Taifa (4) ndiyo ‘ukumbusho’ wa ‘dhamiri ya UMOJA’ kuwa na mazingatio ya kushiriki muktadha wa maendeleo ya wananchi kwa mihimili ya ukwamuzi wa ‘dhukka’--msingi hasa wa shughuli za serikali ya wananchi ni huduma za jamii kama upatikanaji wa Elimu, Huduma za Afya, Miundo mbinu ya Uchukuzi na ‘Starehe’ za jamii. Kwa mintarafu ya haya, sera na sheria za nchi ni shurti ama/na taratibu kwa ajili ya mahitaji ya usivilai na utamaduni.​
====

Fimbo ya Musa: Miongozo​

kwa ajili ya ‘Udugu’ na ‘Haki’

Shughuli za uchumi kutoendeshwa kwa namna ama/na njia za kuweza kusababisha ulimbikizaji wa mali ama njia kuu za uchumi katika mamlaka ya watu wachache binafsi (5) ni ‘Shauri Dume la Shupaza’ la ‘haki na fursa sawa kwa wote’; japo hili kiufundi ndiyo ‘mtihani’ wa ‘UTU na Matamanio Batili’ katika ‘Uelewa’. Hivyo basi, hili ndilo hasa linalolazimu ‘Hekima ya Buddha’ juu ya ‘TUNU Nne za UTU bora’ iwe kitovu cha ‘Utaamuliko Jamii’ ili Umma wenyewe ujenge ‘kinga’ na ‘imani’ ya utu bora—si kupotoka na mambo ya utaasisi wa ‘sera na sheria’ za nchi zisizoendanana na ‘Nuru ya Ufahamu’ iliyoko katika jamii kumbaizi.

Kuhusu nchi kutawaliwa kwa kufuata misingi ya DEMOKRASIA na UJAMAA (6); hili ni shauri juu ya kheri ya ‘uhuru wa kujichagulia’ na ‘Ujamii uliotaamulika’ katika misingi ya Tunu Nne, UHURU-UDUGU-HAKI-AMANI; Kiufundi, jamii isiyo na ‘Uono na Ufikirifu Mifumo’ katika ‘upeo’ na ‘uwezo’ wa uakilifu wake, yawa haina ‘Kinga ya Madhalimu’ wala ‘Nishani za Utu Bora’. Shurti ya ‘Sera na Sheria’ vyaweza kuja na vimvuli vya mwangaza na ni si ‘Nuru ya Ufahamu’. ‘Mwenge wa Uhuru’ ni karata ‘Dume la Shupaza’ kwa ajili ya DEMOKRASIA na UJAMAA.

Miongozo hii sita (6) ya mfano, ndiyo hasa ‘Gongo kwa Msafiri’--Taifa la Tanzania ni Msafiri katika ‘Uelewa’ na ‘Uisho’ wa Maisha, KASKAZINI na KUSINI ya Gurudumu la Dhamma; ambavyo ‘karata Dume la Shupaza/Jembe’ ni mhimili mmoja na ‘karata Dume la Kisu/Almasi’. Haya mawili ndiyo ‘huungamisha fahari za Mbingu na Nchi’ katika UTU na UZALENDO. Utamaduni wa taifa ni jumla ya mambo ya mbingu na nchi ambavyo usivilai ni ulali wa msalaba wa ukadinali, na tena MAGHARIBI na MASHARIKI ya gurudumu la dhamma.

Magharibi na Mashariki ilivyo ni ‘Kulia’ na ‘Kushoto’ ya pahala pa ‘Utakatifu wa Sura ya Nchi na Tawala--Utakatifu katika Kazi na Sala’ ndipo kwenye ‘USHIRIKA WA KUJISIKIA’, Magharibi, na ‘UJAMAA / SOVEREINI JUMUIFU’, Mashariki. Kwa mintarafu ya haya, Maisha na Uisho huandamwa na ‘Nuru ya Ufahamu’ ama ‘Mbalamwezi ya Vimvuli ya Tafsiri ya mambo’ katika UTU na Nafsi. Ikiwa kushoto ni ‘Dume la Mavi ya Mbuzi’ basi kulia ni ‘Dume la Kopa’.

Alama ya Karata ya Magharibi na ya Mashariki ndivyo basi viwili ambavyo huakisi ‘tambarare ya nchi’ kwa ‘hisia/mapenzi mema/mwendano wa fahamu katika mshikamano ama misuguano’. Ndivyo basi mambo ya nchi, jamii na tawala hutiwa alama za utaasisi na uhai kwenye sanaa za Nembo na Bendera za jumuiya/jamii/nchi-taifa/dola—Alama za mategemeo na Upepo wa Uchukuzi wa fahamu za wanajamii kama kikundi kimoja cha watu.

Mambo ya mkono wa kulia na kushoto ndiyo huyakinisha jitihada, dhamira na mustakali wa ‘kuwa’ ama ‘kuja kuwa’ kiutu, muundo na matendo—mambo ya NIA na UAKILIFU kwa jinsi ya yote mawili: (1) hisia na (2) mawazo. Kwa hivyo muundo na uweza wa kimatendo ni mambo yenye asili ya ‘fizikia’ na ‘metafizikia’ kupitia ‘NIA’. Ndivyo basi ‘NIA’ ni ‘Gongo kwa Msafiri’ kwa mambo ya nchi na pia mbingu… Mambo ya ‘Msalaba’ wa mtu katika SUPASHA-WAKATI. Muakisiko wa Nia katika vitendo ni kazi na utu ardhini, vivyo hivyo ‘Mbawa’ kwa ajili ya ‘uwepo’ na ‘wepesi kwenye kushida mapana na marefu ya nchi’.
====

View: https://www.youtube.com/watch?v=5MIuCQnEA6c
====​

Alama za Uchungaji: Muongozo wa Ulinzi​

na Malango ya UTU na Ustawi katika Kujichagulia

Mambo ya ‘Kazi’ na ‘Mbawa’ ndiyo huja kwa alama za ‘zana za kazi’ katika nembo za nchi-taifa/dola; ni kukaa kwake kama mkasi ‘X’ ndiyo topografu wazo kwa metafo ya ‘MBAWA’--mawezekano ya kupaa juu na kushinda ‘mapana na marefu ya nchi’ na amali zake. Basi ndiyo alama ya ‘X’, katika Trizaniamu, huwakilisha uwezekano wa kufanyika kwa ‘NIA’ katika UTU ambavyo msalaba hupambanua ‘nasibu’ ya ‘JAALA’(OX-OY)--Kujichagulia.

Kwa nchi ya Tanzania, NIA huja na ualama wa ‘SHOKA na NYENGO’; kwa kutumia Uono na Ufikirifu Mifumo, viwili hivi ndivyo hukadirisha ‘NIA’ ilivyo ‘KAZI na KUPAA JUU’ – kupasua USUPASHA-WAKATI. NIA ni muktadha akilifu wa ‘SHIKA NENO, TENDA NENO’ kwa hivyo ni khasa pembe tatu ya Vekta za Udhamirifu wa jambo/mambo—kwenye Trizaniamu, zinazobayanisha ufraktali wa triadi za (1) UONO, (2) ONTOLOJIA YA TAASISI, na (3) SURA NA MIENENDO YA JAMII.

Kwa nchi ya Tanzania, NIA huja na ualama wa ‘SHOKA na NYENGO’; kwa kutumia Uono na Ufikirifu Mifumo, viwili hivi ndivyo hukadirisha ‘NIA’ ilivyo ‘KAZI na KUPAA JUU’ – kupasua USUPASHA-WAKATI. NIA ndiyo muktadha wa fizikia na metafikia ya UTU katika YANTRA DHAMMA ambavyo Nyoka Wawili wanajisokotea kwenye Uhimilili ilivyo ni ‘Gongo kwa Msafiri’ ili kupaa na kutanuka katika mbingu… Basi ndivyo yawa alama ya ‘NIA’ kwenye Trizaniamu hujakukadirisha MRABA ALMASI wa UTU kwenye kuegemeana na ‘MRABA DHAMMA’ wa UTU. Dunia, Maisha na Uisho ni kusudi la mafumbo ya ufahamu, kujiwazia UTU na MATUKIO ambavyo Machaguo ya Kitaasisi yanakadirisha yote mawili: (1) Werevu wa Nyoka, na (2) UTU kupata MBAWA kwa ‘NISHANI ya UTU BORA’.

