Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ucpende sana kukariri mkuu
Halijakukuta mkuu, huo ni mtihani mkubwa sana aisee.......anakwambia:- kila nikihitaji kufanywa ni lazima uje unifanye, ukikiuka hili hakutakuwa na onyo wala nini, mzigo wote naumwaga kwa mkeo
Teh..teehh.....😀
Kwanza nimejenga desturi ya kwamba, kila nikiona uzi wako lazima nisome sababu hauishiwi vituko kila panapo kucha
Trick za kizamani hizo...Boya gani anatunza secret files kizembe hivo?Sikuhizi cloud storage ndo habariPole sana mzee. Cha kufanya kuwa mpole endelea kula mzigo. From now maeneo ya kukutana andaa wewe. Pili mbembeleze ujue anapo save pictures. At the end of the game dumbukiza hata kama ni pc au simu iweke kwenye maji.
Teh..teehh.....😀
Kwanza nimejenga desturi ya kwamba, kila nikiona uzi wako lazima nisome sababu hauishiwi vituko kila panapo kucha
Me naona kuanzia leo ungeaacha tu kujiita general umekamatika kwa mbinu dhaifu sana hata mgambo angechomoa
hahaha,,mi ninavyojua MWANAUME NI MWALIMU... tafuta njia utakayoweza kutokea..and in that matter MKEO ASIJUE.
U general uko pale pale mkuu nitakavyochomoka kwny hii ishu ni kwa mbinu za ajabu sana zitakazoushangaza ulimwengu
Mkuu usipate shaka juu yangu huu msala nitauacha kwa namna ambayo hata aliyeutega hatoamini