Pre GE2025 Nilijua tu Mch. Msigwa ataiingiza chaka CCM, sasa CHADEMA na kadi za kienyeji za karatasi wapi na wapi? Nchimbi uwe makini

Pre GE2025 Nilijua tu Mch. Msigwa ataiingiza chaka CCM, sasa CHADEMA na kadi za kienyeji za karatasi wapi na wapi? Nchimbi uwe makini

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
IMG_20240810_122344_803.jpg

Nimeshangaa sana kuona KADI za Makaratasi za CHADEMA kwani ninavyojua CCM, CHADEMA na ACT Wazalendo walishaacha na hizo KADI za Kienyeji.

Pia soma: Kadi za kieletroniki za uanachama kuipa CHADEMA Tsh. Bilioni 13 kwa mwaka

Peter ni mwanaharakati kutoka Matamba Makete aliyepata Ujanja Bondeni kwa Madiba Kuna siku atarudi where he belong.

Ni angalizo tu 🐼
 
Nimeshangaa sana kuona KADI za Makaratasi za Chadema kwani ninavyojua CCM, Chadema na ACT Wazalendo walishaacha na hizo KADI za Kienyeji

Peter ni mwanaharakati kutoka Matamba Makete aliyepata Ujanja Bondeni kwa Madiba Kuna siku atarudi where he belong

Ni angalizo tu 🐼
Kule kwa Madiba alikuwa houseboy wa Kasisi mmoja wa kizungu na ndiko alikojifunzia misamiati michache ya kithiolojia anayowadanganya nayo watu kuwa ni Mchungaji.Aliporudi bongo alipewa nguo nyini sana za mitumba aje awagawie yatima na watu wasiojiweza yeye akageuza mtaji akafungua genge la kuuzia mituba huyo ndiye kada wa CCM aliyenunuliwa kwa $ 500,000. kupitia kwa Abduli.
 
Nimeshangaa sana kuona KADI za Makaratasi za Chadema kwani ninavyojua CCM, Chadema na ACT Wazalendo walishaacha na hizo KADI za Kienyeji

Peter ni mwanaharakati kutoka Matamba Makete aliyepata Ujanja Bondeni kwa Madiba Kuna siku atarudi where he belong

Ni angalizo tu 🐼
ni upotoshaji,
si kweli kwamba kadi zisizo za kielektronic ziliachwa na hazitumiki. Nenda tawi la CCM popote nchini na kadi yako isiyo ya kielektronic utahudumiwa bila mbambamba yoyote 🐒

usikubali kupotoshwa na wapotoshaji ati hizo kadi hazitumiki,
hao wanaojidanganya ni dot.com itajulikana serikali za mitaa baadae mwaka huu...

hata hivyo,
kama kuna vyama vya siasa vinavyojinadi na kujigamba kutotumia kadi zisizo za kielektronic, bas vitakua na wanachama wasiozidi milioni1 kila kimoja,

maana we check,
miaka nenda miaka rudi watu wanasajiliwa NIDA na hawaishi na wengi wamefanikiwa tu kupata namba na hivyo vitambulisho vya kielektronic hawana,

ni muujiza gani vyama hivyo vya siasa vimetumia na kwa gharama gani vimeshampatia bibi yangu kadi ya kielektronic kule Kijijini kimtigiti angali namuona kila siku na kadi yake hai isiyo ya kielektronic kama sio ulaghai wa kifikra?🐒
 
Kule kwa Madiba alikuwa houseboy wa Kasisi mmoja wa kizungu na ndiko alikojifunzia misamiati michache ya kithiolojia anayowadanganya nayo watu kuwa ni Mchungaji.Aliporudi bongo alipewa nguo nyini sana za mitumba aje awagawie yatima na watu wasiojiweza yeye akageuza mtaji akafungua genge la kuuzia mituba huyo ndiye kada wa CCM aliyenunuliwa kwa $ 500,000. kupitia kwa Abduli.
$500,000 duh 🙄 !
Basi huyo Abduli ni kibopa kweri kweri !
Ameupatia wapi huo utajiri ?
Kwenye orodha ya walipa kodi naye yumo ???!
 
$500,000 duh 🙄 !
Basi huyo Abduli ni kibopa kweri kweri !
Ameupatia wapi huo utajiri ?
Kwenye orodha ya walipa kodi naye yumo ???!
Haya mambo siku akiwekwa hadharani mtashangaa sana.Hii nguvu kiasi hiki inayotumika kuimaliza Chadema inaashiri awamu ya saba kuna mambo ya ovyo sana yatafanyika na hakuna atakayekuwa na uwezo wa kuyahoji. Tuombe Mungu sana aingilie kati kwani nguvu ya hela imewalegeza wengi tuliokuwa tunategemea wangekuwa na vinywa vya kusema hapana.
 
Haya mambo siku akiwekwa hadharani mtashangaa sana.Hii nguvu kiasi hiki inayotumika kuimaliza Chadema inaashiri awamu ya saba kuna mambo ya ovyo sana yatafanyika na hakuna atakayekuwa na uwezo wa kuyahoji. Tuombe Mungu sana aingilie kati kwani nguvu ya hela imewalegeza wengi tuliokuwa tunategemea wangekuwa na vinywa vya kusema hapana.
Lakini je upo ukweli ndani yake au watu wanararurana tu ??🙄!
 
ni upotoshaji,
si kweli kwamba kadi zisizo za kielektronic ziliachwa na hazitumiki. Nenda tawi la CCM popote nchini na kadi yako isiyo ya kielektronic utahudumiwa bila mbambamba yoyote 🐒

usikubali kupotoshwa na wapotoshaji ati hizo kadi hazitumiki,
hao wanaojidanganya ni dot.com itajulikana serikali za mitaa baadae mwaka huu...

hata hivyo,
kama kuna vyama vya siasa vinavyojinadi na kujigamba kutotumia kadi zisizo za kielektronic, bas vitakua na wanachama wasiozidi milioni1 kila kimoja,

maana we check,
miaka nenda miaka rudi watu wanasajiliwa NIDA na hawaishi na wengi wamefanikiwa tu kupata namba na hivyo vitambulisho vya kielektronic hawana,

ni muujiza gani vyama hivyo vya siasa vimetumia na kwa gharama gani vimeshampatia bibi yangu kadi ya kielektronic kule Kijijini kimtigiti angali namuona kila siku na kadi yake hai isiyo ya kielektronic kama sio ulaghai wa kifikra?🐒
Sawa, ndio huyo Msigwa apate kadi za karatasi tu, mbona hakuna hata moja ya kielectronic? Mbona ni maigizo ya kizee sana? Siasa so outdated.
 
Sawa, ndio huyo Msigwa apate kadi za karatasi tu, mbona hakuna hata moja ya kielectronic? Mbona ni maigizo ya kizee sana? Siasa so outdated.
wacha wakusanye hayo makaratasi halafu software data base inakua ya mwisho kukusanya ili Kibaki chama cha siasa kilicho kipara, right? 🐒
 
Back
Top Bottom