Werevu wa ‘Nyoka wa UONO’, kiuono na ufikirifu mifumo, ni muktadha akilifu wa yote mawili (1)‘kula kwa jasho’ pale ambapo ‘Hakuna Paradiso’--’Ulimwengu wa Shetani/Ibilisi, madanganyiko ya KIUTU’ kuja kwa Samsara na Maya, na tena basi, (2) Uono fasaha wa ‘Samsara’ na ‘Maya’ kupitikia ukadinali wa UELEWA SAHIHI-UISHO SAHIHI-UAKILIFU SAHIHI-KAULI SAHIHI, Basi ndivyo yawa, KAULI SAHIHI ni ufunguo wa ‘SHIKA NENO, TENDA NENO’ ambavyo MRABA DHAMMA hutanuka sambamba na MRABA ALMASI kwa vekta udhamirifu zipatazo ‘33’. Hivyo basi, kiufundi, vekta udhamirifu zipatazo 32 kwenye MRABA DHAMMA hukamilishana na vekta dhamirifu zipatazo 12 katika MRABA ALMASI kuikadirisha ‘NYOTA YA DAUDI’--kitovu cha ‘13’ na ‘33’ za YANTRA DHAMMA.

Vekta Udhamirifu ndiyo asili hasa ya ‘MIFUMO’ na basi ‘UONO NA UFIKIRIFU MIFUMO’ kwa kuwa MAISHA na UISHO ni fumbo la imani kwa ‘Nuru na Giza’ katika FANUSI UTU. Basi ndivyo ‘NYOTA YA DAUDI’ huleta KUBU ya ‘Matriksi Uzima wa Miili’. Tena zaidi, KUBU ina ufunguo wa ‘fizikia’ na ‘metafizikia’ ya ‘UTU na KUJICHAGULIA’ ambavyo ‘mauti’ ama ‘Uzima wa Milele’ huyakinisha USHINDI kupitiliza ‘Samsara’ na ‘Maya’.

Kitovu cha ‘13’ na ‘33’ kwa misukumano ‘ndani nje’ ya uvekta dhamirifu katika YANTRA DHAMMA ndiyo asili ya ‘uweza, nguvu na utukufu’ wa ufanyayo yote na kila kitu—kwa mambo yenye kuonekana na hata pia yasiyoonekana. Basi ndiyo yawa, Duara la Tano katika Yantra Dhamma ndiyo ukadirifu wa ‘SHEKINAHI’ katika ‘maarifa ya kimalaika’; mahala pa UWEPO, NGUVU na UTUKUFU, unaofutika mbingu na nchi zote ilivyo ni ‘utimilifu wa dahali’--USUPASHA-WAKATI.

SHEKINAHI’ hushikilia yote na vyote ilivyo ni ontolojia ya <1>‘Mbingu na Nchi’<--katika mapana ya uelewa wa kileo, 2024, ndivyo kusema: mapana ya fahari za nyota, sayari na makundi ya nyota katika utupu usiokuwa na mwanzo wala mwisho wa ‘Utimilifu wa Dahali’. Basi ndiyo yawa, SHEKINAHI ndicho kitovu hasa cha ‘MUONA ni MUONWA’ ambavyo <2>‘uzima ya miili’ yenye ‘ufahamu na kujitambua’ hujibaini ‘HAKIKA’< wa kheri zake katika kimo-mapana-marefu-kina ilivyo ni ‘KUBU za MADHAHIRIKO’. Basi ndiyo tena, YANTRA DHAMMA ni LUGHA ya Utukufu wa Miili na Madhahiri ilivyo ni MAGEUZI yasiyo na mwanzo wala mwisho bali <3>mifumo ya vekta udhamirifu katika (1) UELEWA, (2) KAULI, (3) UISHO, na (4) UAKILIFU<.

YANTRA DHAMMA ni LUGHA ya Utukufu wa Miili na Madhahiri ilivyo ni MAGEUZI yasiyo na mwanzo wala mwisho; ambavyo kwa Miongozo ya Mafundisho ya Buddha—Dhammapada UTU unaweza kujinasibu na ‘Kituo’ cha kupitiliza fahari zote za mbingu ama nchi kwa ‘UMBONISHAJI SAHIHI’ wa ‘UONO’--Samma Samadhi. Kwa mintarafu ya hili, Umbonishaji Sahihi wa Uono ndiyo khasa asili ya ‘Ontolojia ya Taasisi’ kuwa na ualama wa ‘Duara na Nukta’. Katika YATRA DHAMMA jamii inaiishi Dhamma kwa NISHANI YA UTU BORA ndiyo hukadirisha (1) ‘Duara na Nukta’ upande wa Kaskazini—ualama wa Ontolojia ya Taasisi, (2) Vesika Paisisi ya utonalishi wa fahamu upande wa Magharibi—ualama wa ‘Kujisikia’, (3) Msalaba wa Maisha na Nia—ualama wa ‘Kujichagulia’, na (4) Gurudumu la Dhamma –<4> hakika ya ‘Sovereini Jumuifu’.

Asili ya <5>‘Ontolojia ya Taasisi’< ni (1) Kujisikia, (2) Miundo, na (3) Ushawishi amabvyo hukadirisha (1) Nia, (2) Matendo, na (3) Miongozo katika Maisha na Uisho. Kwa mintarafu ya haya ‘UONO’ ni jambo mtambuka kwa (1) JAALA, (2) KUMBUKUMBU-UZOEFU, na (3) MIFUMO. Basi ndiyo yawa, katika Trizaniamu (A) Jaala huwa ni ualama wa ‘Kimvuli’ cha ‘Kujichagulia’; (B) Kumbukumbu-Uzoefu huwa na ualama wa ‘Mapana wazi ya Mistari ya Nchi na Mbingu’; na (C) Mifumo huwa na ualama wa ‘Pemberatu Mbili katika Mizania ya Mapana ya Nchi’.
====​

View: https://www.youtube.com/watch?v=ymxj9SSvgr8
====​

Mifumo na ‘Mafumbo ya Imani’ :​

Kukadirisha Jithada za UTU na Nyakati

Mifumo kuwa na ualama wa ‘Pemberatu Mbili kukabiliana kwa kadiri ya Mizania ya Mapana ya Nchi’ ndiyo ile asili khasa ya Midenge Minne ya Buddha, ukiachia ukadinali wa Uelewa-Kauli-Uisho-Uakilifu; yaani hatma ya (1) Umbonishaji sahihi wa fahamu, (2) Dhamira Sahihi, (3) Vitendo Sahihi, na (4) Jitihada Sahihi. Basi ndiyo yawa, ‘umbonishaji sahihi’ ndiyo unayokadirisha ‘Ontolojia ya Taasisi’ yenye kheri kwa ajili ya ‘dhamma ya jamii’ katika ‘Sovereini Jumuifu’. Kwa mintarafu ya haya, ndivyo basi alama ya ‘UONO’ katika Trizaniamu ni ‘midenge minane ya Gurudumu la Dhamma katika kimvuli cha Ontolojia ya Taasisi’. Vivyo hivyo, mifumo ni muakisiko wa veka dhamirifu kwa kadiri ya ‘Nishani ya UTU Bora’ na ‘Nguvu ya KUBU kushikilia Matriksi’ yake. Mambo ya Nyakati, Matukio, ni matokeo ya Nishati ya UTU na udhamirifu wa matendo yaendanayo na muktadha wa kujiwazia utu—ikiwa ni kwa utaamuliko basi matukio huja na kadiri ya fahari ya sovereini jumuifu, ama sivyo huja kwa ‘Sura na Mienendo wa Jamii’ kwa kadiri ya ‘Utonalishi wa Fahamu, Miundo ya Utendaji na Utendaji wenyewe’ wa jamii…

