Nilikamatwa na Polisi na kufichwa Kituo kilichopo Dar kwa siku tatu bila kula nikipewa vitisho

Walisha kupiga miti mkuu???
Mimi sijawahi kupigwa miti.
Lakini kutokana na mihangaiko yangu ya kimaisha imeniwezesha kuona mengi sn ktk dunia hii..

Mbele ya mtutu wa bunduki huna utakachopinga mkuu..

Ila elewa kwamba ukiwekwa Kati na watu wa kazi utavua chupi mwenyewe na mavi yako watatumia kama kilainishi.

Usiombe uwekwe Kati mkuu..

Kama hujawahi kuwekwa Kati basi utaongea maneno mengi sn nje ya keyboard..

Hivi unadhani wale wanaopigwa na kukiri police wamependa kuongea?
 
Mfumo wa Tz kuanzia urais, ni rushwa tupu!
 
Wewe umeamini ni usalama wa taifa? Unafikiria aje ndugu?
 
Ni
hii ni CHAI hakuna mahabusu wanaowekwa kituoni kwa kazi maalum, maana pale ni 24hrs labda week end
Anashindwaje kumfuata Waziri wa Mambo ya ndani au IGP maana hata Mama wa Rais Be Mpango kalilaumu Jeshi la POLISI
kukaa kimya NI kumpa kichwa jamaa wa TANROAD utafikiri tupo enzi za mwendazake
Leo afunguke la sivyo Deni la 20m litaongezekea TRA
 

Aliwekwa kimichongo kwa sababu ya visasi/madai, mbona stori yake ipo wazi kabisa...
 
Aliwekwa kimichongo kwa sababu ya visasi/madai, mbona stori yake ipo wazi kabisa...
kwa hiyo amesamehe hayo manyanyaso ya hicho kituo na huyo Tarura ili asichafue kazi yake ya Contractor. km sio C HAI aende mbele Ikulu ipo wazi hata Wizarani
ngoja nimshauri maana story ni Dodoma, Dar Kigoma
 
kwa hiyo amesamehe hayo manyanyaso ya hicho kituo na huyo Tarura ili asichafue kazi yake ya Contractor. km sio C HAI aende mbele Ikulu ipo wazi hata Wizarani
ngoja nimshauri maana story ni Dodoma, Dar Kigoma

Ndio maana tunamkomalia amalize alichotaka kueleza...
 
Acha ujinga Mimi ni mtu mzima najitambua siwezi kukaa kutunga uongo ili nifaidike Nini?
Kituo chochote cha Polisi Askari wote si wabaya, wasingekunyima mawasiliano. Mpaka leo upo kimya na rushwa imekwama kwanini usipande ngazi, Leo Makamu wa Rais kalilaumu Jeshi la POLISI kwanini usibishe hodi huko kuliko humu JF huyo jamaa wa Tarura sio Mungu ukimuacha atakurudia tu
 
Acha ujinga Mimi ni mtu mzima najitambua siwezi kukaa kutunga uongo ili nifaidike Nini?
Ulifanya kazi gani huko Tarura na ilikuwaje mpaka huyo mtesi wako aanze kukudai hiyo pesa? mlikuwa na makubaliano yoyote?
 
Ulifanya kazi gani huko Tarura na ilikuwaje mpaka huyo mtesi wako aanze kukudai hiyo pesa? mlikuwa na makubaliano yoyote?
Mambo ya 10%.
Kwa kifupi huyu mleta Mada ni tapeli. Kazi ya ujenzi wa barabara ya Milioni 400 Bwana TARURA alimpa tenda ya Milioni 450 kwa masharti milioni 20 azirudishe kwa Meneja huko Kigoma.
Sasa Mapesa yalipoingia kwenye akaunti akaleta Ujanja wa kumuona yule Bw.TARURA wa Kigoma kwamba ni falla tu na kukimbilia na mzigo wote Dar. Sasa hakujua yule TARURA naye mtoto wa Mjini. Akamtengenezea mtego huko huko Dar ubaya ubaya tu.
Kwa kifupi wewe mleta mada na huyo mTARURA wote ni WAHUJUMU UCHUMI kesi inawahusu.
Lkn pia wewe MKANDARASI umemkuta huyo TARURA boya, kwa utapeli wako huu wa Kijinga utakuja kuuliwa Familia yako yoteee, unaelekea pabaya sana maaaana Utapeli uliofanya wa Kizamani sana na hapa unatafuta kuhurumiwa na wasiojua michezo yenu.
Napata picha ndio maaana unaelekea kufiliska maaaana uliendekeza Michongo.
 
Pole sana, jeshi la polisi nchini kwetu linaonea sana raia, hakuna haki kabisa.
Mbaya sana kuna hapo Airport mi siwasahau,wanajifanya usalama wa taifa kuna mmoja namkumbuka anaitwa mujwambusi iko siku yake.
Huyo na kijana mwingine, na mwanadada walinitesa bila kosa.
Wakachukua hela euro 500+
Wakisingizia nimekuja na unga.
Hao watu wamefanya nichukie hiyo nchi kupitiliza.
 
Kwanini unaficha uonevu na unyama kama huu. Inatakiwa useme una utaje kila baya walilokufanyia ili hao watu wajulikane. Wanakuingiza selo bila kuandikishwa mapokezi. Kiongozi ww una tatizo sana. Ushahidi unao huyo jamaa wa TARURA hao walitaka kukuua.
Akisema una uhakika gani atatoboa? Kama waliweza kumdaka kama mwewe anavyonyakua vifaranga usalama wake utakuwaje akiwa kasharopoka maana kuna watu itawagharimu lazma watampiga bomba tu apotee mazima. Nani anataka kuiacha familia yake kizembe?
 
Analeta tabia zake za uchagani kutaka kumrusha hela Ngosha😂 lazma kiumane tu! We umepewa deal terms ziko wazi mmegee jamaa kipande chake maisha yaende.
Hela umeingiziwa kwenye account toa 10% mpe mwamba unaanza kuleta utoto tena.
 
Watakuua tu kwani unadhani hata ni risasi nyingi zinahitajika? 1 bullet on your forehead unaenda deki inabaki story.
 
Jamaa alitaka kuwarusha hela wahuni sema wakamuonesha kuwa wao ni watabe zaidi😅 unamrusha mtu hela mliokubaliana na kumpa kauli za kejeli eti fanya lolote unaloweza au nenda popote na kIsha kum block halafu unajiona mwamba!

Kuna watu wamenyongolota vibaya mno sio kupinda tu.
 
Kuna mkuu wa kituo kimoja alikamata ng'ombe wa Mzee na kuwauza. Kufupisha story, ilibiidi familia ya mkuu wa kituo Pamoja na wazee wa heshima waombe samahani na kulipia faini kwa mwenye ng'ombe. Hii ni baada ya mkuu kupatwa na ugonjwa usiojulikana na Hauna dawa Wala kinga na Mara kadhaa kujikuta analala kwenye nyumba yake lakini anaamkia porini. Hii Dunia Pana Sana.
 
Yaani hadithi yake ilivyo lazima ndicho alichofanya😀😀.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…