mose
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 422
- 395
Msafiri Kafiri: Mwenda Tezi na Omo…
‘Nuru ya Ufahamu’ katika ‘Kujiwazia UTU’ huwa na ‘utenge wa kusudi’ katika mapana ya ‘makusudi ya Uzima wote’--Uzima na Uweza na Utukufu wa Miili ya dhahiri ilivyo ni ‘Usupasha-Wakati’. Kwa mintarafu ya haya, dhahiri yoyote katika usupasha-wakati ni ‘madanganyiko’ ya ‘Kujichagulia’ kwa (1) Dhamiri, (2) Vina vya tafsiri, na (3) Uono na Ufikirifu Mifumo.
Uono na Ufikirifu Mifumo katika ‘madanganyiko’ na ‘Kujichagulia’, maya na samsara ya gari la safari ya fahari za maisha na kuishi ndivyo hufanya ‘umbali na wakati’ wa ‘kudumu’ kwa mashauri ya ‘Kujiwazia UTU’. Kwa mintarafu ya haya, ‘kujiwazia UTU’ ni ‘Ndoto/Njozi’ katika ‘Mbalamwezi’ ya ‘Utukufu wa Mbingu na Nyota’; ambamo huoteshwa ‘mbegu za uzima wa miili’ ya kujisahau/kujidanganya ili kusudi la ‘Pia ya UTU’ ipate kudhihiri ‘Uweza, Nguvu na Utukufu’ wa ‘Kusafiri na KUTOKA’. Basi ndivyo yawa, gari na safari ndiyo mambo kutwaa miili na karma katika ‘Utukufu wa Mbingu/Nchi na Nyota’.
‘Umbali na wakati’ wa ‘kudumu’ kwa mashauri ya ‘Kujiwazia UTU’ katika ‘dhukka’, kiuno na ufikirifu mifumo, ndiyo muktadha akilifu wa (1) Matendo, (2) Wakati na (3) Matukio. Kwa mintarafu ya hili, kujiwazia UTU ni kupanda mbegu ya ‘matendo, wakati na matukio’ ilivyo ni muktadha wa ‘Kujichagulia’--ufanyaji maamuzi na kuchagua mapito kwa wakati. Basi ndivyo yawa, kupanga ni kuchagua na akipandacho mtu ndivyo, katika kupita kwa kipindi cha wakati, atavuna kwa kadiri ya kusudi na matendo yake; hauwezi kupanda pilipili ukavakuvuna parachichi… ‘Dhukka’ ni matokeo ya yote matatu (1) Ujinga/Kutofahamu, (2) Kutofahamu mambo ilivyobora, na (3) Makusudi yenye kuharibika… Mapelekeo ya ‘Nia ya UTU’ katika uhasimu wa Kujua na Kutokujua ilivyobora.
Buddha alifundisha habari za ‘Marga’ ilivyo ni Miongozo ya Wongofu kwa ajili ya Kumalizana na ‘Dhukka’-- Dhukka na muambatano wake wa ‘Samsara’ na ‘Maya’. Kwa mintarafu ya hili, miongozo hii yaja kuwa Gurudumu la Midenge Minane la Buddha Mkuu; na tena Muktadha Akilifu wa Dhammapada—Njia ya Buddha.
Miongozo/Mafundisho ya Wongofu ya Buddha, kiuono na ufikirifu mifumo, ni ufunguo khasa wa ‘Uono na Ufikirifu Mifumo’. Kwa mintarafu ya hili, Njia ya Buddha ni ‘Usahihi wa katikati wa (1) Dhamira, (2)Mawazo/Kujiwazia UTU na (3) Uono’ ambavyo mifumo ya kuishi/maisha hukadirisha (1) ‘utabia binafsi’, na tena (2) ‘utabia wa kishirika’ kwa ajili ya (3) ‘Mazingira Rafiki’ ya ustawi wa wote wenye ‘Nuru ya Ufahamu’, miili ya uweza na Kuchagua/kujichagulia ilivyobora. Basi ndivyo yawa, kwa kheri ya Dhammapada ‘Mawazo/Kujiwazia UTU’ ni kitovu cha mhimili wa imani ambavyo ‘Nuru ya Ufahamu’ ni ufunguo wa wongofu—ufunuo wenye kupitiliza mashauri ya ‘vina vya tafsiri’ na ‘dhamira’ ilivyo ni moja kwa moja.
Haya ni mambo ya akili na uakilifu.
Akili na uakilifu ni 'Umodulishi wa Ufahamu'; na ufahamu, wenyewe ni 'Nishati Nukta Sifuri'--nishati nukta sifuri ya vyote na kila kitu.
Uelewa huu ni wenye kushiriki uwanja na marefukio yale yale ya mashauri ya 'maya'-- viini macho vya sura ya vitu/mambo vyenye asili itokanayo na 'fremu ya Uhalisia wa Muona na Mkazo macho wake.
Ni kutokana na muktadha huu wa Uhalisia wa Muona na Mkazo wake macho, Gautama Buddha alijenga msingi wa Kweli nne(4) za tunu kuwa kwamba ndiyo mwanzo wa yote ya Kujichagulia ili kuja kuwa huru na 'Samsara ya Maisha yenye Mauti'.
Kwa mintarafu ya haya, 'Samsara', utwaaji mwili wa nyama wa mwenyekuwa sentienti hufuatisha (1)'Maua-Sura Akilifu' ya (2)'usababishano wa maadili ya ujuzi wa jema ama/na baya' na tena kuambatana na (3)'mafikara/misukumo ya hisia kwa ajili ya raha ama karaha/matakwa ya moyo/matamanio ya kiutu'.
Ipo asili ya ndani hasa ya hulka za kitabia kwa ajili ya 'Kutangatanga kwa nafsi-roho' na hali hapo hapo upo uhalisia usiobadilishika milele--wa kudiriki kusemwa kana ule uliombali kupitiliza uweza wa akili kufaa kutumika kiuakilifu. Mbali kupitiliza 'uweza akilifu' huelezwa na wasikirifu kama 'UKIMYA'.
Buddha alishughulika kwa ajili ya mawezekano ya mwisho kabisa ya mtu mmoja kuweza kufikia kupata hali ya kuwa fahamu na ULE UKIMYA. Hali ambayo hakuna nafsi/nafsi-roho, na tena basi 'hakuna Wakati'.
Buddha aliita njia ya kusharabika kwenye hali hii ya Ukimya, njia kuelekea Sammadhi katika UTU pekee, kuwa ni 'Dhammapada'. Ndivyo basi, katika mwelekeo wa Dhammapada ni uhalisia wa 'Gurudumu la Dhamma'--lililoitwa na Buddha, njia ya Manane yajayo na kusudi moja la wongofu.
====
View: https://www.youtube.com/watch?v=iw65evLgQgc
====
Uono na Ufikirifu Mifumo katika ‘madanganyiko’ na ‘Kujichagulia’, maya na samsara ya gari la safari ya fahari za maisha na kuishi ndivyo hufanya ‘umbali na wakati’ wa ‘kudumu’ kwa mashauri ya ‘Kujiwazia UTU’. Kwa mintarafu ya haya, ‘kujiwazia UTU’ ni ‘Ndoto/Njozi’ katika ‘Mbalamwezi’ ya ‘Utukufu wa Mbingu na Nyota’; ambamo huoteshwa ‘mbegu za uzima wa miili’ ya kujisahau/kujidanganya ili kusudi la ‘Pia ya UTU’ ipate kudhihiri ‘Uweza, Nguvu na Utukufu’ wa ‘Kusafiri na KUTOKA’. Basi ndivyo yawa, gari na safari ndiyo mambo kutwaa miili na karma katika ‘Utukufu wa Mbingu/Nchi na Nyota’.
‘Umbali na wakati’ wa ‘kudumu’ kwa mashauri ya ‘Kujiwazia UTU’ katika ‘dhukka’, kiuno na ufikirifu mifumo, ndiyo muktadha akilifu wa (1) Matendo, (2) Wakati na (3) Matukio. Kwa mintarafu ya hili, kujiwazia UTU ni kupanda mbegu ya ‘matendo, wakati na matukio’ ilivyo ni muktadha wa ‘Kujichagulia’--ufanyaji maamuzi na kuchagua mapito kwa wakati. Basi ndivyo yawa, kupanga ni kuchagua na akipandacho mtu ndivyo, katika kupita kwa kipindi cha wakati, atavuna kwa kadiri ya kusudi na matendo yake; hauwezi kupanda pilipili ukavakuvuna parachichi… ‘Dhukka’ ni matokeo ya yote matatu (1) Ujinga/Kutofahamu, (2) Kutofahamu mambo ilivyobora, na (3) Makusudi yenye kuharibika… Mapelekeo ya ‘Nia ya UTU’ katika uhasimu wa Kujua na Kutokujua ilivyobora.
Buddha alifundisha habari za ‘Marga’ ilivyo ni Miongozo ya Wongofu kwa ajili ya Kumalizana na ‘Dhukka’-- Dhukka na muambatano wake wa ‘Samsara’ na ‘Maya’. Kwa mintarafu ya hili, miongozo hii yaja kuwa Gurudumu la Midenge Minane la Buddha Mkuu; na tena Muktadha Akilifu wa Dhammapada—Njia ya Buddha.
Miongozo/Mafundisho ya Wongofu ya Buddha, kiuono na ufikirifu mifumo, ni ufunguo khasa wa ‘Uono na Ufikirifu Mifumo’. Kwa mintarafu ya hili, Njia ya Buddha ni ‘Usahihi wa katikati wa (1) Dhamira, (2)Mawazo/Kujiwazia UTU na (3) Uono’ ambavyo mifumo ya kuishi/maisha hukadirisha (1) ‘utabia binafsi’, na tena (2) ‘utabia wa kishirika’ kwa ajili ya (3) ‘Mazingira Rafiki’ ya ustawi wa wote wenye ‘Nuru ya Ufahamu’, miili ya uweza na Kuchagua/kujichagulia ilivyobora. Basi ndivyo yawa, kwa kheri ya Dhammapada ‘Mawazo/Kujiwazia UTU’ ni kitovu cha mhimili wa imani ambavyo ‘Nuru ya Ufahamu’ ni ufunguo wa wongofu—ufunuo wenye kupitiliza mashauri ya ‘vina vya tafsiri’ na ‘dhamira’ ilivyo ni moja kwa moja.
Haya ni mambo ya akili na uakilifu.
Akili na uakilifu ni 'Umodulishi wa Ufahamu'; na ufahamu, wenyewe ni 'Nishati Nukta Sifuri'--nishati nukta sifuri ya vyote na kila kitu.
