Nilikupenda sana...

Nilikupenda sana...

Huyo anaruhusiwa kuja hivi
images

unamaanisha na Dark City na angevaa hiv?
 
kuringa ni moja ya tabia zangu bila hata ya hiyo picha kuwa mimi naringa tayari.
Hapana hakunichumbia jamvini alinifahamia kanisani ila huku mitandaoni ndo anakoshinda na kulala, lengo langu message imfikie na asinitafute asiponiona nyumbani kwake maana naondoka.

na kama hiyo ndio sura yako basi unaaibisha ma kuivunjia heshima yake. sura nzuri inategemewa iende na tabia njema. sasa wewe sura nzuri halafu unamtaliki mumeo mtandaoni hujakuwa fair kwa hiyo sura.

muda mwingine wanaume wawe wanaagalia mke wa kuoa ukikimblia sura ndo ujue hata kumwagwa unamwagiwa mtandaoni.

yaani hakya mama tena ninavyoipenda ndoa yangu, yaani nimejitwika kichwani wallah manake hata kwenye sufuria nitakula ili tu idumu lkn kumbe kuna wengine hali ni tofauti.

Bidada utakuja kuona impact ya hili siku nyingine na utajilaumu sana. mume haachwi mtandaoni mume huachwa nyumbani tena mbele ya mashahidi na unaagana kwa amani.
 
Hebu walimi tusaidieni kulea, naona kuna mahali wazazi tumeshindwa kabisa.

Asante kwa kufafanua.

unless kama sio mume wandoa ama ambaye unataka awe na mawasiliano na mwanae.
Kongosho na wengine wanaongea mambo ya msingi sana ila kwa njia ya utani. Nakushauri acha utoto rudi nyumban kwako msubiri mumeo arudi kaachini ongea nae na kama unaondoka huna haja ya kujikimbiza kwa kificho. Ondoka akiwepo ili aje leo mkewangu na mtoto wanaondoka.


unachokifanya wewe naona ni kama vile unampango wa kumfanyia uhalifu, ama wa kutaka kumkomoa kumbe ni heri muagane kwa amani ili siku mwanao akitaka kumwona baba yake isiwe kitu kigumu kwako.

sikatai yawezekana maisha ya kuish nae yamekuchosha lkn jiulize swali je huyu mwema malaika unayesema unamwomba Mungu akupe utampata wapi?? kama ulishina kanisani viti vya mbele na ukampata huyu sembuse sasa ambapo umemwacha mume wa ujana wako unategemea akusikie??
 
ahahhahhhahha najaribu kuimagine kipi kinaweza kuwa kikakulazimu!? NI MWENDO WA KUGUESS TU!ili abishe sio! Kongosho hebu anza kupendekeza majina ya wahisiwa!
Halafu wewe! Mwenzio amevurugwa we unazidi kumchanginyi.
 
Last edited by a moderator:
Sasa kama huangalii tamthilia wala movie, mbona umevaa uhusika wa sterring wa latin soap operas?
Yaani mie hapa nina pop corn na soda, ready for the movie. Tatizo tu sijamuona sterring msaidizi.

Labda, how old are you? Una mawasiliano na nduguzo kama mama, dada, shangazi, bibi, binamu?
Na je, uko karibu ndugu yeyote ya mzazi mwenzio? Labda dada, kaka?

Ukinijibu hayo, nitakuambia kitu.

Hata sijui hizo latin soap operas zinafananaje, this is not a movie jamani ni true life ambayo nimepitia, its sirias issue.
Nina miaka 30, ndugu nilionao ni wa baba mtoto tuu, mimi nilizaliwa mwenyewe nimelelewa na bibi nae alishakufa baba sikumfahamu wala ndugu zake, mama aliniacha kwa bibi wakati niko mdogo na aliolewa na mjerumani wakati nasoma primary hajarudi tena hadi leo na sina mawasiliano nae. Ndugu wa baba mtoto wangu siko karibu nao maana ni familia ambayo iko busy sana na mambo ya kazi na kutafuta hela hawana muda wa kusocialise hata ukienda mtembelea kama huna appointment humuoni na ukiweka appointment ni ten minutes anakwambia nina kikao zaidi ya hapo sina wa kuongea nae.
 
