wembeee
JF-Expert Member
- Jan 16, 2015
- 2,708
- 1,353
OK yangu macho nitaona yote siku ikiwadiaTake it from me,ipo siku utaniambia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
OK yangu macho nitaona yote siku ikiwadiaTake it from me,ipo siku utaniambia.
Huyu kila siku shetani anampitia...mara achepuke....Yaani huyu jamaa bhana..😀, hua mtata sana
Teh teh,shetani special for galadudu sipati picha atakuaje,mana shetani wake hampumzishi,atafia kifuani huyu....Kuna shetani kaumbwa kwa ajili yake
Shetani wa Galadudu hana likizoTeh teh,shetani special for galadudu sipati picha atakuaje,mana shetani wake hampumzishi,atafia kifuani huyu....
Aiseeee....😉Huyu kila siku shetani anampitia...mara achepuke....
Huyu jamaa haezi kufia kifuani maana shetani anamtegemea sana aiseee...😀Teh teh,shetani special for galadudu sipati picha atakuaje,mana shetani wake hampumzishi,atafia kifuani huyu....
Ipo siku shetani atamuibukia na kumuuliza kwa njinsi anavyopenda kumsingizia.Huyu kila siku shetani anampitia...mara achepuke....
Ndiyo muendelee kubadilisha gia angani toka kwa kei kwenda nyaMkuu nimkubalie kuendelea kushiriki dhambi hiyo
Tulia wewe humjui popoma,ni mjanja kuliko unavyofikiri wewe.
Hapa kaamua kubadili mwandiko kupitia ID hii,lakini ukisoma between lines utamjua tu.
duh, ila kama kweli vileTulia wewe humjui popoma,ni mjanja kuliko unavyofikiri wewe.
Hapa kaamua kubadili mwandiko kupitia ID hii,lakini ukisoma between lines utamjua tu.
Aiseeee....😉
Huyu jamaa haezi kufia kifuani maana shetani anamtegemea sana aiseee...😀
Ndiyo muendelee kubadilisha gia angani toka kwa kei kwenda nya
Pole sana mkuu, ila tunasubiri utushangaze ulimwengu
Nyie tulieni tu, kwa sasa acha niendelee kuwa mnyonge kwake lakini nikimpatia nafac hatoamini kwa nitakachokifanya
nipe namba zake nikusaidie hiyo kazi lkn asiwe na umeme!
Mwambie ani PM nimuonyeshe kaz
Pole Bro! learn hizo data amezihifadhi wapi siku ukichance teketeza zoteAisee mkuu yani napata kichefuchefu sana juu ya hiyo ishu