Uelewa huu ni wenye kushiriki uwanja na marefukio yale yale ya mashauri ya 'maya'-- viini macho vya sura ya vitu/mambo vyenye asili itokanayo na 'fremu ya Uhalisia wa Muona na Mkazo macho wake.
Ni kutokana na muktadha huu wa Uhalisia wa Muona na Mkazo wake macho, Gautama Buddha alijenga msingi wa Kweli nne(4) za tunu kuwa kwamba ndiyo mwanzo wa yote ya Kujichagulia ili kuja kuwa huru na 'Samsara ya Maisha yenye Mauti'.
Kwa mintarafu ya haya, 'Samsara', utwaaji mwili wa nyama wa mwenyekuwa sentienti hufuatisha (1)'Maua-Sura Akilifu' ya (2)'usababishano wa maadili ya ujuzi wa jema ama/na baya' na tena kuambatana na (3)'mafikara/misukumo ya hisia kwa ajili ya raha ama karaha/matakwa ya moyo/matamanio ya kiutu'.
Ipo asili ya ndani hasa ya hulka za kitabia kwa ajili ya 'Kutangatanga kwa nafsi-roho' na hali hapo hapo upo uhalisia usiobadilishika milele--wa kudiriki kusemwa kana ule uliombali kupitiliza uweza wa akili kufaa kutumika kiuakilifu. Mbali kupitiliza 'uweza akilifu' huelezwa na wasikirifu kama 'UKIMYA'.
Buddha alishughulika kwa ajili ya mawezekano ya mwisho kabisa ya mtu mmoja kuweza kufikia kupata hali ya kuwa fahamu na ULE UKIMYA. Hali ambayo hakuna nafsi/nafsi-roho, na tena basi 'hakuna Wakati'.
Buddha aliita njia ya kusharabika kwenye hali hii ya Ukimya, njia kuelekea Sammadhi katika UTU pekee, kuwa ni 'Dhammapada'. Ndivyo basi, katika mwelekeo wa Dhammapada ni uhalisia wa 'Gurudumu la Dhamma'--lililoitwa na Buddha, njia ya Manane yajayo na kusudi moja la wongofu.
====
View: https://www.youtube.com/watch?v=iw65evLgQgc
====
Marejeo Ngamani:
Kujisukanya na kujikung’uta mavumbi
Njia ya Manane yajayo na kusudi moja la wongofu, na dhamma yake katika UTU pekee, ndiyo yenye baraka ya kukadirisha 'Sovereini Jumuifu'; na basi zaidi 'Trizaniamu'. Samma/ Usahihi wa (1) Uelewa : Ditti, (2) Dhamira : Sankappa, (3) Kauli : Vacha, (4) Kitendo : Kammantha, (5) Uisho : Ajeeva, (6) Jitihada : Vayama, (7) Uakilifu : Sathi, na (8)Umbonishaji fahamu : Samadhi.
Maana mfanano kwa 'Usahihi/Samma' ni 'Mizania'; kwa mintarafu ya hivi ni mizania ya 'hisia ufahamu' na 'vina vya tafsiri za urazini' zinazotupatia mkononi mikutadha 'Kujifahamu'yenye baraka bora kwa wakati--aina ya 'kujifahamu' kwenye mzizi iliyojichomeka katika 'Uakilifu' na 'Uisho'. Mikutadha ya Uakilifu inatumikika kwenye 'Uelewa', 'Kauli' na 'Kitendo'; kwa maisha ya kila siku na vivyo hivyo panapo mmoja na mwingine wanavyoshiriki makutaniko ya shughuli; na wakati huo huo hutumikika vivyo hivyo kwenye 'Dhamira, Hekima na Uisho' kama maegamio kwa 'Uono Mifumo' kwa ajili ya 'maisha yasiyo na mapambano/manyukano' na uwepo wote wa vitu.
Mikutadha ya Uakilifu unatumikika kwenye 'Jitihada', 'Dhamira' na 'Umbonishaji fahamu' kwa ajili ya 'kumodulishia juu ama chini' hisia fahamu za uhalisia wa kifiziki sambamba na sehemu zake uhesabu ilivyo ni 'fikra na hisia'. Kwa mintarafu ya hili, 'Uzimishaji wa Akili' ni hali bahatifu iliyo huru na 'Mawazio ya Maisha'.
Maana mfanano kwa 'Usahihi/Samma' ni 'Mizania'; kwa mintarafu ya hivi ni mizania ya 'hisia ufahamu' na 'vina vya tafsiri za urazini' zinazotupatia mkononi mikutadha 'Kujifahamu'yenye baraka bora kwa wakati--aina ya 'kujifahamu' kwenye mzizi iliyojichomeka katika 'Uakilifu' na 'Uisho'. Mikutadha ya Uakilifu inatumikika kwenye 'Uelewa', 'Kauli' na 'Kitendo'; kwa maisha ya kila siku na vivyo hivyo panapo mmoja na mwingine wanavyoshiriki makutaniko ya shughuli; na wakati huo huo hutumikika vivyo hivyo kwenye 'Dhamira, Hekima na Uisho' kama maegamio kwa 'Uono Mifumo' kwa ajili ya 'maisha yasiyo na mapambano/manyukano' na uwepo wote wa vitu.
Mikutadha ya Uakilifu unatumikika kwenye 'Jitihada', 'Dhamira' na 'Umbonishaji fahamu' kwa ajili ya 'kumodulishia juu ama chini' hisia fahamu za uhalisia wa kifiziki sambamba na sehemu zake uhesabu ilivyo ni 'fikra na hisia'. Kwa mintarafu ya hili, 'Uzimishaji wa Akili' ni hali bahatifu iliyo huru na 'Mawazio ya Maisha'.
Mikutadha ya Uakilifu ni Vipassana--Michakato ya Uonefu/Ushuhudiaji wa fahamu pasipo 'kujitambulisha na yatokeayo'. Kwa mintarafu ya hili, vipassana ni mbinu mahsusi ya kiufundi ya kuitafuta nukta sifuri ya akili ambapo ufahamu pasi umodulishi waweza 'kuishika' pasipo 'unafsi kupata jina'--mapelekeo ya maana ya 'Utupu' katika 'Utu Mmoja'.
Kwa mabaki ya asili-akili yenye uingiliano wa chini kabisa kivitendo na mambo, kuelekea hali ya 'Utupu' kabisa kabisa, ilivyo hali ya mapito ya kuliishi jambo kwa mwenye ushuhudiaji/uonefu, mtu wa vipassana katika samadhi hughubikwa na (1) hisia za juu za furaha ya moyo, (2) amani ya moyo, na (3) kina kisichofikika mwisho cha 'Amani ya Utu'.
Kwa mabaki ya asili-akili yenye uingiliano wenye ukuu wa kivitendo na mambo, kwa mtu wa vipassana katika samadhi, mapana yasiyokifani ya (1) ulimwengu/alimwengu, (2) mifanyiko akilifu na (3) ufanusi wa mambo; hufanyika 'kuwezekana kufahamika' kama mapitio ya moja kwa moja ya uzoefu wa mambo katika umbonishaji akilifu wa fahamu kwenye 'madanganyifu ya nafsi/Ukuwa na Wakati'.
Kwa mabaki ya asili-akili yenye uingiliano kivitendo na mambo wenye ukuu, gurudumu la dhamma linaweza kufanyizwa ukuu kutokea upande pitilizi wa uhalisia wa maisha ili kuwezesha (1) 'Umasiha/Mahdi/Manyoosheko udhahiri-nafsi wa Boddhisatva/Ukuwa UTU' na (2)'wakati'. Uhalisia ulionyookea mbali kupiliza kawaida ya mambo, katika mapokeo ya Kibuddha, ndivyo basi 'kinu cha mzigo-msalaba' wa katikati wa miduara ya gurudumu la maarifa kwa Buddha, mtu wa utaamuliko, aliyefanyika/anayefanyika ‘Mkuu’.
====
View: https://www.youtube.com/watch?v=ZaYMzvjsrjQ
====
Kwa mabaki ya asili-akili yenye uingiliano wenye ukuu wa kivitendo na mambo, kwa mtu wa vipassana katika samadhi, mapana yasiyokifani ya (1) ulimwengu/alimwengu, (2) mifanyiko akilifu na (3) ufanusi wa mambo; hufanyika 'kuwezekana kufahamika' kama mapitio ya moja kwa moja ya uzoefu wa mambo katika umbonishaji akilifu wa fahamu kwenye 'madanganyifu ya nafsi/Ukuwa na Wakati'.
Kwa mabaki ya asili-akili yenye uingiliano kivitendo na mambo wenye ukuu, gurudumu la dhamma linaweza kufanyizwa ukuu kutokea upande pitilizi wa uhalisia wa maisha ili kuwezesha (1) 'Umasiha/Mahdi/Manyoosheko udhahiri-nafsi wa Boddhisatva/Ukuwa UTU' na (2)'wakati'. Uhalisia ulionyookea mbali kupiliza kawaida ya mambo, katika mapokeo ya Kibuddha, ndivyo basi 'kinu cha mzigo-msalaba' wa katikati wa miduara ya gurudumu la maarifa kwa Buddha, mtu wa utaamuliko, aliyefanyika/anayefanyika ‘Mkuu’.
====
View: https://www.youtube.com/watch?v=ZaYMzvjsrjQ
====
Kila Mtu anauchukua
Mzigo wake yeye Mwenyewe
Msalaba ilivyo ni ukadinali wa (1) Uelewa, (2) Kauli, (3) Uisho, na (4) Uakilifu;
Kuwa basi:-
(1) Kauli na Uisho ndiyo huleta muktadha wa 'Shika Neno, Tenda Neno' na
(2) Uelewa na Uakilifu ndiyo asili ya Vipassana na Samadhi kwa ajili ya kukadirishia 'Mbawa-UTU za kujichagulia' ambavyo ni muktadha wa 'Dhamira' katika 'Umbonishaji wa fahamu' ili kuakisi 'Jitihada' na 'Kitendo'.
Kwa mintarafu ya haya, kulizingurusha gurudumu la dhamma ni jambo bahati lijalo kwa fasaha za (1) Kuhama sura moja hata ingine ya kujichagulia utukufu, (2) Ku(ji)nyooshea miongozo ya mageuzi ya sura na utukufu, na (3) Kusogeza mahalisia ya ujumuifu wa ufahamu ilivyo ni mafungamano ya nafsi-akili-maumbile ya sura.