Ualama wa ‘Pemberatu Mbili kukabiliana kwa kadiri ya Mizania ya Mapana ya Nchi’ ndiyo asili ya ‘mfumo’ ambavyo (1) UONO, na (2) UHAKIKA ni fumbo la ‘UWEPO’ na ‘UZIMA WOTE’--Uzima wa Milele. Kwa mintarafu ya haya mawili, MIONGOZO hutawala SURA na MAGEUZI na UTUKUFU wa yote na mote. Basi ndiyo yawa, katika MRABA ALMASI, nishati ya UTU BORA huja kwa mafumbo ya MUONA ni MUONWA ilivyo ni muktadha wa nguzo kumi na mbili (12) za ‘Imani’ na ‘Matendo’ kwa ‘mambo yatarajiwayo’. Basi, jiometria ya YANTRA DHAMMA ni ufunguo wa ‘Imani’ na ‘Matendo’ ya ‘Mitume’ wa ‘Mambo ya Nyakati’--Kitovu cha 13 hukadirisha ‘Uhaisho na Uisho’ wa yote katika MAGEUZI na MUINGILIANO wa NIA, UFAHAMU na UZIMA—Fanusi ya ‘UFAHAMU KRISTU’.

Udhamirifu, jitihada na Matendo ndiyo misukumo ya kimifumo ambavyo nguzo kumi na mbili za ‘imani’ na ‘matendo kwa ‘mambo yatarajiwayo’ hukadirika kwa ncha za (1) Pendo ‘AGAPE’ Litumikialo (D), (2) Moyo wa Uelewa (J), na (3) Uhakika (T); halafu (4) Moyo furaha (D), (5) Moyo wa Kutoa (J), na (6) Subira (T); halafu (7) Moyo wa Kina (D), (8) Huruma (J), na (9) Ujasiri (T); kisha (10) Uono (D), (11) Hekima (J), na (12) Ujazi (T).

Nguzo kumi na mbili (12) za ‘Imani’ na ‘Matendo’ kwa ‘Mambo yatarajiwayo’ ni zenye ‘kusitirika’ katika MRABA ALMASI na MRABA DHAMMA. Kwa mintarafu ya hivi, vekta dhamirifu zilizo wazi upeoni mwa macho ya ya mchunguaji katika Yantra Dhamma ni zenye kuwakilisha ‘MATANUZI’ ya ‘KIMIONGOZO’; asili ya (1) Msalaba wa Ukadinali, usiyo na mwisho, katika yote, (2) Mwezi na Nyota yake vifanyanvyo ‘Nuru Halisi’ ama/na ‘Mwangaza Muakisiko’ kwa ajili ya fahari, hadhi, na daraja la Usentienti wa UTU/MALAIKA (3) Mboni AJNA ya uweza wa kuona kote na mote penye miili ya uweza, nguvu na Utukufu, na (4) Swastika ya ukadirisho wa yote kuwa ni chembe duara katika mapana na marefu yenye kutanuka na hapo hapo kujizungurusha.

Katika Yatra Dhamma, Msalaba na Swastika ndiyo khasa siri ya ‘Nyakati’ na ‘Vikomo’ vya Miili ya Uzima—Matriksi. Kiuono na Ufikirifu mifumo, dhahiri yote ni ‘Kumbukumbu’; Kila wazo, dhamira na tendo huhuluku, kuunda ama kuumba ‘jambo’ pahala fulani katika usupasha-wakati. Kwa mintarafu ya haya, duara na mstari katika ualama wote mzima ya Yantra Dhamma ni fumbo la imani kwa ‘Mapenzi Mema’ na ‘Unyoofu’ katika ‘kusudi’ la UTU na MATENDO. Kiufundi, duara mbili zenye kugusana, ikiwa zitashiriki kitovu kimoja cha mapana ya duara la ‘Mapenzi’ na tena seti ingine duara mbili, basi kutafanyika sura na utukufu wa ‘chotara nne’ zifanyazo cha za mraba wa miongozo…

kufanyika sura na utukufu wa ‘chotara nne’ zifanyazo cha za mraba wa miongozo ndiyo khasa asili ya ‘mraba’ na ‘Msalaba Ngazi’ ukadirishao ‘Swastika’. Kwa mintarafu ya hili, Trizaniamu ni ufunguo wa kuyabaini yote katika ulimwengu wa sura na nishati. Basi ndiyo yawa, jicho mashoto la Horasi huhusisha fahamu zote ‘sita’ za UTU, kuonja-kunusu-kugusa-kusikia-kuona-kufikiria, ilivyo ni muktadha wa ‘milango ya fahamu’ katika Ufahamu; mambo yajayo ya ‘mwangaza muakisiko’ kwa ajili ya fahari, hadhi, na daraja la Usentienti wa UTU/MALAIKA. Tena ndiyo basi, Trizaniamu ni fumbo la imani lenye kukamilishana na ‘Mboni AJNA’ katika ‘Duara na Nukta’ za Ufahamu.

Kukamilishana kwa ‘Mboni AJNA’ katika ‘Duara na Nukta’ za Ufahamu ndiyo hasa asili ya ‘Nyota ya Daudi’ na ‘SASA-NIA’ ya UTU kwa mujibu wa muktadha akilifu wa Ontolojia ya Taasisi-Uono-Jitihada/Matendo/Matendeko. Kiufundi, ‘Duara na Nukta’ ndiyo kile Buddha alifundisha kuhusiana na ‘Samma Samadhi’-- umbonishaji wa fahamu; ndivyo basi hili ndiyo khasa asili ya ‘Duara ndani ya duara kwa uhamonifu wa skeli dayatonishi’ vyenye kushiriki kitovu kimoja. Kiuno na ufikirifu mifumo, duara ndani ya duara ni ukadirisho wa ‘utonali wa fahamu’ ambavyo ‘zabibu 13 za usentienti/kujisikia’, panapo fanusi ya ‘nyota ya Daudi’, hukadirisha ‘kujisikia kana kuishi katika wakati wa sasa’ na tena ‘wakati kusonga mbele’…

Kujisikia kana kuishi katika wakati wa sasa, kiuono na ufikirifu mifumo, ni athari ya Kisamsara na Maya; kwa kuwa SASA-NIA ni jiometria KUBU ya ufahamu ambavyo ‘Dhahiri’ ni ‘Kumbukumbu’ ya fizikia na metafizikia ya UTU na KUJICHAGULIA katika miili ya uweza, nguvu na utukufu. Kwa mintarafu ya hili, kujitambua ni kujiwazia UTU katika fizikia na metafizikia ya UZIMA WOTE/UZIMA WA MILELE. Basi ndiyo yawa, mambo ya ufahamu na kujitambua yana muktadha wake uliositirika, ELIMU 3.0: ILIMU ILIVYO NI METAFIZIKIA YA ELIMU.
====

View: https://www.youtube.com/watch?v=6f-DAVQ-Rmw
====​
 
Maisha ni hatua iliyojaa Mafumbo Mazito na yenye ukweli wa kuweza Kuaminiwa Badae.

Yapo Makanisa Mengi ila Kanisa Katoliki duh huwezi Ukalikimbia popote,Utajishebedua tu kumbe wew ni Mkatoliki mzuri tu kuliko Hata hao wa kipaimara.

Kanisa hili Lina jina kuu la Mama la Makanisa,halijazuka tu hivi, Ni Kanisa la Yesu na Ni Kanisa la Mungu, Dhana hii wengi hatuijui kwa Kufikiri kupondwa Pondwa Kama lenyewe linavyowapondaponda wanafunzi wao na Makanisa kuwa Ndo lenye namba 666 hii dhana ipuuzwe na Ni ya Uongo, Kanisa zima haliwezi kuwa na kukoswa kuelewa dhana ya namba 666 Ni wachache tu Hata wanaoweza kuelewa hizo 6 zipo tatu Kama ilivyo utatu mtakatifu yaani Mungu Mwana na Roho Mtakatifu.

