Nilikupenda sana...

Mbona umekuja kuniagia huku wakati tulikutana Facebook, tafadhali rudi kule ukaniage kama tulivyokutana na kuitana sweat heart lotion. Ukifika uendako unijulishe na ikiwezekana ubadili ID ili upate wa huku pia......tehe, tehe, teheeeeeeeeeeeeeeeee utaniwiiiiiiiiiii
 
hata mawasiliano ya Simu hamna umpe ujumbe wake!!!!!!!!.....

Message zangu hajibu simu yangu hapokei busy mitandaoni, nimerusha message hii kwenye mitandao yote anakoshinda ili ujumbe umfikie na ajue kuwa nimefanya maamuzi na niko siriasi.
 
Mpe cha mwisho kwanza cha kuagana ............!

:tape: :love:

mmmh cha mwisho tena nikifanya hivyo inaweza ikanibadili mawazo kubaki nami nimeshaamua kuondoka, najua saa hizi ameshapata ujumbe wake.
 
Mtoto wetu umemuacha au unaondoka naye!??

Naondoka nae, maana tangu azaliwe hajawahi kumnunulia hata pipi achilia mbali kumsindikiza shuleni na kumpeleka hospitali anapoumwa. Baridi, joto, jua na mvua vyote navipata mimi kwa ajili ya mtoto, siwezi kumuacha mtoto.
 
Tatizo hatajua mpaka akikukosa ndio atatuletea taarifa,mana ID zenyewe fake.

Hii ID si fake ni jina langu mwenyewe hata huko duniani naitwa hivi akiingia humu na kusoma hivi atajua tuu ni mimi na hiyo avatar yangu pia anaijua so akiunganisha dots ya picha na avatar atajua ni mie.
 
umekusanya mtaji wa kutosha au ndo unarudi kijijini kwa wazee,kama hujachukua endelea kumvumilia kama mwezi hivi ujichotee rasilimali mwaya.....kitaa ni pagumu thana.

Mie niko kamili mtaji ninao na ajira pia ninayo, wala sirudi kijijini naendelea kupambana hapahapa mjini namlea mwanangu. Thanx by the way.
 
Ooooooooohh sikujua kama utabadilika x2

Baki salamaaaa kuonana nawe ni majaliwaa

Ooooh ulimwengu kweli una mambo mengi mamaaaaaaah x2

Baba mtoto.:wave:

Hheheheee kidogo umenipa tabasamu, thanx for the joke but tangu niwe na baba mtoto sijabadilika yeye ndo kabadilika mnoo.
 
Akiamua kukutafuta atakupataje? muachie hata account ya skype. Lakini kumbuka hasira hasara. Mia

Hawezi kunitafuta na akiamua kunitafuta atanipata hapa jf maana atakuwa anajua ni mimi vinginevyo sitataka aendelee kunisononesha kama alivokuwa akinisononesha. Sijafanya hasira maamuzi haya niliyapanga tangu mwaka 2010 nikayapa miaka 3 kujaribu kama atajirekebisha au la, haikuwa hivyo sasa nimechoka na naondoka bila hasira.
 
Tatizo mnaangalia sana tamthilia.

Mmeo unakuja kumtalikia kwenye mtandao wa kijamii tena wenye ID feki?

He he he, labda kama mlikutana humu humu.
Pole, hapo umejila mwenyewe.

Asanteee, ila mie hata tamthilia sizijui zinaanzje na kuishiaje, sikumbuki mara ya mwisho nilishika remote ya tv lini. ID yangu si fake na kwa kuwa yuko humu akiisoma atajua tu ni yeye ndo mlengwa. Hatukukutana humu ila kutokana na anakoshinda ndo nimempelekea taarifa yake kwa njia hii.
 
Na mie mke mwenzio leo ndio nahamia rasmi mjengoni,ukinyanyuka tu wenzio twakaa so usije ukabadili mawazo ati

Kila la heri mama labda wewe utaenjoy mie nimeshindwa, jumba kubwa la kifahari, magari kedekede ila khaaaa!! nimeshindwa mie nenda na wewe ukazae uyaone. Tena ukienda leoleo itasaidia maana itampunguzia baba watoto munkari wa kunitafuta.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…