Kila mmoja wa kiumbe awe na fahamu ama asiwe na fahamu anatendesha dhamma yake mwenyewe, uhalisia ulionyookea mbali wa (1) Karma, (2) Akili, na (3) Madhamirio--KUBU za 'Supasha-wakati'/'Nafsi/Akili. Alamu zingine za Ukuwa Kiumbe na Asili wakati wote huwepo kama manyookeo hai ya mafikara, hisia na madhamirio -- vyenye mambo ya ushirika kwa mapelekeo ya 'kulizungurusha gurudumu la dhamma'; kubahatisha ujio wa asili za (1)'Tripitaka' na tena kwa mujibu wa (2)'Triptika' katika (3)'mapana ya Trikaya'. Kwa mintarafu ya haya, uisho sahihi--samma Ajiiva, ni ufunguo wa 'Kuhama sura moja hata ingine ya kujichagulia utukufu' kulingana na hamasa ya kiutu katika Nafsi/Ukuwa Kiumbe na tena wakati.
Miditisha ni muhimu hasa kwa ajili ya Dhammapada -- utimilisho wa matakwa tunu ili kuja kuwa Buddha anayeishi; na hii ni njia upweke, ya mtu mmoja kipekee yake na tena uhuru wake. ‘Kuabudu’ na ‘Kujitoa moyo’ kwa ‘chenye kheri’ si miditisha -- haya ni mengine ya 'mapokeo ya kukamilishana'; na basi wakati mmoja haya yaja kukutana/kuingiliana na mielekeo kwa ajili ya 'Maisha yanayoizidia juu Kawaida'
Mbinu-kazi ya Buddha kwa ajili ya 'Nidhamu ya Kiakili', ilivyo katika njia ya Buddha, na tena kwa ajili ya kufikia utaamuliko ni 'Via Negativa'. Kwa mintarafu ya hili, mwenye kufikia utaamuliko anakwenda kuikosa ladha ya kigulu na njia kupitia tuseme 'kujitoa moyo/Upendo/Huruma'; ingawaje mielekeo yote miwili, miditisha na mapendo, huishia kwenye kilele cha 'Utaamuliko Mmoja wenye kujumuisha yote'. Kwa hivyo ndivyo kusema asili ya 'ufahamu-nafsi-akili-maumbile sura' hufanya kuinuka kwa 'mikutadha akilifu yenye kukamilishana' ya ukweli wa YOTE.
====
View: https://www.youtube.com/watch?v=vj6GM-C5vks&list=OLAK5uy_k0d3C57m3iJKirqXygSz4ci0DbXN6RmBE&index=1
====
Kuwa basi:-
(1) Kauli na Uisho ndiyo huleta muktadha wa 'Shika Neno, Tenda Neno' na
(2) Uelewa na Uakilifu ndiyo asili ya Vipassana na Samadhi kwa ajili ya kukadirishia 'Mbawa-UTU za kujichagulia' ambavyo ni muktadha wa 'Dhamira' katika 'Umbonishaji wa fahamu' ili kuakisi 'Jitihada' na 'Kitendo'.
Kwa mintarafu ya haya, kulizingurusha gurudumu la dhamma ni jambo bahati lijalo kwa fasaha za (1) Kuhama sura moja hata ingine ya kujichagulia utukufu, (2) Ku(ji)nyooshea miongozo ya mageuzi ya sura na utukufu, na (3) Kusogeza mahalisia ya ujumuifu wa ufahamu ilivyo ni mafungamano ya nafsi-akili-maumbile ya sura.
Kila mmoja wa kiumbe awe na fahamu ama asiwe na fahamu anatendesha dhamma yake mwenyewe, uhalisia ulionyookea mbali wa (1) Karma, (2) Akili, na (3) Madhamirio--KUBU za 'Supasha-wakati'/'Nafsi/Akili. Alamu zingine za Ukuwa Kiumbe na Asili wakati wote huwepo kama manyookeo hai ya mafikara, hisia na madhamirio -- vyenye mambo ya ushirika kwa mapelekeo ya 'kulizungurusha gurudumu la dhamma'; kubahatisha ujio wa asili za (1)'Tripitaka' na tena kwa mujibu wa (2)'Triptika' katika (3)'mapana ya Trikaya'. Kwa mintarafu ya haya, uisho sahihi--samma Ajiiva, ni ufunguo wa 'Kuhama sura moja hata ingine ya kujichagulia utukufu' kulingana na hamasa ya kiutu katika Nafsi/Ukuwa Kiumbe na tena wakati.
Miditisha ni muhimu hasa kwa ajili ya Dhammapada -- utimilisho wa matakwa tunu ili kuja kuwa Buddha anayeishi; na hii ni njia upweke, ya mtu mmoja kipekee yake na tena uhuru wake. ‘Kuabudu’ na ‘Kujitoa moyo’ kwa ‘chenye kheri’ si miditisha -- haya ni mengine ya 'mapokeo ya kukamilishana'; na basi wakati mmoja haya yaja kukutana/kuingiliana na mielekeo kwa ajili ya 'Maisha yanayoizidia juu Kawaida'
Mbinu-kazi ya Buddha kwa ajili ya 'Nidhamu ya Kiakili', ilivyo katika njia ya Buddha, na tena kwa ajili ya kufikia utaamuliko ni 'Via Negativa'. Kwa mintarafu ya hili, mwenye kufikia utaamuliko anakwenda kuikosa ladha ya kigulu na njia kupitia tuseme 'kujitoa moyo/Upendo/Huruma'; ingawaje mielekeo yote miwili, miditisha na mapendo, huishia kwenye kilele cha 'Utaamuliko Mmoja wenye kujumuisha yote'. Kwa hivyo ndivyo kusema asili ya 'ufahamu-nafsi-akili-maumbile sura' hufanya kuinuka kwa 'mikutadha akilifu yenye kukamilishana' ya ukweli wa YOTE.
====
View: https://www.youtube.com/watch?v=vj6GM-C5vks&list=OLAK5uy_k0d3C57m3iJKirqXygSz4ci0DbXN6RmBE&index=1
====
Isemwavyo ’Nira iliyo ni Nyepesi’
SASA, haya yanakujaje na ‘Utaifa’ wa Tanzania—kwa mfano?
Kiufundi, ‘Utaamuliko jamii’ ni ufunguo wa ‘Ulinzi’ na ‘Kazi’--Ulinzi na kazi kwa ajili ya kulijenga taifa, kuujenga UTU.
UHURU, UDUGU, HAKI na AMANI ni KISU ilivyo ni ALMASI ya UBUDDHA; Maisha na Uisho ni ‘Mchezo wa Mapiku’ ambavyo ‘Masumbuko na Tabu’ ni matokeo ya Kuzichanga karata kichaa za Uzima wa Miili.
Kwa hivyo kama ilivyo dhahiri shahiri katika Yantra Dhamma, Gurudumu la Dhamma huja na Duara nne (4) na Mraba wa Maisha. Duara katika kila upande wa Mstari wa Mraba wa maisha ni uashirifu wa ‘Usahihi wa Vitovu’ vinne ya Tunu ya Utu kama alivyofundisha Buddha Mkuu.
Kama alivyofundisha Buddha, kukosa fasaha ya vitovu vya uono na tafsiri ya mambo ndiyo adha kuu ya Maisha na Kuishi -- kukadirisha Kweli Nne (4) zilizo ni TUNU.
Kila ‘Pembetatu’ inayokabiliana na upande wa Mraba ni ‘Vekta Dhamiri’ ya UTU na Maadili—Thrishiksha. Kiufundi, pembetatu ya muktadha wa vekta dhamiri ndiyo aslili ya pembetatu ndani ya duara katika alama oanifu za Trizaniamu.
Basi ndiyo yaja kuwa mifumo yote ni asili ya pembetatu za vekta dhamiri kujimizanisha katika mapana na marefu ya ‘Mraba wa Maisha’—KUBU za 'Supasha-wakati'/'Nafsi/Akili . Alama ya ‘Mifumo’ katika Trizaniamu ndivyo basi khasa pembetatu mbili zinazokinzana uelekeo huku zikishiriki kitovu cha nguvu na uweza katika ‘mstari wa mizania’. Duara yenye Kitovu chenye kushiriki kitovu za mstari wa mizania ni asili ya ‘Mboni ya Fahamu’.
‘Mboni ya Ufahamu’ katika vitovu vya (1) vitendo, (2) dhamira na (3) jitihada ndiyo khasa asili ya ‘Uelewa’ na ‘Uakilifu’ ilivyo basi ni asili ya ‘Vipassana’ na ‘Samadhi ‘kwa ajili ya kukadirishia 'Mbawa-UTU za kujichagulia'.
Mintarafu ya haya ndiyo yanakarisha ingilio kwa ‘Hekima, Umoja na Amani’.
Msalaba ilivyo ni ukadinali wa (1) Uelewa, (2) Kauli, (3) Uisho, na (4) Uakilifu; Katika taifa la Tanzania ndiyo kiini cha ‘kunena na kutenda’ kwa ajili ya udhamirifu wa UHURU, UDUGU, HAKI na AMANI.
Kiufundi HEKIMA na AMANI huja na Utangamano wa (1) Jitihada katika muktadha wa usahihi wa katikati wa (2)Dhamira na (3) Matendo; Ambavyo ‘UMOJA’ ni koherensia ya nidhamu ya vitendo kulingana na ‘Miongozo’--Mraba wa Maisha katika Yantra Dhamma ndiyo ‘Muakisiko’ wa ‘Vitendo vyenye miongozo ya UTU bora’, Dhamma.
Koherensia ya nidhamu ya vitendo kulingana na ‘Miongozo’ ndiyo msingi wa Taifa na Ontolojia ya Utaasisi wake wa Dola na Mamlaka ya wananchi. Kwa mintarafu ya hili, katiba ni ‘Mkusanyiko wa Miongozo’ kwa ajili ya ‘Ontolojia ya Taasisi’ na ‘Usivilai wa Wananchi’. Fanusi ya ‘Utaamuliko Jamii’ ndiyo msingi wa Ku-Jua na Kuto-Ku-Jua kunakokadirisha Haki na Wajibu wa ‘Wenyenchi/Wananchi’ kwa kuwa ufahamu wa UTU na UZALENDO ndiyo hujenga ubayanifu wa Kujichagulia katika ‘Kheri’ ama ‘Mikosi’ ya UTAIFA.