Mungu yupo hai, Mwana Yupo hai na Roho takatifu Ndo Ile tuisubiliayo Kama tunavyosubili hizo ole tulizoahidiwa ambapo Leo ipo moja,Bado ya pili na ya tatu.

Niko bado mle mle Kwenye Mataifa teule, Kumbe Misri,Israel na Mbongo akitulia naye Ni Taifa Teule sema anashobo tu, Basi kila Taifa limepewa Ngazi zake, Misri ya Kale ya Musa Zilikuwepo 12,Kwenu Ni chache Saba au nane Kama kila Ilivyo awamu na Zama zake,Awamu hii Ni ya 6 Kwenye Taifa litegemealo kuelea angani ama siyo juu ya Mlima kirimanjaro ili kila Mtu apate kufanya marejeo,au Maungamo kwa Mungu.

Basi leo kwetu Kuna TEC nao Wapo vizuri tu Chini ya Katoliki,Unaweza ukawatupia Lawama Kubwa lakini Wako Strong kuliko Unavyofikri.Huo ustrong usifikri bure tu Bali Hata kuyajua yajayo, Hata sisi tunaojishebedua tumeokoka bado Ni dhana tu Kama hatujawajua Hawa Katoliki.

The same Mtu akimbie afu akakae kule mwisho wa siku akutwe na aulizwe ivi Wewe ulifikri umenikimbia,Au useme Mimi Ni mtakatifu Hadi Zama zote bila Wao huwezi Hata kwa Punje au wingi wa Mali zako za rohoni uwakimbie.

Yesu huwakuta Wao kila ajapo Huyo Thomas wa kila Mda na Akishinda kwa kile kiinukacho na kuijaza mbingu kwa Moshi wake baada ya Saba ugawe kwa mbili hizo siku Basi kwa idhini ya Mungu Wao humuita Hilo jina la Yesu kwa kielelezo Cha kuwa Cheo kikuu kwa Mungu Katika waja aliowanemesha na Mambo ya Mbinguni.

Dhana ya Kanisa,Elimu,Afya,Huduma ya Jamii,Na kumtangaza vema Mungu na familia takatifu ya Yesu Hawa wako vizuri.
Hata zile Fumbo za Daudi na malaika huvishinda Vita vipenzi vyao kwa Elimu ya Kuimba nyimbo hao Mama zao wamchao Mungu kwelikweli.

Mzee wangu anasimulia kuwa aliokotwa na mapadri wazungu wakamlea Huku wakimfundisha elimu ya Mungu,Mda huo kaja kusimuliwa alikuwa na miaka mitano na hajui pa kwenda wazazi wake walifariki wakamuacha mdogo na hajui na miaka ya zamani familia zilikuwa Mbali Mbali Sana Hivyo alikutwa manusura kufa.Sasa umeokoka Sawa Hata usijue fadhila ya Hawa Jamaa? Duh huenda si mcha Mungu.Ila kiukweli Hawa ukifikiria mchango Wao Kwenye Afya,Elimu na Uchaji wa Mungu lazima Kanisa Hili uliombee kwa Mungu,Huliombei kwa kuwa Kuna Kitu limekufanyia Hapana ila dunia inahitaji Amani na utulivu ili kuzipata huduma za Jamii.Sasa utawakimbiaje Hawa?

Wapo watakaosema sisi tunaongozwa na Roho Mtakatifu,Nao wako Sawa ila Si Katika Mtazamo mkubwa wa mapana na marefu,Utaanguka kwaa puuuu,ukiangali hatua ndefu hutaweza kusimama bila Wao.

Uhuru Kwa Nyerere Na alimopita Kwa Aristide Maranta mpaka tunakuja Kuupata hela ya Nauli na utambuzi wa Nini Uhuru Sasa Ni wao Wenyewe,utakuwa na Mimi kuwa Hata Nyerere Alipewa Sh.600 Mda huo aende UNO kudai Uhuru,Huku Kwa Elimu nzuri ya Mabadiliko ya Tanganyika ijitawale lilianza kuacess lenyewe hili Kanisa .Ivi Wewe utalikimbiaje.

Mimi Mwenyewe Nimeziona mbingu sita ya Kwanza mpaka ya 6 lakini nimekubali na wote tunasadiki kwalo maana TEC ipo na Bakwata Leo ipo.

Lakini Katika Uislamu Hata Mtume Mohamed alikuwa Safarini Lakini waliomtambua Huyu ndiye Msaidizi Ni Katoliki,wakoKatika kusimamia Ustawi wa Mbingu hizi Katika utimilifu wa Saba za nguvu kwa Watu wa Nchi ya Saba wasubiliao Taa iliyopitia tabu nyingi isimamishwe juu Kama vile Mwenge uwekwavyo Mlima Kilimanjaro uyamulikie Mataifa kwa Haki,Kweli,Upendo na Moyo wa Kiasi ili mataifa yakapate Amani Katika Ustawi wa Jamii moja,Mungu mmoja na Zama moja Katika Matoleo ya kila Kizazi.

Katoliki ivi ukoje Wewe,Huenda tukawajue na upeo Kidogo ila ukweli unao we we, kwa kuashilia Ushindi kwa mataifa Mengine hasa ya Milango 12 ambapo Milango Miwili ya mwisho ikiambatana na Ishara nzuri ya Mashuhuri ya mzee aliyeishi miaka 2025 Katika kufufuka akiwa Kitoto kichanga Huko itakiwako Tumaini Hili la Milele na Milenia tena.


Watu wake Watapata Ishara ya Kumlaki Huyu mtoto Kama isemavyo Isaya7 itakayokuweko baada ya utimilifu wa Isaya53 , Kaa Thelasini na tatu ya ukamilisho Katika Utukufu wa Tumbo lililomzaa kwa idhini ya Mungu ushirika wa Roho Mtakatifu kwa Mfalme wa Isaya8 akikuombea Maombezi Mema.


Ni Kweli kikuu kinatikiswa tu kwa Mda Ila hurudi Katika mshindo Mkuu,Na Happ ndipo Najua Petro alikuwa mwamba,Kwa Imani huwezi kusema Yesu alisema Juu ya mwamba huu nitalijenga Kanisa Langu Wewe uone Kama Kawaida yaani ile poa tu,Siyo poa Aise Ni High High ,walakini ukweli Katoliki Luka urukavyo utawakuta wap kila Kanisa na dini.Sehemu muhimu ya kujipima unguli wako lifanye Kanisa Hili ulitikise duniani,Hakika Ni Masihi tu Ndo aliyerudisha heshima hii Yake Kama lenyewe lilivyomtambulisha.
Katolik si kanisa la Kristo.
1.linapinga biblia. mfano mpangilio wa amri kumi
limeondoa amri ya pili inayokataza ibada ya sanAMU na kugawanya ile ya kumi ya kutamani zikawa mbili ili tu zitimie kumi. unaweza kusoma Katekism na ukalinganisha na biblia kuhusu hizo amri
2.Mwamba ni Yesu na siyo Petro. kanisa limejengwa kwenye mwamba Yesu. Petro ni jiwe siyo mwamba
3.Katolik ilikuta Wakristo walioachwa na Yesu wakiendelea na mafundisho , lenyewe likaja na utaratibu wake na katika huo mchakato kinisa liliua watu wengi sana
Katolik ni kikundi cha kijamii tu chenye kujificha kama kanisa
 
Je, Kanisa la Katoliki ndiye mnyama wa nne duniani wa Unabii wa Daniel na Ufunuo?

Mnyama wa kitabu cha Ufunuo

Watu wengi hawafahamu kuwa mnyama ni nani, na wengi wamejihusisha naye bila wao wenyewe kujua kama wanashiriki na mnyama. Lakini Mungu hajatuacha gizani, hivyo, kwa kupitia neno lake (Maadiko Matakatifu) tunaweza kumfahamu mnyama huyu aliyelezwa katika kitabu cha Danieli na Ufunuo.

