Nilikosea sana nilipomruhusu abadili gia angani, sasa naona dalili kuwa itanitesa

Mbona baada ya mbowe kubadili gia angani,Dr mihogo akashuka na parachuti ,akatuachia safari na wakati huu anajuta???cose dunia ya Leo pesa siyo kitu heshima ndio kubwa kuliko fweza
 
Kwani unahofia nini once akimwambia mkeo ? Umeshawahi kuua mtu ww ? Kama unahisi huyo mdada kufanya hivyo kutasababisha risk kubwa kwa maisha yako lets kill her. Nitafute private tupange mission unikatie cha kwangu nikusindikizie mtu kuzimu!!

Ctaki nimbebee dhambi zake, lakini siwaahidi chchte kwa jambo nitakalofanya juu yake
 
kweli usiwe unaadimika hv bhana tunakosa uhondo.
 
Yani hata kama ni matatizo ila inafurahisha pia, hasa hapo kwenye wanja na alivyobadili gia angani

Ohoooo........sasa hiyo staili alotumia kulichomoa pale na kulichomeka kule kwa ule wepec wa ajabu unadhani utaitaje sasa kama sio kubadili gia angani
 
General galadudu katika ubora wako.. hakika hutoiona pepo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…