Kwa hivyo ufundi wa Katiba ni kujenga ‘miongozo’ kwa mambo ya Kiroho, Maadili na Miiko; si michoro ya ‘Sura na mipango’ kwa ajili ya sura na nchi tawala kwa ‘vina vya kimasahafu’ ya miundo na utaasisi ‘iliyokubuhu’ maelezo na uchanganuzi wa ‘taasisi ndani ya taasisi’. ‘Miongozo’ kuwa ‘Sheria Mama’ ni ingilio la ‘taratibu na kawaida’ za kijamii—basi si ‘ufunguo wa ufahamu’ khasa. ‘Utaamuliko Jamii’ ndiyo hasa ‘Ufunguo wa Ufahamu’ na ndiyo ‘Dume la Shupaza’ la ‘Maisha na Uisho’…
====
View: https://www.youtube.com/watch?v=T9UtTXu9pZ0
====
Kiufundi, ‘Utaamuliko jamii’ ni ufunguo wa ‘Ulinzi’ na ‘Kazi’--Ulinzi na kazi kwa ajili ya kulijenga taifa, kuujenga UTU.
UHURU, UDUGU, HAKI na AMANI ni KISU ilivyo ni ALMASI ya UBUDDHA; Maisha na Uisho ni ‘Mchezo wa Mapiku’ ambavyo ‘Masumbuko na Tabu’ ni matokeo ya Kuzichanga karata kichaa za Uzima wa Miili.
Kwa hivyo kama ilivyo dhahiri shahiri katika Yantra Dhamma, Gurudumu la Dhamma huja na Duara nne (4) na Mraba wa Maisha. Duara katika kila upande wa Mstari wa Mraba wa maisha ni uashirifu wa ‘Usahihi wa Vitovu’ vinne ya Tunu ya Utu kama alivyofundisha Buddha Mkuu.
Kama alivyofundisha Buddha, kukosa fasaha ya vitovu vya uono na tafsiri ya mambo ndiyo adha kuu ya Maisha na Kuishi -- kukadirisha Kweli Nne (4) zilizo ni TUNU.
Kila ‘Pembetatu’ inayokabiliana na upande wa Mraba ni ‘Vekta Dhamiri’ ya UTU na Maadili—Thrishiksha. Kiufundi, pembetatu ya muktadha wa vekta dhamiri ndiyo aslili ya pembetatu ndani ya duara katika alama oanifu za Trizaniamu.
Basi ndiyo yaja kuwa mifumo yote ni asili ya pembetatu za vekta dhamiri kujimizanisha katika mapana na marefu ya ‘Mraba wa Maisha’—KUBU za 'Supasha-wakati'/'Nafsi/Akili . Alama ya ‘Mifumo’ katika Trizaniamu ndivyo basi khasa pembetatu mbili zinazokinzana uelekeo huku zikishiriki kitovu cha nguvu na uweza katika ‘mstari wa mizania’. Duara yenye Kitovu chenye kushiriki kitovu za mstari wa mizania ni asili ya ‘Mboni ya Fahamu’.
‘Mboni ya Ufahamu’ katika vitovu vya (1) vitendo, (2) dhamira na (3) jitihada ndiyo khasa asili ya ‘Uelewa’ na ‘Uakilifu’ ilivyo basi ni asili ya ‘Vipassana’ na ‘Samadhi ‘kwa ajili ya kukadirishia 'Mbawa-UTU za kujichagulia'.
Mintarafu ya haya ndiyo yanakarisha ingilio kwa ‘Hekima, Umoja na Amani’.
Msalaba ilivyo ni ukadinali wa (1) Uelewa, (2) Kauli, (3) Uisho, na (4) Uakilifu; Katika taifa la Tanzania ndiyo kiini cha ‘kunena na kutenda’ kwa ajili ya udhamirifu wa UHURU, UDUGU, HAKI na AMANI.
Kiufundi HEKIMA na AMANI huja na Utangamano wa (1) Jitihada katika muktadha wa usahihi wa katikati wa (2)Dhamira na (3) Matendo; Ambavyo ‘UMOJA’ ni koherensia ya nidhamu ya vitendo kulingana na ‘Miongozo’--Mraba wa Maisha katika Yantra Dhamma ndiyo ‘Muakisiko’ wa ‘Vitendo vyenye miongozo ya UTU bora’, Dhamma.
Koherensia ya nidhamu ya vitendo kulingana na ‘Miongozo’ ndiyo msingi wa Taifa na Ontolojia ya Utaasisi wake wa Dola na Mamlaka ya wananchi. Kwa mintarafu ya hili, katiba ni ‘Mkusanyiko wa Miongozo’ kwa ajili ya ‘Ontolojia ya Taasisi’ na ‘Usivilai wa Wananchi’. Fanusi ya ‘Utaamuliko Jamii’ ndiyo msingi wa Ku-Jua na Kuto-Ku-Jua kunakokadirisha Haki na Wajibu wa ‘Wenyenchi/Wananchi’ kwa kuwa ufahamu wa UTU na UZALENDO ndiyo hujenga ubayanifu wa Kujichagulia katika ‘Kheri’ ama ‘Mikosi’ ya UTAIFA.
Kwa hivyo ufundi wa Katiba ni kujenga ‘miongozo’ kwa mambo ya Kiroho, Maadili na Miiko; si michoro ya ‘Sura na mipango’ kwa ajili ya sura na nchi tawala kwa ‘vina vya kimasahafu’ ya miundo na utaasisi ‘iliyokubuhu’ maelezo na uchanganuzi wa ‘taasisi ndani ya taasisi’. ‘Miongozo’ kuwa ‘Sheria Mama’ ni ingilio la ‘taratibu na kawaida’ za kijamii—basi si ‘ufunguo wa ufahamu’ khasa. ‘Utaamuliko Jamii’ ndiyo hasa ‘Ufunguo wa Ufahamu’ na ndiyo ‘Dume la Shupaza’ la ‘Maisha na Uisho’…
====
View: https://www.youtube.com/watch?v=T9UtTXu9pZ0
====
Mambo ya Mlimani: Muongozo
kwa ajili ya Taamuli, Kazi na Ulinzi
Katika ujenzi wa taifa la Tanzania na tena Afrika Mpya, ‘Mwenge wa Uhuru’ kuwekwa juu ya Mlima Kilimanjaro ndiyo ‘ufunguo wa ufahamu’ kwa ajili ya ‘Uono na Ufikirifu Mifumo’ juu ya ‘Uelewa’--Uelewa unaopaswa kuwa kwa ‘wananchi wote’ ili Hekima, Umoja na Amani vidhihiri utukufu wa sura na kheri ya taifa la watu.
Katika Gurudumu la Midenge minane la Dhamma, ‘Uelewa’ ni ncha moja ya ukadinali, KASKAZINI, inayosimama katikati ya mdenge ‘Umbonishaji Fahamu/Samadhi’ upande wa kushoto; na mdenge ‘Dhamiri/Sankappa’ kwa upande wa kulia. Basi ndiyo kuwa, mizania ya mapana ya kujichagulia katika sura ya nchi na tawala huja na yale yahusiayo miongozo mahususi ya ‘Udugu na Haki’ ili kuzaa ‘UJAZI’ na ‘LIBERTI’.
Katika Katiba ya JMT miongozo hii mahususi ndiyo hasa yale yaliyotajwa dhahiri kama:-
Katika Gurudumu la Midenge minane la Dhamma, ‘Uelewa’ ni ncha moja ya ukadinali, KASKAZINI, inayosimama katikati ya mdenge ‘Umbonishaji Fahamu/Samadhi’ upande wa kushoto; na mdenge ‘Dhamiri/Sankappa’ kwa upande wa kulia. Basi ndiyo kuwa, mizania ya mapana ya kujichagulia katika sura ya nchi na tawala huja na yale yahusiayo miongozo mahususi ya ‘Udugu na Haki’ ili kuzaa ‘UJAZI’ na ‘LIBERTI’.
Katika Katiba ya JMT miongozo hii mahususi ndiyo hasa yale yaliyotajwa dhahiri kama:-
- 'Maendeleo ya uchumi wa Taifa yanakuzwa na kupangwa kwa ulinganifu na kwa pamoja';
- 'Kila mtu mwenye uwezo wa kufanya kazi anafanya kazi, na kazi maana yake ni shughuli yoyote ya halali inayompatia mtu riziki yake';
- 'Aina zote za dhuluma, vitisho, ubaguzi, rushwa, uonevu au upendeleo zinaondolewa nchini';
- 'Matumizi ya utajiri wa Taifa yanatilia mkazo maendeleo ya wananchi na hasa zaidi yanaelekezwa kwenye jitihada ya kuondosha umaskini, ujinga na maradhi';
- 'Shughuli za uchumi haziendeshwi kwa njia zinaweza kusababisha ulimbikizaji wa mali au njia kuu za uchumi katika mamlaka ya watu wachache binafsi';
- Nchi inatawaliwa kwa kufuata misingi ya DEMOKRASIA na UJAMAA.
Miongozo hii, kwa mfano, ndiyo hasa ‘Gongo kwa Msafiri’--Taifa la Tanzania ni Msafiri katika ‘Uelewa’ na ‘Uisho’ wa Maisha, KASKAZINI na KUSINI ya Gurudumu la Dhamma; Ambavyo (1) ‘Umbonishaji wa fahamu upo kwenye shauri la Maendeleo ya Uchumi wa Taifa’; (2) ‘Vitendo ni Kazi’ kwa ajili ya Riziki—Ujenzi wa Taifa ni shughuli ya ‘chakula, mavazi na malazi’; (3) Uakilifu wa ‘Usalama wa Raia na Mali zao’ ni jambo liendalo sambamba na ‘Uaminifu wa Mifumo’ na ‘Utaasisi’ katika ‘kheri ya usivilai na ustawi’ wa ‘wenyenchi’--wananchi wote ndiyo wenyenchi katika ‘Utaamuliko Jamii’.
Hili la ‘Utaasisi’ katika ‘Kheri ya Usivilai na ustawi’ wa ‘wenyenchi’ ndilo hukadirisha Utaasisi wa jeshi la ulinzi wa raia na mali zao kuja kuwa na alama za moja kwa moja za (a) ‘taji la muktadha mwenge wa Uhuru’, (b) zana za jadi kwa kazi na ulinzi na tena (c) kaulimbiu ya ‘Shika Neno, Tenda Neno: Usalama wa Raia’.
Kuhusu Matumizi ya Utajiri wa Taifa (4) ndiyo ‘ukumbusho’ wa ‘dhamiri ya UMOJA’ kuwa na mazingatio ya kushiriki muktadha wa maendeleo ya wananchi kwa mihimili ya ukwamuzi wa ‘dhukka’--msingi hasa wa shughuli za serikali ya wananchi ni huduma za jamii kama upatikanaji wa Elimu, Huduma za Afya, Miundo mbinu ya Uchukuzi na ‘Starehe’ za jamii. Kwa mintarafu ya haya, sera na sheria za nchi ni shurti ama/na taratibu kwa ajili ya mahitaji ya usivilai na utamaduni.