akienda huko anakoshinda si anakuta keshapewa vya haja na Toria
Kwani ukila bar nyumbani huli..??? AU ukila asubuhi mchana na jioni huli..??? Au ukila nyumba ndogo nyumba kubwa huli..??? Au ukila nyumba kubwa, huko kwa mpango wa kando huli..?? Chezeya genye msindo weye..!!! full kuhitaji kula full time...
 
Afu na wewe huu mtindo wa kuweka hako ka nukta mwamnzo umekatoa wapi? Ni swaggerrr? Huyu kalimwa talaka 9
Kila atakayemuuliza hali ana copy yake.
Ndoa nyingine!!
 
....hii kama shairi vile????!!!!!!!!!!!!!!!!!!mh, haipandi kabisa aisee!!!!!!!!!!!!!!!!
 
na kama hiyo ndio sura yako basi unaaibisha ma kuivunjia heshima yake. sura nzuri inategemewa iende na tabia njema. sasa wewe sura nzuri halafu unamtaliki mumeo mtandaoni hujakuwa fair kwa hiyo sura.

muda mwingine wanaume wawe wanaagalia mke wa kuoa ukikimblia sura ndo ujue hata kumwagwa unamwagiwa mtandaoni.

yaani hakya mama tena ninavyoipenda ndoa yangu, yaani nimejitwika kichwani wallah manake hata kwenye sufuria nitakula ili tu idumu lkn kumbe kuna wengine hali ni tofauti.

Bidada utakuja kuona impact ya hili siku nyingine na utajilaumu sana. mume haachwi mtandaoni mume huachwa nyumbani tena mbele ya mashahidi na unaagana kwa amani.
Kuna jamaa alimuacha mkewe wa ndoa kwa mbwembwe na akaowa mwingine. Aliyemuacha walishazaa mtoto mmoja... Kuja kushtuka huyu mke mpya hazai, mwisho wa siku jamaa anaiba na mtalaka wake na hadi naingia mtandaoni, wameshazaa mtoto mwingine... ETI WANAENDELEA KUIBA

 
Hebu walimi tusaidieni kulea, naona kuna mahali wazazi tumeshindwa kabisa.

Asante kwa kufafanua.

bwana yaani mimi siku hizi nashindwa hata kusema. Huyu anamtaliki mumewe kisa anashinda mitandaoni nyumban hamwoni na hana msaaa kwa mtoto. Lakini ninajiuliza hili tatizo lilianza lini?? je alishawah kuchuukua hatua gani?? assume alifanya yote yaliyotakikana yakashindikana kumrekebisaha akafika mahali akasalimu amri.

sasa kweli ndipo uende twitter, fb, jf, bbm and the like kumtaliki mumeo?? halafu unajisifu ni jina lako halisi na sura ni yako, imaginie ni watu wangapi wanaosoma haya?? je kama ni wewe kweli umejiharibia vipi??

hivi unategemea kwa staili hii umpate mume bora?? yumkini huyu ataishia kupata bora mume.

NARUDIA KUSEMA KAMA ALISHINDA KANISANI VITI VYA MBELE NA AKAAMBULIA HUYU SASA ANATEGEMEA AKUTANE NA MALAIKA ILIHALI KAMUACHA MUME WA UJANA??
Mkunde Original rudi magotini ongea na Mungu wako kama ulikuwa unaenda kanisani kumtega Mungu akupe mume basi omba toba ya kweli kwa Mungu kisha funga kwaajili ya ndoa yako.Yumkini ulishindwwa kufikia ule utakatifu Mungu alokusudia uufikie ili akupe mume aliyefanana na wewe sasa ndio wakati wako wa kuanza kufanya toba uufikie huo utukufu ili ambadili mumeo.

