Nilikamatwa na Polisi na kufichwa Kituo kilichopo Dar kwa siku tatu bila kula nikipewa vitisho

Dude mbona stori yako ni totally made up, na i can assure you kama ulitaarifa sehemu husika ungeoata assistance tu, not everyone is evil as you think na tambua kitu kimoja mpaka mtu anademand 20M that means una hela yakutosha na ana taarifa sahihi na kama ulimdanganya then ungepata chamtema Kuni.

Acha kuchafua jeshi na badala yake tafuta pesa hizo na wewe uwe na power.
 
Watanzania wengi mtaenda peponi yaani mtu anakufanyia mchongo mbaya kabisa kisa rushwa harafu unakuja kulalamika humu JF na upo salama kabisa nje duuh...aiseee nisiongee mengi kwa kweli na pole sana mtu mwema kupata kadhia hiyo..
 
Jeshi mbona lishachafuka huko Mtwara ujasikia kilichotokea harafu tunaambiwa askari kajinyonga na dekio😂😂😂
 
Analeta tabia zake za uchagani kutaka kumrusha hela Ngosha😂 lazma kiumane tu! We umepewa deal terms ziko wazi mmegee jamaa kipande chake maisha yaende.
Hela umeingiziwa kwenye account toa 10% mpe mwamba unaanza kuleta utoto tena.
Kawaida inatoka kabla ya mkataba sasa sijui ilikuwaje wakamwamini, kazi za ukandarasi sio za kuaminika ukute alilamba hasara na deni juu huko benki
 
Hadithi yako umeeleza kwa ujanja ujanja mwingi, bila shaka wewe ndio ulitaka kudhurumu 10% ya jamaa wa TARURA. Unapewa dili la pesa halafu unaleta tamaa, lazima UPIGWE TU.
 
Hadithi yako umeeleza kwa ujanja ujanja mwingi, bila shaka wewe ndio ulitaka kudhurumu 10% ya jamaa wa TARURA. Unapewa dili la pesa halafu unaleta tamaa, lazima UPIGWE TU.
Hii stori iko nusu

Nachojua mtaka rushwa usipompa anakuacha na shida zako hakufuatilii

Sema ukweli
Alitapeli 10 % huyu, ndio yakamkuta hayo masahibu.
 
Reactions: T11
Itakua walimdhalilisha sana, itoshe tu kusema AKAE KIMYA na kuendelea na maisha yake. Siku nyingine asirudie KURUSHA WATU 10% zao.
 
Malizia yote mkuu ikiwepo nini ilikuwa hatma yako. Pole kwa yote
Asante nilisha malizia
U bize ndio chanzo Cha kuchelewesha na kuandika nusu nusu.
 
Mimi nimeandika yaliyo nikuta ni ukweli halisi Sina sababu ya kuchafua yeyote
 
Whether ni chai au sio chai... Hii kuandika nusu nusu na kudai upo busy kwani tuliomba aandike!

Wanakera yaani.. Sometimes you wish hao police wangemvunja vidole kabisa ashindwe kutype.
Asante
 
Whether ni chai au sio chai... Hii kuandika nusu nusu na kudai upo busy kwani tuliomba aandike!

Wanakera yaani.. Sometimes you wish hao police wangemvunja vidole kabisa ashindwe kutype.
Asante nimekamilisha lakini u bize ndio husababisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…