====Hili la ‘Utaasisi’ katika ‘Kheri ya Usivilai na ustawi’ wa ‘wenyenchi’ ndilo hukadirisha Utaasisi wa jeshi la ulinzi wa raia na mali zao kuja kuwa na alama za moja kwa moja za (a) ‘taji la muktadha mwenge wa Uhuru’, (b) zana za jadi kwa kazi na ulinzi na tena (c) kaulimbiu ya ‘Shika Neno, Tenda Neno: Usalama wa Raia’.
Kuhusu Matumizi ya Utajiri wa Taifa (4) ndiyo ‘ukumbusho’ wa ‘dhamiri ya UMOJA’ kuwa na mazingatio ya kushiriki muktadha wa maendeleo ya wananchi kwa mihimili ya ukwamuzi wa ‘dhukka’--msingi hasa wa shughuli za serikali ya wananchi ni huduma za jamii kama upatikanaji wa Elimu, Huduma za Afya, Miundo mbinu ya Uchukuzi na ‘Starehe’ za jamii. Kwa mintarafu ya haya, sera na sheria za nchi ni shurti ama/na taratibu kwa ajili ya mahitaji ya usivilai na utamaduni.
Fimbo ya Musa: Miongozo
kwa ajili ya ‘Udugu’ na ‘Haki’
Shughuli za uchumi kutoendeshwa kwa namna ama/na njia za kuweza kusababisha ulimbikizaji wa mali ama njia kuu za uchumi katika mamlaka ya watu wachache binafsi (5) ni ‘Shauri Dume la Shupaza’ la ‘haki na fursa sawa kwa wote’; japo hili kiufundi ndiyo ‘mtihani’ wa ‘UTU na Matamanio Batili’ katika ‘Uelewa’. Hivyo basi, hili ndilo hasa linalolazimu ‘Hekima ya Buddha’ juu ya ‘TUNU Nne za UTU bora’ iwe kitovu cha ‘Utaamuliko Jamii’ ili Umma wenyewe ujenge ‘kinga’ na ‘imani’ ya utu bora—si kupotoka na mambo ya utaasisi wa ‘sera na sheria’ za nchi zisizoendanana na ‘Nuru ya Ufahamu’ iliyoko katika jamii kumbaizi.
Kuhusu nchi kutawaliwa kwa kufuata misingi ya DEMOKRASIA na UJAMAA (6); hili ni shauri juu ya kheri ya ‘uhuru wa kujichagulia’ na ‘Ujamii uliotaamulika’ katika misingi ya Tunu Nne, UHURU-UDUGU-HAKI-AMANI; Kiufundi, jamii isiyo na ‘Uono na Ufikirifu Mifumo’ katika ‘upeo’ na ‘uwezo’ wa uakilifu wake, yawa haina ‘Kinga ya Madhalimu’ wala ‘Nishani za Utu Bora’. Shurti ya ‘Sera na Sheria’ vyaweza kuja na vimvuli vya mwangaza na ni si ‘Nuru ya Ufahamu’. ‘Mwenge wa Uhuru’ ni karata ‘Dume la Shupaza’ kwa ajili ya DEMOKRASIA na UJAMAA.
Miongozo hii sita (6) ya mfano, ndiyo hasa ‘Gongo kwa Msafiri’--Taifa la Tanzania ni Msafiri katika ‘Uelewa’ na ‘Uisho’ wa Maisha, KASKAZINI na KUSINI ya Gurudumu la Dhamma; ambavyo ‘karata Dume la Shupaza/Jembe’ ni mhimili mmoja na ‘karata Dume la Kisu/Almasi’. Haya mawili ndiyo ‘huungamisha fahari za Mbingu na Nchi’ katika UTU na UZALENDO. Utamaduni wa taifa ni jumla ya mambo ya mbingu na nchi ambavyo usivilai ni ulali wa msalaba wa ukadinali, na tena MAGHARIBI na MASHARIKI ya gurudumu la dhamma.
Magharibi na Mashariki ilivyo ni ‘Kulia’ na ‘Kushoto’ ya pahala pa ‘Utakatifu wa Sura ya Nchi na Tawala--Utakatifu katika Kazi na Sala’ ndipo kwenye ‘USHIRIKA WA KUJISIKIA’, Magharibi, na ‘UJAMAA / SOVEREINI JUMUIFU’, Mashariki. Kwa mintarafu ya haya, Maisha na Uisho huandamwa na ‘Nuru ya Ufahamu’ ama ‘Mbalamwezi ya Vimvuli ya Tafsiri ya mambo’ katika UTU na Nafsi. Ikiwa kushoto ni ‘Dume la Mavi ya Mbuzi’ basi kulia ni ‘Dume la Kopa’.
Alama ya Karata ya Magharibi na ya Mashariki ndivyo basi viwili ambavyo huakisi ‘tambarare ya nchi’ kwa ‘hisia/mapenzi mema/mwendano wa fahamu katika mshikamano ama misuguano’. Ndivyo basi mambo ya nchi, jamii na tawala hutiwa alama za utaasisi na uhai kwenye sanaa za Nembo na Bendera za jumuiya/jamii/nchi-taifa/dola—Alama za mategemeo na Upepo wa Uchukuzi wa fahamu za wanajamii kama kikundi kimoja cha watu.
Mambo ya mkono wa kulia na kushoto ndiyo huyakinisha jitihada, dhamira na mustakali wa ‘kuwa’ ama ‘kuja kuwa’ kiutu, muundo na matendo—mambo ya NIA na UAKILIFU kwa jinsi ya yote mawili: (1) hisia na (2) mawazo. Kwa hivyo muundo na uweza wa kimatendo ni mambo yenye asili ya ‘fizikia’ na ‘metafizikia’ kupitia ‘NIA’. Ndivyo basi ‘NIA’ ni ‘Gongo kwa Msafiri’ kwa mambo ya nchi na pia mbingu… Mambo ya ‘Msalaba’ wa mtu katika SUPASHA-WAKATI. Muakisiko wa Nia katika vitendo ni kazi na utu ardhini, vivyo hivyo ‘Mbawa’ kwa ajili ya ‘uwepo’ na ‘wepesi kwenye kushida mapana na marefu ya nchi’.
====
View: https://www.youtube.com/watch?v=5MIuCQnEA6c
====
Kuhusu nchi kutawaliwa kwa kufuata misingi ya DEMOKRASIA na UJAMAA (6); hili ni shauri juu ya kheri ya ‘uhuru wa kujichagulia’ na ‘Ujamii uliotaamulika’ katika misingi ya Tunu Nne, UHURU-UDUGU-HAKI-AMANI; Kiufundi, jamii isiyo na ‘Uono na Ufikirifu Mifumo’ katika ‘upeo’ na ‘uwezo’ wa uakilifu wake, yawa haina ‘Kinga ya Madhalimu’ wala ‘Nishani za Utu Bora’. Shurti ya ‘Sera na Sheria’ vyaweza kuja na vimvuli vya mwangaza na ni si ‘Nuru ya Ufahamu’. ‘Mwenge wa Uhuru’ ni karata ‘Dume la Shupaza’ kwa ajili ya DEMOKRASIA na UJAMAA.
Miongozo hii sita (6) ya mfano, ndiyo hasa ‘Gongo kwa Msafiri’--Taifa la Tanzania ni Msafiri katika ‘Uelewa’ na ‘Uisho’ wa Maisha, KASKAZINI na KUSINI ya Gurudumu la Dhamma; ambavyo ‘karata Dume la Shupaza/Jembe’ ni mhimili mmoja na ‘karata Dume la Kisu/Almasi’. Haya mawili ndiyo ‘huungamisha fahari za Mbingu na Nchi’ katika UTU na UZALENDO. Utamaduni wa taifa ni jumla ya mambo ya mbingu na nchi ambavyo usivilai ni ulali wa msalaba wa ukadinali, na tena MAGHARIBI na MASHARIKI ya gurudumu la dhamma.
Magharibi na Mashariki ilivyo ni ‘Kulia’ na ‘Kushoto’ ya pahala pa ‘Utakatifu wa Sura ya Nchi na Tawala--Utakatifu katika Kazi na Sala’ ndipo kwenye ‘USHIRIKA WA KUJISIKIA’, Magharibi, na ‘UJAMAA / SOVEREINI JUMUIFU’, Mashariki. Kwa mintarafu ya haya, Maisha na Uisho huandamwa na ‘Nuru ya Ufahamu’ ama ‘Mbalamwezi ya Vimvuli ya Tafsiri ya mambo’ katika UTU na Nafsi. Ikiwa kushoto ni ‘Dume la Mavi ya Mbuzi’ basi kulia ni ‘Dume la Kopa’.
Alama ya Karata ya Magharibi na ya Mashariki ndivyo basi viwili ambavyo huakisi ‘tambarare ya nchi’ kwa ‘hisia/mapenzi mema/mwendano wa fahamu katika mshikamano ama misuguano’. Ndivyo basi mambo ya nchi, jamii na tawala hutiwa alama za utaasisi na uhai kwenye sanaa za Nembo na Bendera za jumuiya/jamii/nchi-taifa/dola—Alama za mategemeo na Upepo wa Uchukuzi wa fahamu za wanajamii kama kikundi kimoja cha watu.
Mambo ya mkono wa kulia na kushoto ndiyo huyakinisha jitihada, dhamira na mustakali wa ‘kuwa’ ama ‘kuja kuwa’ kiutu, muundo na matendo—mambo ya NIA na UAKILIFU kwa jinsi ya yote mawili: (1) hisia na (2) mawazo. Kwa hivyo muundo na uweza wa kimatendo ni mambo yenye asili ya ‘fizikia’ na ‘metafizikia’ kupitia ‘NIA’. Ndivyo basi ‘NIA’ ni ‘Gongo kwa Msafiri’ kwa mambo ya nchi na pia mbingu… Mambo ya ‘Msalaba’ wa mtu katika SUPASHA-WAKATI. Muakisiko wa Nia katika vitendo ni kazi na utu ardhini, vivyo hivyo ‘Mbawa’ kwa ajili ya ‘uwepo’ na ‘wepesi kwenye kushida mapana na marefu ya nchi’.
