Nilikosea sana nilipomruhusu abadili gia angani, sasa naona dalili kuwa itanitesa

Nilikosea sana nilipomruhusu abadili gia angani, sasa naona dalili kuwa itanitesa

Tulia wewe humjui popoma,ni mjanja kuliko unavyofikiri wewe.
Hapa kaamua kubadili mwandiko kupitia ID hii,lakini ukisoma between lines utamjua tu.

Nifah ifikie wakati uwe muwazi tu kwangu mama inawezekana nikawa nakuchukia bure kwa maneno yako kumbe kuna kitu unakitaka kwangu lakini unashindwa kuniambia usipate shida ndo maana wameweka PM njoo tu
 
Tulia wewe humjui popoma,ni mjanja kuliko unavyofikiri wewe.
Hapa kaamua kubadili mwandiko kupitia ID hii,lakini ukisoma between lines utamjua tu.
duh, ila kama kweli vile
 
Nyie tulieni tu, kwa sasa acha niendelee kuwa mnyonge kwake lakini nikimpatia nafac hatoamini kwa nitakachokifanya

General Galadudu.....😉
Bado naendelea kusubiri kuskia hicho utakacho mfanya ukija mpatia nafasi....😀
 
nipe namba zake nikusaidie hiyo kazi lkn asiwe na umeme!
 
Back
Top Bottom