Tunapaswa kuyaacha maandiko yajitafisiri yenyewe; kwa maana “hakuna unabii katika maandiko upatao kufasiriwa kama apendavyo mtu fulani tu. Maana unabii haukuletwa popote kwa mapenzi ya mwanadamu; bali wanadamu walinena yaliyotoka kwa Mungu, wakiongozwa na Roho Mtakatifu.” 2Petro 1:20-21. Hatupaswi kumuacha mtu flani atafsri unabii kwa jinsi yake mwenyewe, badala yake tunapaswa kuiacha Biblia ijitafsiri yenyewe.

Katika Danieli 7 wametajwa “wanyama wanne” ambao wanawakilisha falme nne. Kumbuka mmyama wa 4 aliyetajwa katika Danieli 7 ndiye mnyama aliyetajwa katika kitabu chote cha Ufunuo. Hivyo hapa tutaangalia sifa za mnyama wa nne wa kitabu cha Danieli, na mnyama wa kitabu cha Ufunuo, kisha tutaangalia ni wapi hapa duniani ambapo sifa za mnyama zinatimizwa kikamilifu.

1. Mnyama atakuwa na uwezo wa kisiasa na kidini (kanisa na serikali).

Ufunuo 17:3 “Akanichukua katika Roho hata jangwani, nikaona MWANAMKE, AMEKETI JUU YA MNYAMA mwekundu sana, mwenye kujaa majina ya makufuru, mwenye vichwa saba na pembe kumi.”

Mwanamke au bibi-arusi katika unabii huwakilisha kanisa.

Ufunuo 21:2 “…Yerusalemu mpya…umewekwa tayari, kama bibi-arusi aliyekwisha kupambwa kwa mumewe.”

Ufunuo 21:9 “…Njoo huku, nami nitakuonyesha yule Bibi-arusi, mke wa Mwana-Kondoo.”

Mnyama huwakilisha taifa au ufalme

Danieli 7:17 “Wanyama hao…wanne ni wafalme wanne watakaotokea duniani”

Danieli 7:23 “…Huyo mnyama wa nne atakuwa ni ufalme wa nne juu ya dunia…”

Kutokana na Ufunuo 17:3, mnyama huyu ana mwanamke aliyeketi juu yake, na kwa sababu unabii unatafisiri mwanamke kama kanisa, na mnyama kama taifa. Je kuna taifa au serikali ambayo imechanganywa pamoja na kanisa kama kitu kimoja? Ndiyo! Vatican, ni serikali au taifa ambalo limechanganywa pamoja na kanisa la Romani Katoliki kama kitu kimoja, na kuongozwa na mtu mmoja ambaye ni Papa.

2. Mnyama atakuwa na kanisa & serikali vimekaa juu ya milima 7.

Ufunuo 17:3 “Akanichukua katika Roho hata jangwani, nikaona mwanamke, ameketi juu ya mnyama mwekundu sana…mwenye VICHWA SABA na pembe kumi.”

Vichwa saba katika unabii vinawakilisha milima saba.

Ufunuo 17:9 “Hapo ndipo penye akili zenye hekima. Vile vichwa saba ni milima saba anayokalia mwanamke huyo.”

Je hapa duniani kuna kanisa na serikali vimekaa juu ya milima saba?

“Ni ndani ya mji wa Roma, uitwao Mji wa vilima saba, hivyo eneo lote la Serikali ya Vatican limewekewa mpaka kikamilifu.” –The Catholic Encyclopedia, p 529.

“Je vilima saba vya Roma ni nini?

Roma inajulikana kuwa imejengwa juu ya vilima saba. Roma ilisemwa imepatikana wakati Romulus na Remus, wana mapacha wa Mars, walifika katika futi ya kilima Palatine na wakauanzisha mji, Vilima sita vingine ni Capitoline (kiti cha serikali), Quirinal, Viminal, Esquiline, Caelian, na Aventine.” –Geography.about.com

ENCYCLOPÆDIA BRITANNICA
Vilima saba vya Roma

“…kundi la vilima juu au kuhusu ambapo mji wa Roma wa zamani ulijengwa. Mji wa awali wa Romulus ulijegwa juu ya kilima Palatine (#1) (Kilatini: Mons Palatinus). Vilima vingine ni Capitoline, (#2) Quirinal, (#3) Viminal, (#4) Esquiline, (#5) Caelian, (#6) na Aventine (#7) (Vinavyojulikana kimoja kimoja kwa kilatini kama Mons Capitolinus, Mons Quirinalis, Mons Viminalis, Mons Esquilinus, Mons Caelius, na Mons Aventinus).” –http://www.britannica.com/seo/s /seven-hills-of-rome/

Kwa hiyo unabii huu wa Ufunuo 17:3, unaonyesha wazi kuwa mwanamke aliyeketi juu ya mnyama, amekaa juu ya vilima saba vya mji wa Roma. Kwa vyovyote, ni Vaticani na kanisa la Romani Katoliki ambavyo vimekaa juu ya milima saba, na kutimiza unabii huu. Danieli 7:23 inasema mnyama wa mwisho (Roma) anatofautiana na wanyama wengine watatu waliopita. Kwa hakika hakuna taifa wala ufalme mwingine ambao una kanisa na serikali, harafu kwa wakati huo huo umekaa juu ya milima saba. Ila ni kanisa la Romani Katoliki pekee.

3. Mnyama atatoka baharini

Ufunuo 13:1 “Kisha nikaona mnyama AKITOKA KATIKA BAHARI, mwenye pembe kumi, na vichwa saba, na juu ya pembe zake ana vilemba kumi, na juu ya vichwa vyake majina ya makufuru.”

Bahari katika unabii huwakilisha watu/jamaa, mataifa, lugha.

Ufunuo 17:15 “Kisha akaniambia, Yale maji uliyoyaona, hapo aketipo yule kahaba, ni jamaa na makutano na mataifa na lugha.”

Ukatoliki wa Romani ulitokea ulaya ya magharibi pamoja na makutano ya “watu/jamaa, mataifa, na lugha.” Na kwa wakati huu kanisa la Romani Katoliki lina idadi kubwa ya “watu, mataifa, na lugha,” kuliko kanisa jingine lolote duniani mwote. Na sasa, baada ya kuanzishwa kanisa moja duniani, Juni 26, 2000, Papa alichaguliwa kama kiongozi wa makanisa yote ambayo yameungana na lake. Hii ilifanya kanisa liongezeke mara mbili. Na hivi karibuni, makanisa yote pamoja na yasiyo ya Kikristo yatatangaza kwamba Papa ni kiongozi wao mwema.

Na Juni, 2008 mataifa 174 katika mataifa 192 duniani, yana serikali zao zikiwakilisha Vatican. Hivyo, kanisa la Romani Katoliki linatimiza unabii huu kwa ukamilifu.

4. Mnyama atatawala miaka 1260. (kabla hajapata jeraha la mauti).

Danieli 7:25 “Naye atanena maneno kinyume chake aliye juu, naye atawadhoofisha watakatifu wake Aliye juu; naye ataadhimu kubadili majira na sheria; nao watatiwa mikononi mwake KWA WAKATI, NA NYAKATI MBILI, NA NUSU WAKATI.”

Ufunuo 12:6 “Yule mwanamke akakimbilia nyikani, ambapo ana mahali palipotengenezwa na Mungu, ili wamlishe huko mda wa SIKU ELFU NA MIA MBILI NA SITINI.”

Ufunuo 13:5 “Naye akapewa kinywa cha kunena maneno makuu, ya makufuru. Akapewa uwezo wa kufanya kazi yake MIEZI AROBAINI NA MBILI.”