====
View: https://www.youtube.com/watch?v=5MIuCQnEA6c
====
Alama za Uchungaji: Muongozo wa Ulinzi
na Malango ya UTU na Ustawi katika Kujichagulia
Mambo ya ‘Kazi’ na ‘Mbawa’ ndiyo huja kwa alama za ‘zana za kazi’ katika nembo za nchi-taifa/dola; ni kukaa kwake kama mkasi ‘X’ ndiyo topografu wazo kwa metafo ya ‘MBAWA’--mawezekano ya kupaa juu na kushinda ‘mapana na marefu ya nchi’ na amali zake. Basi ndiyo alama ya ‘X’, katika Trizaniamu, huwakilisha uwezekano wa kufanyika kwa ‘NIA’ katika UTU ambavyo msalaba hupambanua ‘nasibu’ ya ‘JAALA’(OX-OY)--Kujichagulia.
Kwa nchi ya Tanzania, NIA huja na ualama wa ‘SHOKA na NYENGO’; kwa kutumia Uono na Ufikirifu Mifumo, viwili hivi ndivyo hukadirisha ‘NIA’ ilivyo ‘KAZI na KUPAA JUU’ – kupasua USUPASHA-WAKATI. NIA ni muktadha akilifu wa ‘SHIKA NENO, TENDA NENO’ kwa hivyo ni khasa pembe tatu ya Vekta za Udhamirifu wa jambo/mambo—kwenye Trizaniamu, zinazobayanisha ufraktali wa triadi za (1) UONO, (2) ONTOLOJIA YA TAASISI, na (3) SURA NA MIENENDO YA JAMII.
Kwa nchi ya Tanzania, NIA huja na ualama wa ‘SHOKA na NYENGO’; kwa kutumia Uono na Ufikirifu Mifumo, viwili hivi ndivyo hukadirisha ‘NIA’ ilivyo ‘KAZI na KUPAA JUU’ – kupasua USUPASHA-WAKATI. NIA ndiyo muktadha wa fizikia na metafikia ya UTU katika YANTRA DHAMMA ambavyo Nyoka Wawili wanajisokotea kwenye Uhimilili ilivyo ni ‘Gongo kwa Msafiri’ ili kupaa na kutanuka katika mbingu… Basi ndivyo yawa alama ya ‘NIA’ kwenye Trizaniamu hujakukadirisha MRABA ALMASI wa UTU kwenye kuegemeana na ‘MRABA DHAMMA’ wa UTU. Dunia, Maisha na Uisho ni kusudi la mafumbo ya ufahamu, kujiwazia UTU na MATUKIO ambavyo Machaguo ya Kitaasisi yanakadirisha yote mawili: (1) Werevu wa Nyoka, na (2) UTU kupata MBAWA kwa ‘NISHANI ya UTU BORA’.
Werevu wa ‘Nyoka wa UONO’, kiuono na ufikirifu mifumo, ni muktadha akilifu wa yote mawili (1)‘kula kwa jasho’ pale ambapo ‘Hakuna Paradiso’--’Ulimwengu wa Shetani/Ibilisi, madanganyiko ya KIUTU’ kuja kwa Samsara na Maya, na tena basi, (2) Uono fasaha wa ‘Samsara’ na ‘Maya’ kupitikia ukadinali wa UELEWA SAHIHI-UISHO SAHIHI-UAKILIFU SAHIHI-KAULI SAHIHI, Basi ndivyo yawa, KAULI SAHIHI ni ufunguo wa ‘SHIKA NENO, TENDA NENO’ ambavyo MRABA DHAMMA hutanuka sambamba na MRABA ALMASI kwa vekta udhamirifu zipatazo ‘33’. Hivyo basi, kiufundi, vekta udhamirifu zipatazo 32 kwenye MRABA DHAMMA hukamilishana na vekta dhamirifu zipatazo 12 katika MRABA ALMASI kuikadirisha ‘NYOTA YA DAUDI’--kitovu cha ‘13’ na ‘33’ za YANTRA DHAMMA.
Vekta Udhamirifu ndiyo asili hasa ya ‘MIFUMO’ na basi ‘UONO NA UFIKIRIFU MIFUMO’ kwa kuwa MAISHA na UISHO ni fumbo la imani kwa ‘Nuru na Giza’ katika FANUSI UTU. Basi ndivyo ‘NYOTA YA DAUDI’ huleta KUBU ya ‘Matriksi Uzima wa Miili’. Tena zaidi, KUBU ina ufunguo wa ‘fizikia’ na ‘metafizikia’ ya ‘UTU na KUJICHAGULIA’ ambavyo ‘mauti’ ama ‘Uzima wa Milele’ huyakinisha USHINDI kupitiliza ‘Samsara’ na ‘Maya’.
Kitovu cha ‘13’ na ‘33’ kwa misukumano ‘ndani nje’ ya uvekta dhamirifu katika YANTRA DHAMMA ndiyo asili ya ‘uweza, nguvu na utukufu’ wa ufanyayo yote na kila kitu—kwa mambo yenye kuonekana na hata pia yasiyoonekana. Basi ndiyo yawa, Duara la Tano katika Yantra Dhamma ndiyo ukadirifu wa ‘SHEKINAHI’ katika ‘maarifa ya kimalaika’; mahala pa UWEPO, NGUVU na UTUKUFU, unaofutika mbingu na nchi zote ilivyo ni ‘utimilifu wa dahali’--USUPASHA-WAKATI.
‘SHEKINAHI’ hushikilia yote na vyote ilivyo ni ontolojia ya <1>‘Mbingu na Nchi’<--katika mapana ya uelewa wa kileo, 2024, ndivyo kusema: mapana ya fahari za nyota, sayari na makundi ya nyota katika utupu usiokuwa na mwanzo wala mwisho wa ‘Utimilifu wa Dahali’. Basi ndiyo yawa, SHEKINAHI ndicho kitovu hasa cha ‘MUONA ni MUONWA’ ambavyo <2>‘uzima ya miili’ yenye ‘ufahamu na kujitambua’ hujibaini ‘HAKIKA’< wa kheri zake katika kimo-mapana-marefu-kina ilivyo ni ‘KUBU za MADHAHIRIKO’. Basi ndiyo tena, YANTRA DHAMMA ni LUGHA ya Utukufu wa Miili na Madhahiri ilivyo ni MAGEUZI yasiyo na mwanzo wala mwisho bali <3>mifumo ya vekta udhamirifu katika (1) UELEWA, (2) KAULI, (3) UISHO, na (4) UAKILIFU<.
YANTRA DHAMMA ni LUGHA ya Utukufu wa Miili na Madhahiri ilivyo ni MAGEUZI yasiyo na mwanzo wala mwisho; ambavyo kwa Miongozo ya Mafundisho ya Buddha—Dhammapada UTU unaweza kujinasibu na ‘Kituo’ cha kupitiliza fahari zote za mbingu ama nchi kwa ‘UMBONISHAJI SAHIHI’ wa ‘UONO’--Samma Samadhi. Kwa mintarafu ya hili, Umbonishaji Sahihi wa Uono ndiyo khasa asili ya ‘Ontolojia ya Taasisi’ kuwa na ualama wa ‘Duara na Nukta’. Katika YATRA DHAMMA jamii inaiishi Dhamma kwa NISHANI YA UTU BORA ndiyo hukadirisha (1) ‘Duara na Nukta’ upande wa Kaskazini—ualama wa Ontolojia ya Taasisi, (2) Vesika Paisisi ya utonalishi wa fahamu upande wa Magharibi—ualama wa ‘Kujisikia’, (3) Msalaba wa Maisha na Nia—ualama wa ‘Kujichagulia’, na (4) Gurudumu la Dhamma –<4> hakika ya ‘Sovereini Jumuifu’.
Asili ya <5>‘Ontolojia ya Taasisi’< ni (1) Kujisikia, (2) Miundo, na (3) Ushawishi amabvyo hukadirisha (1) Nia, (2) Matendo, na (3) Miongozo katika Maisha na Uisho. Kwa mintarafu ya haya ‘UONO’ ni jambo mtambuka kwa (1) JAALA, (2) KUMBUKUMBU-UZOEFU, na (3) MIFUMO. Basi ndiyo yawa, katika Trizaniamu (A) Jaala huwa ni ualama wa ‘Kimvuli’ cha ‘Kujichagulia’; (B) Kumbukumbu-Uzoefu huwa na ualama wa ‘Mapana wazi ya Mistari ya Nchi na Mbingu’; na (C) Mifumo huwa na ualama wa ‘Pemberatu Mbili katika Mizania ya Mapana ya Nchi’.
====
Kwa nchi ya Tanzania, NIA huja na ualama wa ‘SHOKA na NYENGO’; kwa kutumia Uono na Ufikirifu Mifumo, viwili hivi ndivyo hukadirisha ‘NIA’ ilivyo ‘KAZI na KUPAA JUU’ – kupasua USUPASHA-WAKATI. NIA ni muktadha akilifu wa ‘SHIKA NENO, TENDA NENO’ kwa hivyo ni khasa pembe tatu ya Vekta za Udhamirifu wa jambo/mambo—kwenye Trizaniamu, zinazobayanisha ufraktali wa triadi za (1) UONO, (2) ONTOLOJIA YA TAASISI, na (3) SURA NA MIENENDO YA JAMII.
Kwa nchi ya Tanzania, NIA huja na ualama wa ‘SHOKA na NYENGO’; kwa kutumia Uono na Ufikirifu Mifumo, viwili hivi ndivyo hukadirisha ‘NIA’ ilivyo ‘KAZI na KUPAA JUU’ – kupasua USUPASHA-WAKATI. NIA ndiyo muktadha wa fizikia na metafikia ya UTU katika YANTRA DHAMMA ambavyo Nyoka Wawili wanajisokotea kwenye Uhimilili ilivyo ni ‘Gongo kwa Msafiri’ ili kupaa na kutanuka katika mbingu… Basi ndivyo yawa alama ya ‘NIA’ kwenye Trizaniamu hujakukadirisha MRABA ALMASI wa UTU kwenye kuegemeana na ‘MRABA DHAMMA’ wa UTU. Dunia, Maisha na Uisho ni kusudi la mafumbo ya ufahamu, kujiwazia UTU na MATUKIO ambavyo Machaguo ya Kitaasisi yanakadirisha yote mawili: (1) Werevu wa Nyoka, na (2) UTU kupata MBAWA kwa ‘NISHANI ya UTU BORA’.
