Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa si fundi alipata demu unashangaa niniWadau nishaurini, nilikabizi mafundi ujenzi kazi pamoja na funguo nilipofika kule kwa kushtukiza nikakuta mipira ya condom iliyotumika mle ndani, hii ina maana gani??
Wengine hizi ni sehemu zao za kutoa msongo wa mawazo.Wewe una akili timamu?
Si angesema tu jamani mimi najenga ili tujuwe ana nyumba.Wengine hizi ni sehemu zao za kutoa msongo wa mawazo.
kwaiyo tukushauri nini Mkuu apo hujaelewa nini?Wadau nishaurini, nilikabizi mafundi ujenzi kazi pamoja na funguo nilipofika kule kwa kushtukiza nikakuta mipira ya condom iliyotumika mle ndani, hii ina maana gani??
Sasa kwanini ulifika kwa kustukiza?Na kwanini ulikabidhi kazi na funguo bila usimamizi,Je hukufahamu kuwa nao wanamahitaji kama alivyo mnyama ama binaadamu.Ukijibu maswali haya ushauri utakujia chap kwa haraka.Wadau nishaurini, nilikabizi mafundi ujenzi kazi pamoja na funguo nilipofika kule kwa kushtukiza nikakuta mipira ya condom iliyotumika mle ndani, hii ina maana gani??
Si tulishayazungumzq bosi lakini?Wadau nishaurini,
Nilikabizi mafundi ujenzi kazi pamoja na funguo nilipofika kule kwa kushtukiza nikakuta mipira ya condom iliyotumika mle ndani, hii ina maana gani?
Angelalamika Hadi insta na X 😂Wangeiba SEMENTI si ndio ungeng'aka hadi REDDIT
Jambo dogo lkn anataka kulikuzaSi tulishayazungumzq bosi lakini?