Danieli 7:25 inaonyesha muda ambao angetawala mnyama, kama wakati, na nyakati mbili, na nusu wakati. Ufunuo 13:5 inauonyesha mda huu wa utawala wa mnyama, kama miezi 42, miezi 42 = miaka 3 na 1/2. Hivyo, ukiangalia kwa makini hapa utaona kuwa, wakati = mwaka 1, na nyakati mbili = miaka 2, na nusu wakati = nusu mwaka.

Kwa hiyo, wakati nyakati mbili nusu wakati = miaka 3 na nusu ya Danieli 7:25, au miezi 42 ya Ufunuo 13:5, au siku 1260. Mahesabu haya yanathibitishwa katika Ufunuo 12:6 ambapo inasema, “Yule mwanamke (kanisa) akakimbilia nyikani…wamlishe huko mda wa siku 1260.” Kwa hiyo miaka 3 na 1/2 = miezi 42 au siku 1260 ambazo mnyama angetawala kabla hajapata jeraha la mauti.

Bado, wengine watakataa na kusema, hapana, miezi 42 haiwezi kuwa sawa na siku 1260, kwa sababu miezi mingine haina siku 30. Lakini katika unabii mwezi 1 = siku 30. Mwanzo 7:11 inasema, mvua za garika zilianza siku ya 17 ya mwezi wa pili, na Mwanzo 8:3, 4. inasema kuwa maji yakapunguka mwishoni mwa siku 150, harafu safina ikatua siku ya 17 ya mwezi wa saba. Hizo ni miezi 5 tangu mvua zilipoanza. Kama ukigawanya siku 150, kwa miezi 5, utapata siku 30 kwa kila mwezi. Hivyo, miezi 42 ikizidishwa kwa 30 jibu litakuwa 1260. Kwa hiyo wakati, nyakati mbili, na nusu wakati, ni sawa na miaka 3 na nusu, au miezi 42, au siku 1260. Kwa hakika, Ufunuo 12:6 inathibitisha mahesabu haya inaposema kuwa watoto wa Mungu watakimbilia nyikani kwa muda wa siku 1260 wakati wa utawala wa mnyama (upapa).

Katika unabii siku 1 ni sawa na mwaka 1,

Ezekieli 4:6 “…siku arobaini, siku moja kwa mwaka mmoja, nimekuagiza.”

Hesabu 14:34 “…siku arobaini kila siku kuhesabiwa mwaka…”

Kutokana na Ezekieli 4:6 na Hesabu 14:34, ni hakika kwamba siku 1260 ni sawa na miaka 1260 ambayo Upapa ungetawala na kuwadhofisha watakatifu. Je hii ilitokea? Je unabii huu ulitimia? Au Je kuna ushahidi wowote unaothibitisha kuwa unabii huu ulitimia?

Kwanza kabisa tunatakiwa kujua ni lini kanisa la Romani Katoliki lilipata nguvu zote za kutawala kama “mwanamke juu ya mnyama” (kanisa na serikali), na kutawala kisiasa na kidini kwa wakati mmoja kama Ufunuo 17:3 inavyosema.

“Vigillius…alikalia kiti cha upapa (538 B.K.) chini ya ulinzi wa jeshi la Belisarius.” –History of the Christian Church, Vol. 3, p. 327

Hiistoria inathibitisha kuwa upapa umeanza utawala wake kama “kanisa na serikali” mwaka 538 B.K. juu ya amri ya mfalme Jastinian, na chini ya ulinzi wa jeshi la Belisarius. Na unabii unasema mnyama (upapa) atatawala miaka 1260 kabla haujapata jeraha la mauti.

Ukiongeza miaka 1260 katika mwaka ambao kanisa la Romani Katoliki lilianza kutawala kisiasa na kidini, mwaka 538 B.K., utapata 1798 B.K. Hivyo, unabii unasema utawala wa kwanza wa mnyama ungeisha 1798 B.K. Je utawala wa mnyama uliisha mwaka huo 1798 B.K?

“Katika mwaka 1798 Generali Berthier aliingia Roma, akauondoa kabisa utawala wa upapa, na kuanzisha mwingine.” –Encyclopedia Britannica 1941 edition

Kwa hakika, hizo ni miaka 3 na 1/2 au wakati, nyakati mbili, na nusu wakati, ambazo ni miezi 42 au siku 1260 za unabii ambazo mnyama angetawala kisha angepata pigo la mauti au kuchukuliwa mateka. Je mnyama alipata pigo la mauti mwaka huo 1798 B.K?

5. Mnyama atapokea jeraha la mauti.

Ufunuo 13:3 “Nikaona kimoja cha vichwa vyake kana kwamba kimetiwa jeraha la mauti, na pigo lake lake la mauti likapona…”

Ufunuo 13:10 “Mtu akichukua mateka, atachukuliwa mateka. Mtu akiua kwa upanga, atauawa kwa upanga…”

Kama tulivyoona huko nyuma baada ya mnyama kutawala miaka 1260 angepata jeraha la mauti na kuuawa kwa upanga (upanga = vita). Baada ya mnyama kumaliza utawala wake wa miaka 1260, ambao ulianza 538 B.K. hadi 1798 B.K., Napoleon alimtuma Generali/Jemedari wake Berthier pamoja na jeshi lake, kwenda Roma kuuondoa utawala wa upapa.

“Katika mwaka 1798 Generali Berthier aliingia Roma, akauondoa kabisa utawala wa upapa, na kuanzisha mwingine.” –Encyclopedia Britannica 1941 edition

Napoleon alipomtuma Generali wake Berthier kwenda kumuondoa Papa madarakani, hapo ndipo jeraha la mauti lilipompata mnyama, na mwaka uliofuata 1799 B.K. Papa alikufa. Hii ndiyo sababu watoto wa kikatoliki katika parokia hufundishwa kuwa Napoleoni alikuwa mpinga Kristo.

“Nusu ya Ulaya walidhani…kwamba pamoja na papa upapa ulikuwa umekufa.” –Joseph Rickaby “The Modern Papacy” Lectures on the History of Religion, Lecture 24, (London Catholic Truth Society, 1910), p. 1

Lakini unabii ulisema kuwa jeraha hili lililompata mnyama lingepona. Je jeraha hili lilipona? Je utawala wa upapa ulipoondolewa madarakani na Generali Berthier ulipata nguvu zake tena?

6. Mnyama atapona jeraha lake la mauti.

Ufunuo 13:3 “Nikaona kimoja cha vichwa vyake kana kwamba kimetiwa jeraha la mauti, NA PIGO LAKE LA MAUTI LIKAPONA. Dunia yote ikamstaajabia mnyama yule.”

Kama tulivyoona, upapa ulipata jeraha la mauti mwaka 1798 B.K. Vaticani ilibaki kama kanisa tu bila nguvu za kisiasa, na unabii ulisema jeraha hili lingepona. Je jeraha la mauti lilipona? Baada ya jeraha la mauti kutokea miaka kadhaa badaye katika mwaka 1929 B.K. Italia ikautambua mji wa Vaticani kama serikali ya kujitegemea, hii ilimfanya papa kuwa na nguvu tena kama mtawala wa kisiasa na kidini. kama unabii ulivyosema kwamba jeraha la mauti lingepona, na upapa ungerudishiwa tena uwezo wake wa kanisa na serikali kwa pamoja. Hebu angalia magaziti yaliyotoa taarifa hiyo jinsi waandishi wake walivyotumia lugha ya unabii bila ya wao wenyewe kujua.