Werevu wa ‘Nyoka wa UONO’, kiuono na ufikirifu mifumo, ni muktadha akilifu wa yote mawili (1)‘kula kwa jasho’ pale ambapo ‘Hakuna Paradiso’--’Ulimwengu wa Shetani/Ibilisi, madanganyiko ya KIUTU’ kuja kwa Samsara na Maya, na tena basi, (2) Uono fasaha wa ‘Samsara’ na ‘Maya’ kupitikia ukadinali wa UELEWA SAHIHI-UISHO SAHIHI-UAKILIFU SAHIHI-KAULI SAHIHI, Basi ndivyo yawa, KAULI SAHIHI ni ufunguo wa ‘SHIKA NENO, TENDA NENO’ ambavyo MRABA DHAMMA hutanuka sambamba na MRABA ALMASI kwa vekta udhamirifu zipatazo ‘33’. Hivyo basi, kiufundi, vekta udhamirifu zipatazo 32 kwenye MRABA DHAMMA hukamilishana na vekta dhamirifu zipatazo 12 katika MRABA ALMASI kuikadirisha ‘NYOTA YA DAUDI’--kitovu cha ‘13’ na ‘33’ za YANTRA DHAMMA.
Vekta Udhamirifu ndiyo asili hasa ya ‘MIFUMO’ na basi ‘UONO NA UFIKIRIFU MIFUMO’ kwa kuwa MAISHA na UISHO ni fumbo la imani kwa ‘Nuru na Giza’ katika FANUSI UTU. Basi ndivyo ‘NYOTA YA DAUDI’ huleta KUBU ya ‘Matriksi Uzima wa Miili’. Tena zaidi, KUBU ina ufunguo wa ‘fizikia’ na ‘metafizikia’ ya ‘UTU na KUJICHAGULIA’ ambavyo ‘mauti’ ama ‘Uzima wa Milele’ huyakinisha USHINDI kupitiliza ‘Samsara’ na ‘Maya’.
Kitovu cha ‘13’ na ‘33’ kwa misukumano ‘ndani nje’ ya uvekta dhamirifu katika YANTRA DHAMMA ndiyo asili ya ‘uweza, nguvu na utukufu’ wa ufanyayo yote na kila kitu—kwa mambo yenye kuonekana na hata pia yasiyoonekana. Basi ndiyo yawa, Duara la Tano katika Yantra Dhamma ndiyo ukadirifu wa ‘SHEKINAHI’ katika ‘maarifa ya kimalaika’; mahala pa UWEPO, NGUVU na UTUKUFU, unaofutika mbingu na nchi zote ilivyo ni ‘utimilifu wa dahali’--USUPASHA-WAKATI.
‘SHEKINAHI’ hushikilia yote na vyote ilivyo ni ontolojia ya <1>‘Mbingu na Nchi’<--katika mapana ya uelewa wa kileo, 2024, ndivyo kusema: mapana ya fahari za nyota, sayari na makundi ya nyota katika utupu usiokuwa na mwanzo wala mwisho wa ‘Utimilifu wa Dahali’. Basi ndiyo yawa, SHEKINAHI ndicho kitovu hasa cha ‘MUONA ni MUONWA’ ambavyo <2>‘uzima ya miili’ yenye ‘ufahamu na kujitambua’ hujibaini ‘HAKIKA’< wa kheri zake katika kimo-mapana-marefu-kina ilivyo ni ‘KUBU za MADHAHIRIKO’. Basi ndiyo tena, YANTRA DHAMMA ni LUGHA ya Utukufu wa Miili na Madhahiri ilivyo ni MAGEUZI yasiyo na mwanzo wala mwisho bali <3>mifumo ya vekta udhamirifu katika (1) UELEWA, (2) KAULI, (3) UISHO, na (4) UAKILIFU<.
YANTRA DHAMMA ni LUGHA ya Utukufu wa Miili na Madhahiri ilivyo ni MAGEUZI yasiyo na mwanzo wala mwisho; ambavyo kwa Miongozo ya Mafundisho ya Buddha—Dhammapada UTU unaweza kujinasibu na ‘Kituo’ cha kupitiliza fahari zote za mbingu ama nchi kwa ‘UMBONISHAJI SAHIHI’ wa ‘UONO’--Samma Samadhi. Kwa mintarafu ya hili, Umbonishaji Sahihi wa Uono ndiyo khasa asili ya ‘Ontolojia ya Taasisi’ kuwa na ualama wa ‘Duara na Nukta’. Katika YATRA DHAMMA jamii inaiishi Dhamma kwa NISHANI YA UTU BORA ndiyo hukadirisha (1) ‘Duara na Nukta’ upande wa Kaskazini—ualama wa Ontolojia ya Taasisi, (2) Vesika Paisisi ya utonalishi wa fahamu upande wa Magharibi—ualama wa ‘Kujisikia’, (3) Msalaba wa Maisha na Nia—ualama wa ‘Kujichagulia’, na (4) Gurudumu la Dhamma –<4> hakika ya ‘Sovereini Jumuifu’.
Asili ya <5>‘Ontolojia ya Taasisi’< ni (1) Kujisikia, (2) Miundo, na (3) Ushawishi amabvyo hukadirisha (1) Nia, (2) Matendo, na (3) Miongozo katika Maisha na Uisho. Kwa mintarafu ya haya ‘UONO’ ni jambo mtambuka kwa (1) JAALA, (2) KUMBUKUMBU-UZOEFU, na (3) MIFUMO. Basi ndiyo yawa, katika Trizaniamu (A) Jaala huwa ni ualama wa ‘Kimvuli’ cha ‘Kujichagulia’; (B) Kumbukumbu-Uzoefu huwa na ualama wa ‘Mapana wazi ya Mistari ya Nchi na Mbingu’; na (C) Mifumo huwa na ualama wa ‘Pemberatu Mbili katika Mizania ya Mapana ya Nchi’.
====
View: https://www.youtube.com/watch?v=ymxj9SSvgr8
====
Mifumo na ‘Mafumbo ya Imani’ :
Kukadirisha Jithada za UTU na Nyakati
Mifumo kuwa na ualama wa ‘Pemberatu Mbili kukabiliana kwa kadiri ya Mizania ya Mapana ya Nchi’ ndiyo ile asili khasa ya Midenge Minne ya Buddha, ukiachia ukadinali wa Uelewa-Kauli-Uisho-Uakilifu; yaani hatma ya (1) Umbonishaji sahihi wa fahamu, (2) Dhamira Sahihi, (3) Vitendo Sahihi, na (4) Jitihada Sahihi. Basi ndiyo yawa, ‘umbonishaji sahihi’ ndiyo unayokadirisha ‘Ontolojia ya Taasisi’ yenye kheri kwa ajili ya ‘dhamma ya jamii’ katika ‘Sovereini Jumuifu’. Kwa mintarafu ya haya, ndivyo basi alama ya ‘UONO’ katika Trizaniamu ni ‘midenge minane ya Gurudumu la Dhamma katika kimvuli cha Ontolojia ya Taasisi’. Vivyo hivyo, mifumo ni muakisiko wa veka dhamirifu kwa kadiri ya ‘Nishani ya UTU Bora’ na ‘Nguvu ya KUBU kushikilia Matriksi’ yake. Mambo ya Nyakati, Matukio, ni matokeo ya Nishati ya UTU na udhamirifu wa matendo yaendanayo na muktadha wa kujiwazia utu—ikiwa ni kwa utaamuliko basi matukio huja na kadiri ya fahari ya sovereini jumuifu, ama sivyo huja kwa ‘Sura na Mienendo wa Jamii’ kwa kadiri ya ‘Utonalishi wa Fahamu, Miundo ya Utendaji na Utendaji wenyewe’ wa jamii…
Ualama wa ‘Pemberatu Mbili kukabiliana kwa kadiri ya Mizania ya Mapana ya Nchi’ ndiyo asili ya ‘mfumo’ ambavyo (1) UONO, na (2) UHAKIKA ni fumbo la ‘UWEPO’ na ‘UZIMA WOTE’--Uzima wa Milele. Kwa mintarafu ya haya mawili, MIONGOZO hutawala SURA na MAGEUZI na UTUKUFU wa yote na mote. Basi ndiyo yawa, katika MRABA ALMASI, nishati ya UTU BORA huja kwa mafumbo ya MUONA ni MUONWA ilivyo ni muktadha wa nguzo kumi na mbili (12) za ‘Imani’ na ‘Matendo’ kwa ‘mambo yatarajiwayo’. Basi, jiometria ya YANTRA DHAMMA ni ufunguo wa ‘Imani’ na ‘Matendo’ ya ‘Mitume’ wa ‘Mambo ya Nyakati’--Kitovu cha 13 hukadirisha ‘Uhaisho na Uisho’ wa yote katika MAGEUZI na MUINGILIANO wa NIA, UFAHAMU na UZIMA—Fanusi ya ‘UFAHAMU KRISTU’.
Udhamirifu, jitihada na Matendo ndiyo misukumo ya kimifumo ambavyo nguzo kumi na mbili za ‘imani’ na ‘matendo kwa ‘mambo yatarajiwayo’ hukadirika kwa ncha za (1) Pendo ‘AGAPE’ Litumikialo (D), (2) Moyo wa Uelewa (J), na (3) Uhakika (T); halafu (4) Moyo furaha (D), (5) Moyo wa Kutoa (J), na (6) Subira (T); halafu (7) Moyo wa Kina (D), (8) Huruma (J), na (9) Ujasiri (T); kisha (10) Uono (D), (11) Hekima (J), na (12) Ujazi (T).
Nguzo kumi na mbili (12) za ‘Imani’ na ‘Matendo’ kwa ‘Mambo yatarajiwayo’ ni zenye ‘kusitirika’ katika MRABA ALMASI na MRABA DHAMMA. Kwa mintarafu ya hivi, vekta dhamirifu zilizo wazi upeoni mwa macho ya ya mchunguaji katika Yantra Dhamma ni zenye kuwakilisha ‘MATANUZI’ ya ‘KIMIONGOZO’; asili ya (1) Msalaba wa Ukadinali, usiyo na mwisho, katika yote, (2) Mwezi na Nyota yake vifanyanvyo ‘Nuru Halisi’ ama/na ‘Mwangaza Muakisiko’ kwa ajili ya fahari, hadhi, na daraja la Usentienti wa UTU/MALAIKA (3) Mboni AJNA ya uweza wa kuona kote na mote penye miili ya uweza, nguvu na Utukufu, na (4) Swastika ya ukadirisho wa yote kuwa ni chembe duara katika mapana na marefu yenye kutanuka na hapo hapo kujizungurusha.
