Nilikosea sana nilipomruhusu abadili gia angani, sasa naona dalili kuwa itanitesa

it sound like a fiction! any way that is blackmail .there are three ways to deal with a blackmailer
1) report to the police
2)Beat her merciless
3)kill the son of a bitch.
Nimependa solution zako. Kazi kwako Galadudu
 
Me naona kuanzia leo ungeaacha tu kujiita general umekamatika kwa mbinu dhaifu sana hata mgambo angechomoa
 
hahaha,,mi ninavyojua MWANAUME NI MWALIMU... tafuta njia utakayoweza kutokea..and in that matter MKEO ASIJUE.
 
Teh..teehh.....πŸ˜€
Kwanza nimejenga desturi ya kwamba, kila nikiona uzi wako lazima nisome sababu hauishiwi vituko kila panapo kucha

Duh basi we ni noma sana kwa hiyo hapa unajua kuwa lazima kutakuwa na episode ya pili
 
Pole sana mzee. Cha kufanya kuwa mpole endelea kula mzigo. From now maeneo ya kukutana andaa wewe. Pili mbembeleze ujue anapo save pictures. At the end of the game dumbukiza hata kama ni pc au simu iweke kwenye maji.
Trick za kizamani hizo...Boya gani anatunza secret files kizembe hivo?Sikuhizi cloud storage ndo habari
 
Teh..teehh.....πŸ˜€
Kwanza nimejenga desturi ya kwamba, kila nikiona uzi wako lazima nisome sababu hauishiwi vituko kila panapo kucha

Duh basi we ni noma sana kwa hiyo hapa unajua kuwa lazima kutakuwa na episode ya pili
 
Me naona kuanzia leo ungeaacha tu kujiita general umekamatika kwa mbinu dhaifu sana hata mgambo angechomoa

U general uko pale pale mkuu nitakavyochomoka kwny hii ishu ni kwa mbinu za ajabu sana zitakazoushangaza ulimwengu
 
hahaha,,mi ninavyojua MWANAUME NI MWALIMU... tafuta njia utakayoweza kutokea..and in that matter MKEO ASIJUE.

Mkuu usipate shaka juu yangu huu msala nitauacha kwa namna ambayo hata aliyeutega hatoamini
 
Kwani unahofia nini once akimwambia mkeo ? Umeshawahi kuua mtu ww ? Kama unahisi huyo mdada kufanya hivyo kutasababisha risk kubwa kwa maisha yako lets kill her. Nitafute private tupange mission unikatie cha kwangu nikusindikizie mtu kuzimu!!
 
U general uko pale pale mkuu nitakavyochomoka kwny hii ishu ni kwa mbinu za ajabu sana zitakazoushangaza ulimwengu
Mkuu usipate shaka juu yangu huu msala nitauacha kwa namna ambayo hata aliyeutega hatoamini

Na hapo ndipo ninapo subiria aiseeee....
Sababu wewe bana pamoja na majanga ya kila kukicha hua unachomoka tu aiseeee....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…