Kusaini kwa Mussolini na (Kadinali) Gasspari mkataba wa kihistoria wa Romani

“Suala la Romani usiku huu lilikuwa ni jambo lililopita, na Vaticani ilikuwa katika amani na Italia…katika kuweka sahihi kwenye mkataba wa kukumbukwa kuponya jeraha la miaka mingi, uchangamfu wa kupindukia ulionyeshwa na pande zote.” –The San Francisco Chronicle. Feb. 11, 1929

Papa Amekuwa Kiongozi Wa Serikali Tena

“Roma, Juni 7.–Kutoka saa 5 kamili asubuhi hii kulikuwa na mtawala mwingine wa serikali ya kujitegemea duniani. Katika mda huo waziri mkuu Mussolini, kama waziri wa mambo ya nje Italia akimuwakilisha mfalme Victor Emmanuel–waziri mkuu wa kwanza Italia kuvuka kizingiti cha chini cha mlango wa Vaticani–akibadilishana na kadinali Gasspari, wakala wa serikali ya upapa, akimuwakilisha papa Pius XI, makubaliano ya mikataba yalisainiwa katika ikulu ya Lateran Feb. 11. Kwa kitendo hicho rahisi mtawala wa serikali ya kujitegemea ya mji wa Vaticani amekuwepo.” — New York Times July 7, 1929

Hivyo, unabii huu ulitimia kikamilifu na jeraha la mauti lililoupata upapa 1798 B.K. lilipona kabisa tangu 1929 B.K. mpaka leo kanisa la Romani Katoliki lina nguvu za “kisiasa na kidini” au “mwanamke juu ya mnyama.” Kwa kumaliza sehemu hii tunagundua kwamba mnyama huyu ndiye aliyekuwako, naye hayuko, na sasa yupo.


7. Mnyama aliyekuwako, naye hayuko, naye yuko.

Ufunuo 17:8 “Yule mnyama…alikuwako, naye hayuko, naye yu tayari…”

Mnyama aliyekuwako: ni kanisa la Romani Katoliki tangu lilipoanza kutawala kama “kanisa & serikali” 538 B.K. na likaendelea mpaka. Napoleon alipomtuma Berthier kwenda kuuondoa utawala wa upapa. 1798 B.K.

…naye hayuko tokea 1798 B.K. mpaka kusaini kwa mkataba uliofanyika katika ikulu ya Lateran katika mwaka 1929 B.K. Vaticani ilikuwa kanisa tu bila uwezo wa kiserikali.

…naye yu tayari kutoka 1929 B.K. mpaka leo kanisa la Romani Katoliki lina nguvu za kisiasa na kidini, “kanisa & sesikali” au mwanamke juu ya mnyama.

8. Mnyama atabadili majira na sheria za Mungu.

Danieli 7:25 “…naye ataadhimu kubadili majira na sheria…”

Unabii huu ni ushahidi ulio wazi sana ambao karibu kila mtu hawezi kusumbuka kuelewa kwamba ni kanisa gani hapa duniani lililobadilisha sheria za Mungu. Ni kanisa moja tu la Romani Katoliki ndilo lililobadilisha sheria za Mungu kama Danieli 7:25 inavyodai kuwa. Kanisa la Katoliki limebadilisha sheria ya pili inayozuia kuchonga sanamu ya kitu chochote kile (angalia Kut 20:4). Katika katekism kanisa limeirarua amri ya 2 kisha likaigawa amri ya 10 katika sehemu mbili ili kuonyesha amri 10 zote. Lakini Je ni nani hapa duniani anayedai kuwa anauwezo wa kubadili amri za Mungu?

“Papa anauwezo wa kubadili majira, kubadili sheria, na kuachana na mambo yote, hata maagizo ya Kristo!” “Papa anayo mamlaka na mara nyingi ameyatumia, kuachana na amri ya Kristo.” –Decretal, de Tranlatic Episcop. Cap. (The Pope can modify divine law.) Ferraris’ Ecclesiastical Dictionary.

“Papa ni wa mamlaka kuu na nguvu kiasi kwamba anaweza kurekebisha, kuelezea au kutafsiri hata sheria za Mungu…Papa anaweza kurekebisha sheria ya Mungu, kwa sababu nguvu zake si za mwanadamu, bali ni nguvu za Mungu, na hutenda kama mwakilishi wa Mungu juu ya dunia.” –Lucius Ferraris,Prompta Ribliotheca, “Papa,” art. 2, translated.

Tangu kwamba papa ana mamlaka na maranyingi ameyatumia kubadili majira na sheria za Kristo, Je alibadili sheria ya Sabato? Je kanisa katoliki liliibadili Sabato ya siku ya saba ya wiki kwenda siku ya kwanza ya wiki? Kwa hakika kanisa lenye linakubali!

“Bila shaka kanisa la katoliki hudai kuwa badiliko, (la Sabato Jumamosi kwenda Jumapili) ilikuwa ni kitendo chake…na kitendo hicho ni ALAMA ya mamlaka yake katika mambo ya kidini.” –H.F. Thomas, Chancellor of Cardinal Gibbons

“Jumapili ni ALAMA yetu ya mamlaka…kanisa liko juu ya Biblia, na uhamishaji huu wa utunzaji wa Sabato ni ushahidi wa jambo hilo la ukweli.” –Catholic Record of London, Ontario Sept 1, 1923.

“Swali: Siku ipi ni siku ya Sabato?
Jibu: Jumamosi ni siku ya Sabato.
Swali: Kwanini tunatunza Jumapili badala ya Jumamosi?
Jibu: Tunatunza Jumapili badala ya Jumamosi kwa sababu kanisa katoliki, katika balaza la Laodikia (364 BK) liliihamisha kutoka Jumamosi kwenda Jumapili.” –The Convert’s Catechism of Catholic Doctrine,p. 50, 3rd ed.

“Kanisa la Romani (Katoliki) liliigeuza amri ya nne kwa kuiondolea mbali Sabato ya neno la Mungu, na kuanzisha Jumapili kama siku ya mapumziko.” –Nicholas Summerbell, History of the Christian Church, 3rd edition, 1873, p. 415 [Christian Church (Christian Connection)].

“Na ni wapi tumeambiwa katika maandiko kwamba tutunze siku ya kwanza kabisa? Tumeamriwa kutunza siku ya saba; lakini hakuna sehemu yoyote tuliyo amriwa kutunza siku ya kwanza. Sababu ya kutunza siku ya kwanza ya wiki kitakatifu badala ya siku ya saba ni kwa sababu ile ile kwamba tunatunza mambo mengine mengi, siyo kwa sababu ya Biblia, lakini kwa sababu kanisa, limeyaingiza [limeyaamuru].” –Isaac Williams, Plain Sermons on the Catechism, vol 1, pp. 334, 336 [Anglican].

Hivyo, kanisa la Romani Katoliki liliibadili sheria ya Sabato na kuwaamuru watu watunze jumapili badala yake. Na mwaka 1582. Papa Gregory XIII, alianzisha kalenda mpya. Kwa vyovyote, ni Vaticani ndiyo ilitimiza unabii huu kwa ukamilifu kabisa, hakuna jumuiya, wala shirika, wala sehemu yoyote ya kidini au isiyo ya kidini ambayo imetimiza unabii huu, kama ilivyo Vaticani. Ni kanisa la Romani Katoliki pekee ambalo lilibadili sheria, na majira, na kuamuru siku ihesabiwe kuanzia saa sita usiku kinyume na Maandiko yanayothibitisha kuwa siku huanza kuhesabiwa jioni.

Mwanzo 1:5 “Mungu akaiita nuru Mchana, na giza Usiku. Ikawa jioni ikawa asubuhi, siku moja.”


9. Mnyama atanena maneno ya makufuru juu ya Mungu.

Danieli 7:25 “Naye atanena maneno kinyume chake Aliye juu…”

Ufunuo 17:3 “…nikaona mwanamke ameti juu ya mnyama…mwenye kujaa majina ya makufuru…”

Ufunuo 13:1 “…nikaona mnyama…mwenye…vilemba kumi, na juu ya vichwa vyake majina ya makufuru.”

Ufunuo 13:5 “Naye akapewa kinywa cha kunena makuu, ya makufuru…”

Kukufuru katika Biblia inaelezewa kama hali ya mtu kujifanya yeye mwenyewe kama Mungu.

Yohana 10:33 “Wayahudi wakamjibu, kwa ajili ya kazi njema hatukupigi kwa mawe; bali kwa kukufuru, na kwa sababu wewe uliye mwamadamu wajifanya mwenyewe u Mungu.”

Je nani hujiita na kujifananisha na Mungu hapa duniani?