Katika Yatra Dhamma, Msalaba na Swastika ndiyo khasa siri ya ‘Nyakati’ na ‘Vikomo’ vya Miili ya Uzima—Matriksi. Kiuono na Ufikirifu mifumo, dhahiri yote ni ‘Kumbukumbu’; Kila wazo, dhamira na tendo huhuluku, kuunda ama kuumba ‘jambo’ pahala fulani katika usupasha-wakati. Kwa mintarafu ya haya, duara na mstari katika ualama wote mzima ya Yantra Dhamma ni fumbo la imani kwa ‘Mapenzi Mema’ na ‘Unyoofu’ katika ‘kusudi’ la UTU na MATENDO. Kiufundi, duara mbili zenye kugusana, ikiwa zitashiriki kitovu kimoja cha mapana ya duara la ‘Mapenzi’ na tena seti ingine duara mbili, basi kutafanyika sura na utukufu wa ‘chotara nne’ zifanyazo cha za mraba wa miongozo…
kufanyika sura na utukufu wa ‘chotara nne’ zifanyazo cha za mraba wa miongozo ndiyo khasa asili ya ‘mraba’ na ‘Msalaba Ngazi’ ukadirishao ‘Swastika’. Kwa mintarafu ya hili, Trizaniamu ni ufunguo wa kuyabaini yote katika ulimwengu wa sura na nishati. Basi ndiyo yawa, jicho mashoto la Horasi huhusisha fahamu zote ‘sita’ za UTU, kuonja-kunusu-kugusa-kusikia-kuona-kufikiria, ilivyo ni muktadha wa ‘milango ya fahamu’ katika Ufahamu; mambo yajayo ya ‘mwangaza muakisiko’ kwa ajili ya fahari, hadhi, na daraja la Usentienti wa UTU/MALAIKA. Tena ndiyo basi, Trizaniamu ni fumbo la imani lenye kukamilishana na ‘Mboni AJNA’ katika ‘Duara na Nukta’ za Ufahamu.
Kukamilishana kwa ‘Mboni AJNA’ katika ‘Duara na Nukta’ za Ufahamu ndiyo hasa asili ya ‘Nyota ya Daudi’ na ‘SASA-NIA’ ya UTU kwa mujibu wa muktadha akilifu wa Ontolojia ya Taasisi-Uono-Jitihada/Matendo/Matendeko. Kiufundi, ‘Duara na Nukta’ ndiyo kile Buddha alifundisha kuhusiana na ‘Samma Samadhi’-- umbonishaji wa fahamu; ndivyo basi hili ndiyo khasa asili ya ‘Duara ndani ya duara kwa uhamonifu wa skeli dayatonishi’ vyenye kushiriki kitovu kimoja. Kiuno na ufikirifu mifumo, duara ndani ya duara ni ukadirisho wa ‘utonali wa fahamu’ ambavyo ‘zabibu 13 za usentienti/kujisikia’, panapo fanusi ya ‘nyota ya Daudi’, hukadirisha ‘kujisikia kana kuishi katika wakati wa sasa’ na tena ‘wakati kusonga mbele’…
Kujisikia kana kuishi katika wakati wa sasa, kiuono na ufikirifu mifumo, ni athari ya Kisamsara na Maya; kwa kuwa SASA-NIA ni jiometria KUBU ya ufahamu ambavyo ‘Dhahiri’ ni ‘Kumbukumbu’ ya fizikia na metafizikia ya UTU na KUJICHAGULIA katika miili ya uweza, nguvu na utukufu. Kwa mintarafu ya hili, kujitambua ni kujiwazia UTU katika fizikia na metafizikia ya UZIMA WOTE/UZIMA WA MILELE. Basi ndiyo yawa, mambo ya ufahamu na kujitambua yana muktadha wake uliositirika, ELIMU 3.0: ILIMU ILIVYO NI METAFIZIKIA YA ELIMU.
====
View: https://www.youtube.com/watch?v=6f-DAVQ-Rmw
====
Ualama wa ‘Pemberatu Mbili kukabiliana kwa kadiri ya Mizania ya Mapana ya Nchi’ ndiyo asili ya ‘mfumo’ ambavyo (1) UONO, na (2) UHAKIKA ni fumbo la ‘UWEPO’ na ‘UZIMA WOTE’--Uzima wa Milele. Kwa mintarafu ya haya mawili, MIONGOZO hutawala SURA na MAGEUZI na UTUKUFU wa yote na mote. Basi ndiyo yawa, katika MRABA ALMASI, nishati ya UTU BORA huja kwa mafumbo ya MUONA ni MUONWA ilivyo ni muktadha wa nguzo kumi na mbili (12) za ‘Imani’ na ‘Matendo’ kwa ‘mambo yatarajiwayo’. Basi, jiometria ya YANTRA DHAMMA ni ufunguo wa ‘Imani’ na ‘Matendo’ ya ‘Mitume’ wa ‘Mambo ya Nyakati’--Kitovu cha 13 hukadirisha ‘Uhaisho na Uisho’ wa yote katika MAGEUZI na MUINGILIANO wa NIA, UFAHAMU na UZIMA—Fanusi ya ‘UFAHAMU KRISTU’.
Udhamirifu, jitihada na Matendo ndiyo misukumo ya kimifumo ambavyo nguzo kumi na mbili za ‘imani’ na ‘matendo kwa ‘mambo yatarajiwayo’ hukadirika kwa ncha za (1) Pendo ‘AGAPE’ Litumikialo (D), (2) Moyo wa Uelewa (J), na (3) Uhakika (T); halafu (4) Moyo furaha (D), (5) Moyo wa Kutoa (J), na (6) Subira (T); halafu (7) Moyo wa Kina (D), (8) Huruma (J), na (9) Ujasiri (T); kisha (10) Uono (D), (11) Hekima (J), na (12) Ujazi (T).
Nguzo kumi na mbili (12) za ‘Imani’ na ‘Matendo’ kwa ‘Mambo yatarajiwayo’ ni zenye ‘kusitirika’ katika MRABA ALMASI na MRABA DHAMMA. Kwa mintarafu ya hivi, vekta dhamirifu zilizo wazi upeoni mwa macho ya ya mchunguaji katika Yantra Dhamma ni zenye kuwakilisha ‘MATANUZI’ ya ‘KIMIONGOZO’; asili ya (1) Msalaba wa Ukadinali, usiyo na mwisho, katika yote, (2) Mwezi na Nyota yake vifanyanvyo ‘Nuru Halisi’ ama/na ‘Mwangaza Muakisiko’ kwa ajili ya fahari, hadhi, na daraja la Usentienti wa UTU/MALAIKA (3) Mboni AJNA ya uweza wa kuona kote na mote penye miili ya uweza, nguvu na Utukufu, na (4) Swastika ya ukadirisho wa yote kuwa ni chembe duara katika mapana na marefu yenye kutanuka na hapo hapo kujizungurusha.
Katika Yatra Dhamma, Msalaba na Swastika ndiyo khasa siri ya ‘Nyakati’ na ‘Vikomo’ vya Miili ya Uzima—Matriksi. Kiuono na Ufikirifu mifumo, dhahiri yote ni ‘Kumbukumbu’; Kila wazo, dhamira na tendo huhuluku, kuunda ama kuumba ‘jambo’ pahala fulani katika usupasha-wakati. Kwa mintarafu ya haya, duara na mstari katika ualama wote mzima ya Yantra Dhamma ni fumbo la imani kwa ‘Mapenzi Mema’ na ‘Unyoofu’ katika ‘kusudi’ la UTU na MATENDO. Kiufundi, duara mbili zenye kugusana, ikiwa zitashiriki kitovu kimoja cha mapana ya duara la ‘Mapenzi’ na tena seti ingine duara mbili, basi kutafanyika sura na utukufu wa ‘chotara nne’ zifanyazo cha za mraba wa miongozo…
kufanyika sura na utukufu wa ‘chotara nne’ zifanyazo cha za mraba wa miongozo ndiyo khasa asili ya ‘mraba’ na ‘Msalaba Ngazi’ ukadirishao ‘Swastika’. Kwa mintarafu ya hili, Trizaniamu ni ufunguo wa kuyabaini yote katika ulimwengu wa sura na nishati. Basi ndiyo yawa, jicho mashoto la Horasi huhusisha fahamu zote ‘sita’ za UTU, kuonja-kunusu-kugusa-kusikia-kuona-kufikiria, ilivyo ni muktadha wa ‘milango ya fahamu’ katika Ufahamu; mambo yajayo ya ‘mwangaza muakisiko’ kwa ajili ya fahari, hadhi, na daraja la Usentienti wa UTU/MALAIKA. Tena ndiyo basi, Trizaniamu ni fumbo la imani lenye kukamilishana na ‘Mboni AJNA’ katika ‘Duara na Nukta’ za Ufahamu.
Kukamilishana kwa ‘Mboni AJNA’ katika ‘Duara na Nukta’ za Ufahamu ndiyo hasa asili ya ‘Nyota ya Daudi’ na ‘SASA-NIA’ ya UTU kwa mujibu wa muktadha akilifu wa Ontolojia ya Taasisi-Uono-Jitihada/Matendo/Matendeko. Kiufundi, ‘Duara na Nukta’ ndiyo kile Buddha alifundisha kuhusiana na ‘Samma Samadhi’-- umbonishaji wa fahamu; ndivyo basi hili ndiyo khasa asili ya ‘Duara ndani ya duara kwa uhamonifu wa skeli dayatonishi’ vyenye kushiriki kitovu kimoja. Kiuno na ufikirifu mifumo, duara ndani ya duara ni ukadirisho wa ‘utonali wa fahamu’ ambavyo ‘zabibu 13 za usentienti/kujisikia’, panapo fanusi ya ‘nyota ya Daudi’, hukadirisha ‘kujisikia kana kuishi katika wakati wa sasa’ na tena ‘wakati kusonga mbele’…
Kujisikia kana kuishi katika wakati wa sasa, kiuono na ufikirifu mifumo, ni athari ya Kisamsara na Maya; kwa kuwa SASA-NIA ni jiometria KUBU ya ufahamu ambavyo ‘Dhahiri’ ni ‘Kumbukumbu’ ya fizikia na metafizikia ya UTU na KUJICHAGULIA katika miili ya uweza, nguvu na utukufu. Kwa mintarafu ya hili, kujitambua ni kujiwazia UTU katika fizikia na metafizikia ya UZIMA WOTE/UZIMA WA MILELE. Basi ndiyo yawa, mambo ya ufahamu na kujitambua yana muktadha wake uliositirika, ELIMU 3.0: ILIMU ILIVYO NI METAFIZIKIA YA ELIMU.
====
View: https://www.youtube.com/watch?v=6f-DAVQ-Rmw
====