Jua wazi kwamba tatizo sio mumeo tataizo ni hicho kilichoko nani ya mumeo na mwenye uwezo wa kukibadili ni unu peke yake. Ujue shetani ni mjanja sana anakutizama na atakuletea mwanaume mwingine useme mume ndo huyu lkn nakumbia hata huyo atakuwa ni majanga kuliko hata huyu wa kushinda mitandaoni.

nakutakia kila la heri ila nakushauri sana usimtenge mwanao na baba yake hata kama wewe utaondoka
 
Last edited by a moderator:
Kuna jamaa alimuacha mkewe wa ndoa kwa mbwembwe na akaowa mwingine. Aliyemuacha walishazaa mtoto mmoja... Kuja kushtuka huyu mke mpya hazai, mwisho wa siku jamaa anaiba na mtalaka wake na hadi naingia mtandaoni, wameshazaa mtoto mwingine... ETI WANAENDELEA KUIBA


kaka yangu alimwacha mkewe kwa mbwembwe sana nilihubiri sana juu ya hili hakuskia, akavuta mchuma mwingine mdada anafanya kazi Tanesco, baada ya kuvuta ndani mwezi ulipoisha akaanza kuskia hivi leo zamu ya nani kupika?? mara hivi hizo nguo unamrundikia nani?? alipata hasira akampiga mkewe hadi kulazwa hosp, ilibidi amwachie kule kule hosp manake yalimshinda.

akarudi home kuanza kumwomba dingi akamwombee samahani aruiane na mkewe wa awali.
 
Hata sijui hizo latin soap operas zinafananaje, this is not a movie jamani ni true life ambayo nimepitia, its sirias issue.
Nina miaka 30, ndugu nilionao ni wa baba mtoto tuu, mimi nilizaliwa mwenyewe nimelelewa na bibi nae alishakufa baba sikumfahamu wala ndugu zake, mama aliniacha kwa bibi wakati niko mdogo na aliolewa na mjerumani wakati nasoma primary hajarudi tena hadi leo na sina mawasiliano nae. Ndugu wa baba mtoto wangu siko karibu nao maana ni familia ambayo iko busy sana na mambo ya kazi na kutafuta hela hawana muda wa kusocialise hata ukienda mtembelea kama huna appointment humuoni na ukiweka appointment ni ten minutes anakwambia nina kikao zaidi ya hapo sina wa kuongea nae.

so sad!!
lkn hii haikupi sababu ya kuifanya jf kikao cha ukoo cha kumtaliki mumeo.Bado ulikuwa unauwezo wa kutumia approach ambayo ni nzuri zaid kama kushirikisha marafiki wale wa karibu sana na hata wazee wa kanisa. huoni hapa unakuwa umejivunjia heshima na kuwafanya watu wengine kama mimi kuhisi kwamba huu ni utani??
 
Lengo lanu si anijibu bali apate ujumbe na asihangaike kunitafuta nimeondoka, maana kila nilipojaribu kumpa ujumbe bila kupitia mitandaoni hakunipa nafasi sasa imenilazimu. Sihitaji anijibu maana wakati nalipohitaji majibu hakunipa.

kama hakuhangaika wakati upo nyumbani,ukiondoka ndio atahangaika!!!!!!

kama ulimwambia mkiwa nyumbani,then kwa sim the Message was sent and delivered
Mkunde Original hukuwa na haja ya kuja huku,usijitese zaidi mateso aliyokupa yanatosha.....
 