“Papa siyo mwakilishi tu wa Yesu Kristo, yeye ni Yesu Kristo mwenyewe, amejificha chini ya uficho wa mwili.” –Catholic National July 1895.

“Kwa kuwa wewe u mchungaji, wewe u tabibu, wewe u mwongozaji, wewe u mkulima, hatimaye wewe u Mungu mwingine duniani.” –Labbe and Cossart’s “History of the Councils.” Vol. XIV, col. 109

“Tunapachukulia juu ya dunia hii sehemu ya Mwenyezi Mungu…” –Pope Leo XIII Encyclical Letter of June 20, 1894,

Katika “The Bull Unam Sanctam” iliyotolewa na Papa Boniface VIII inasomeka kama ifuatavyo…
“Papa wa Roma huukumu watu wote, lakini yeye haukumiwi na mtu. Tunatangaza, kutetea, kuelezea, na kutamka; kutawaliwa na Papa wa Roma ni kwa kila kiumbe cha mwanadamu muhimu kwa ajili ya wokovu ambao ulisemwa na Kristo ‘Ameviweka vitu vyote chini ya miguu yake’ inaonekana vizuri imethibitishwa kwangu…Nina mamlaka ya Mfalme wa Wafalme. Mimi ni yote katika yote na juu ya yote, hivyo basi, Mungu Mwenyewe na mimi, kasisi wa Mungu tuna usawa mmoja, na ninaweza kufanya yote ambayo Mungu anaweza kufanya.”

“Mwokozi mwenyewe ni mlango wa zizi la kondoo; ‘Mimi ni mlango wa kondoo’. kwenye zizi hili la Yesu Kristo, hakuna mtu anayeweza kuingia mpaka awe ameingizwa na Papa mtawalawa na ni pale tu kama wameunganika naye ndipo wanadamu wanaweza kuokolewa, kwa sababu Papa wa Roma ni kasisi wa Kristo na ni mwakilishi wake kwa nafisi duniani.” –(Pope John XXIII in his homily to the Bishops and faithful assisting at his coronation on November 4, 1958).

Kudai kuwa Mungu duniani Biblia inathibitisha kuwa ni kukufuru ju ya Mungu aliye hai. Kufuru nyingine ni kudai kuwa na uwezo wa kusamehe dhambi.

Marko 2:7 “Mbona huyu anasema hivi? Anakufuru. Ni nani awezaye kusamehe dhambi ispokuwa mmoja, ndiye Mungu?”

Je makuhani wa kanisa la Romani Katoliki hudai wana uwezo wa kusamehe dhambi?

“Kuhani kiukweli kabisa husamehe dhambi kwa uwezo aliopewa na Kristo.” -Joseph Devarbe’s Catechism, p. 279

“Dhambi zinaweza kusamehewa kupitia sakramenti pekee…wote makuhani na sakramenti ni vifaa ambavyo Kristo anavitumia kukamilisha msamaha ndani yetu na neema ya utakaso.” -Catechism of Trent, p. 115.

“Haya mamlaka ya jaji (Judicial authority) yatajumuisha hata uwezo wa kusamehe dhambi.” –[The Catholic Encyclopaedia Vol 12, -article “Pope” pg 265]

“Na Mungu mwenyewe analazimika kufungwa na hukumu ya kuhani wake na ama kutokuomba msamaha au kuomba msamaha, kutokana na kama wanakataa kutoa ukamilifu, unaotoa toba inayoridhisha.” –Liguori, «Duties and Dignities of the Priest», p.27

10. Mnyama ana jina lenye namba 666.

Ufunuo 13:17 “tena kwamba mtu awaye yote asiweze kununua wala kuuza, ispokuwa ana chapa ile, yaani, jina la mnyama yule, au hesabu ya jina lake.”

Ufunuo 13:18 “Hapa ndipo penye hekima. Yeye aliye na akili, na aihesabu hesabu ya mnyama huyo; maana ni hesabu ya kibinaadamu. Na hesabu yake ni mia sita, sitini na sita.”

Biblia inatuambia kuwa hesabu au namba ya jina la mnyama ni 666

Kanisa la Romani Katoliki hudai kuwa Papa ni kichwa cha kanisa au mwakilishi wa Yesu.

“Maneno yaliyoandikwa katika kofia (miter) ya Papa ni haya, ‘VICURIUS FILII DEI’. ambayo ni ya kilatini kwa ajili ya ‘KASISI WA MWANA WA MUNGU’. Wakatoliki huchukulia kwamba kanisa, ambalo ni jumuiya ya kuonekana, lazima liwe na kichwa cha kuonekana. Kristo, kabla ya kupaa kwake kwenda mbinguni, alimteua M.t. Petro kuwa kama mwakilishi wake…hata hivyo Askofu wa Roma, kama kichwa cha kanisa, alipewa jina ‘KASISI WA YESU.'” –Our Sunday Visitor, (Catholic Weekly) “Bureau of information,” Huntington, Ind., April 18, 1915.

Kwa hiyo “VICARIUS FILII DEI” ndilo jina linalotumiwa na mamlaka ya Upapa na kumthibitisha Papa kama kichwa cha kanisa.

Helufi za kilatini zinaweza kutumika pia kama namba, na siku hizi hujulikana kama “Namba za Kirumi,” na helufi U inaweza pia kutumika kama V.


“VICARIVS FILII DEI”

(Kasisi wa Mwana wa Mungu)

V........5
I........1
C..... 100
A...... 0
R.......0
I........1
V.......5
S.......0
F........0
I.........1
L .......50
I.........1
I.........1
D........500
E.........0
I............1
Jumla= 666

Vicarius inamaanisha, katika nafasi ya
Filii Mwana
Dei Mungu
Hivyo, kanisa la Romani Katoliki linatimiza unabi huu wa hesabu ya mnyama 666 kwa ukamilifu kabisa.

11. Onyo la Mungu kwa wote walio katika kanisa katoliki.

Mungu anaoya vikali sana juu ya wale wote ambao wanashirikiana na mnyama huyu, kama wewe ni mmojawapo unapaswa kuchukua uamuzi sahihi sasa bila kupoteza muda; kwa maana hukumu itakuja juu ya mnyama na yule kahaba (kanisa Katoliki) aliyekaa juu mnyama. Hili ni onyo la mwisho la upendo na la rehema kutoka kwa Mungu.

Ufunuo 14:9-10. “Na mwingine, malaika watatu, akafuata, akisema kwa sauti kuu, Mtu awaye yote akimsujudu huyo mnyama na sanamu yake, na kuipokea chapa katika kipaji cha uso wake, au katika mkono wake, yeye naye atakunywa katika mvinyo ya gadhabu ya Mungu iliyotengenezwa, pasipo kuchanganywa na maji, katika kikombe cha hasira yake; naye atateswa kwa moto na kiberiti mbele ya malaika watakatifu, na mbele za Mwana-Kondoo.”

Ufunuo 19:20 “Yule mnyama akakamatwa, na yule nabii wa uongo pamoja naye, yeye aliyezifanya hizo ishara mbele yake, ambazo kwa hizo aliwadanganya watu wale walioipokea ile chapa ya huyo mnyama, nao walioisujudia sanamu yake; hao wawili wakatupwa wangali hai katika lile ziwa la moto liwakalo kwa kiberiti;”

Ufunuo 18:4 “Kisha nikasikia sauti nyingine kutoka mbinguni, ikisema, Tokeni kwake, enyi watu wangu, msishiriki dhambi zake, wala msipokee mapigo yake. Kwa maana dhambi zake zimefika hata mbinguni, na Mungu amemkumbuka maovu yake…Kwa sababu hiyo mapigo yake yatakuja katika siku moja, mauti, na huzuni, na njaa, naye atateketezwa kabisa kwa moto. Kwa maana Bwana Mungu aliyemuhukumu ni mwenye nguvu
Aliyefanikiwa kusoma hii post yote anyooshe kidole apate vocha.
 
Back
Top Bottom