Afadhali umenikumbusha mkuu,hiyo kitu nilisahau kabisa na kwa kuwa alinitimua nikimuota tena namkomesha kwa kumla hiyo kitu.
mh alikupa paka kwa mapenzi yake...hakutaka ujira...tatizo umezoea vya kulipia ndio maana kila mtu unadhani anapaswa kulipwa.....huyo dada atakuwa amejihisi amedharauliwa sana kufananishwa na changu doa!.kwa hasira hio usitarajie kuota ndoto tena hahahahha mwaka 2011 utakuwa mpweke labda umpate mwingine wa kumuota...imekula kwako...lols!
lazima nikuote leo
hahaha niote ila usinitigo tu:redfaces::redfaces::redfaces:
hahaha niote ila usinitigo tu:redfaces::redfaces::redfaces:
weye pauline! hahahahahahah
mh alikupa paka kwa mapenzi yake...hakutaka ujira...tatizo umezoea vya kulipia ndio maana kila mtu unadhani anapaswa kulipwa.....huyo dada atakuwa amejihisi amedharauliwa sana kufananishwa na changu doa!.kwa hasira hio usitarajie kuota ndoto tena hahahahha mwaka 2011 utakuwa mpweke labda umpate mwingine wa kumuota...imekula kwako...lols!
hahhahahahahahah nazidi kukupa mashaka BAK???....:redfaces::redfaces:😛arty:
Kuna siku nilitokewa na ndoto nzuri na ya kupendeza.Usiku huo niliota nipo na msichana mrembo wa kuvutia ambaye kila kijana pale mtaani alikuwa akitamani kuwa naye.Na mimi katika ndoto hiyo nilimfaidi barabara,maana ilikuwa nikiamka na kujisafisha narudi tena kulala, naye anakuja tena na ndoto inaendelea na tuna do tena,hali hiyo ilijirudia mara tatu mpaka kulipokucha.Asubuhi yake nikajiona kuwa sitamtendea haki dada wa watu endapo sitamlipa ujira wake kwa kazi aliyonitendea ukizingatia kuwa mimi pia sipendi vya bure.Basi mtoto wa kiume nikatoka mpaka anapoishi yule dada na kutoa kitita cha noti na kumkabidhi,akaniuliza unanipa pesa ya nini?Nikamsimulia ndoto yangu,We!Nilikoma jinsi alivyonitoa mbio siku hiyo mpaka nikajiuliza kosa langu lilikuwa lipi?Kumlipa ujira wake?Kuota ninado naye?Au ujasiri wangu wa kwenda kumsimulia ndoto yangu.
hahahahahah happy new year mamii, loh hapa umeniacha kongowe kwa mfipahahaha niote ila usinitigo tu:redfaces::redfaces::redfaces:
happy new year mkulu... naona 20111 inakuja na staili mpya kwako:bump:Kuna siku nilitokewa na ndoto nzuri na ya kupendeza.Usiku huo niliota nipo na msichana mrembo wa kuvutia ambaye kila kijana pale mtaani alikuwa akitamani kuwa naye.Na mimi katika ndoto hiyo nilimfaidi barabara,maana ilikuwa nikiamka na kujisafisha narudi tena kulala, naye anakuja tena na ndoto inaendelea na tuna do tena,hali hiyo ilijirudia mara tatu mpaka kulipokucha.Asubuhi yake nikajiona kuwa sitamtendea haki dada wa watu endapo sitamlipa ujira wake kwa kazi aliyonitendea ukizingatia kuwa mimi pia sipendi vya bure.Basi mtoto wa kiume nikatoka mpaka anapoishi yule dada na kutoa kitita cha noti na kumkabidhi,akaniuliza unanipa pesa ya nini?Nikamsimulia ndoto yangu,We!Nilikoma jinsi alivyonitoa mbio siku hiyo mpaka nikajiuliza kosa langu lilikuwa lipi?Kumlipa ujira wake?Kuota ninado naye?Au ujasiri wangu wa kwenda kumsimulia ndoto yangu.
happy new year mkulu... naona 20111 inakuja na staili mpya kwako:bump:
kuna siku nilitokewa na ndoto nzuri na ya kupendeza.usiku huo niliota nipo na msichana mrembo wa kuvutia ambaye kila kijana pale mtaani alikuwa akitamani kuwa naye.na mimi katika ndoto hiyo nilimfaidi barabara,maana ilikuwa nikiamka na kujisafisha narudi tena kulala, naye anakuja tena na ndoto inaendelea na tuna do tena,hali hiyo ilijirudia mara tatu mpaka kulipokucha.asubuhi yake nikajiona kuwa sitamtendea haki dada wa watu endapo sitamlipa ujira wake kwa kazi aliyonitendea ukizingatia kuwa mimi pia sipendi vya bure.basi mtoto wa kiume nikatoka mpaka anapoishi yule dada na kutoa kitita cha noti na kumkabidhi,akaniuliza unanipa pesa ya nini?nikamsimulia ndoto yangu,we!nilikoma jinsi alivyonitoa mbio siku hiyo mpaka nikajiuliza kosa langu lilikuwa lipi?kumlipa ujira wake?kuota ninado naye?au ujasiri wangu wa kwenda kumsimulia ndoto yangu.