Last edited by a moderator:
kaka yangu alimwacha mkewe kwa mbwembwe sana nilihubiri sana juu ya hili hakuskia, akavuta mchuma mwingine mdada anafanya kazi Tanesco, baada ya kuvuta ndani mwezi ulipoisha akaanza kuskia hivi leo zamu ya nani kupika?? mara hivi hizo nguo unamrundikia nani?? alipata hasira akampiga mkewe hadi kulazwa hosp, ilibidi amwachie kule kule hosp manake yalimshinda.

akarudi home kuanza kumwomba dingi akamwombee samahani aruiane na mkewe wa awali.
Mke/Mume ni yule wa ujana wako... Hawa wanaofuata kuishi nao inakuwa taabu saana maana kila kitu anachokifanya mke/mume mpya, utafanya reference kwa uliyeachana naye..

 
unless kama sio mume wandoa ama ambaye unataka awe na mawasiliano na mwanae.
Kongosho na wengine wanaongea mambo ya msingi sana ila kwa njia ya utani. Nakushauri acha utoto rudi nyumban kwako msubiri mumeo arudi kaachini ongea nae na kama unaondoka huna haja ya kujikimbiza kwa kificho. Ondoka akiwepo ili aje leo mkewangu na mtoto wanaondoka.


unachokifanya wewe naona ni kama vile unampango wa kumfanyia uhalifu, ama wa kutaka kumkomoa kumbe ni heri muagane kwa amani ili siku mwanao akitaka kumwona baba yake isiwe kitu kigumu kwako.

sikatai yawezekana maisha ya kuish nae yamekuchosha lkn jiulize swali je huyu mwema malaika unayesema unamwomba Mungu akupe utampata wapi?? kama ulishina kanisani viti vya mbele na ukampata huyu sembuse sasa ambapo umemwacha mume wa ujana wako unategemea akusikie??

Mmmmmh dada maneno yako yameniingia ila ........................
Kiufupi sina mpango wa kumfanyia uhalifu wowote nabeba nguo zangu tuu na za mtoto. Tatizo pia hanipi hiyo nafasi ya kumuaga nimejaribu njia zote anazofanya mwanamke mwenye boma kutunza boma lake nimeshindwa sijajua nakosea wapi kwangu naona kama naishi bure nikiendelea kukaa humu, nilishawahi kuondoka mwaka mzima nilikuwa kwa wifi yangu wala hakunitafuta mimi wala mtoto wala kuulizia kama hata nimepata ajali au la. Kweli ni mume wa ujana wangu lakini.............!!!???
 
Mmmmmh dada maneno yako yameniingia ila ........................
Kiufupi sina mpango wa kumfanyia uhalifu wowote nabeba nguo zangu tuu na za mtoto. Tatizo pia hanipi hiyo nafasi ya kumuaga nimejaribu njia zote anazofanya mwanamke mwenye boma kutunza boma lake nimeshindwa sijajua nakosea wapi kwangu naona kama naishi bure nikiendelea kukaa humu, nilishawahi kuondoka mwaka mzima nilikuwa kwa wifi yangu wala hakunitafuta mimi wala mtoto wala kuulizia kama hata nimepata ajali au la. Kweli ni mume wa ujana wangu lakini.............!!!???

hivi unamshirikisha Mungu kwenye hili??
 
Hata sijui hizo latin soap operas zinafananaje, this is not a movie jamani ni true life ambayo nimepitia, its sirias issue.
Nina miaka 30, ndugu nilionao ni wa baba mtoto tuu, mimi nilizaliwa mwenyewe nimelelewa na bibi nae alishakufa baba sikumfahamu wala ndugu zake, mama aliniacha kwa bibi wakati niko mdogo na aliolewa na mjerumani wakati nasoma primary hajarudi tena hadi leo na sina mawasiliano nae. Ndugu wa baba mtoto wangu siko karibu nao maana ni familia ambayo iko busy sana na mambo ya kazi na kutafuta hela hawana muda wa kusocialise hata ukienda mtembelea kama huna appointment humuoni na ukiweka appointment ni ten minutes anakwambia nina kikao zaidi ya hapo sina wa kuongea nae.

af sio mdogo wewe ujue!

ila hebu twende taratibu! Kongosho kaa kushoto\
sasa mamii dah!
manake umenifanya niwe na akili baa ya hii post!\
ilikuwaje ukadate na huyo mtu,mkaoana,mkazaa, halafu mpka mnafika hapa!\
manake si umeamua kuongea wacha tuongee!nimeacha kupiga puff hapa ila ombea King'asti asije humu!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom