Nilikupenda sana...

Nilikupenda sana...

so sad!!
lkn hii haikupi sababu ya kuifanya jf kikao cha ukoo cha kumtaliki mumeo.Bado ulikuwa unauwezo wa kutumia approach ambayo ni nzuri zaid kama kushirikisha marafiki wale wa karibu sana na hata wazee wa kanisa. huoni hapa unakuwa umejivunjia heshima na kuwafanya watu wengine kama mimi kuhisi kwamba huu ni utani??

Kwakweli nimekuja hapa kutua ambayo nilitaka kuyatua kwa baba mtoto ni mume wangu wa ndoa ila nimeona nazidiwa kazi sizifanyi vizuri, moyo wangu somehow ulishakufa ganzi hauna hasira tena wala haujali kwakuwa nilishafanya rescue nyingi na hakuna iliyozaa matunda. Hata wanaofanya utani sina la kuwafanya wala kuajibu zaidi ya kuwapita tuu.
 
Mie nahisi bibie ndio shetani wa ndoa yake mwenyewe.

Mie kuna siku niliweka hapa sred ya mwanamme emotional, people did not understand me.

Lakini kiukweli kwenye mahusiano lazima emotional stability iwe inakaribiana, sio mmoja iwe chini mwingine iwe juu sana. Mtaumizana sana kihisia wote bila kukusudia(emotional abuse). Unakuta mwingine ukisahau birthday analia siku nzima, wakati mwignine hakumbuki hata bday ya mama yake, na mwaka ujao hakumbuki vile vile.

yani kama vile sisi tusivyopenda wale sijui ndo tunawaita mamas boy hata wanaume hawapendi papaz girl
unaweza kuamini hupendwi hujaliwi hufanwyi nini sijui kumbe mtu tu anataka a grown up woman in you!\

ila,
historia ya bidada na yenyewe has some charm on this !
huyu mamii mama yake alimwacha akaolewa na mudhungu,AKAJIHISI KUKATALIWA
huyu mamii akalelewa na bibi,bibi wa watu wacha adekeze,hajakaa vizuri bibi akafariki maskini,AKAJIHISI AMEACHWA
huyu mamii aliona labda awe na mwenza,mwenza nae ndo hivyo hardcore ,AKAAMINI HAPENDWI
huyu mamii aliamini familia ya mumewe itakuwa ya kwake,kauta familia ni melanchony kuliko maelezo,AKAHITIMSHA HANA THAMANI
(angalia namna anavyokomaa na mwanae,sijasema ni mbaya)MAANA NDIYE ANAAMINI NI WAKE PEKEE
 
umechoka kwani huwaga anakupa nyumba ubebe kichwani??
nikusomavyo wewe ni mdeki jambo ambalo hakuna mwanaume aliye rijali anaweza kulivumilia. kwa jins unavyoandiika ni yule mtu mwenye gubu ambaye kosa la leo utalisema hadi mwaka kesho unakumbusha na kukumbusha hai mtu anakerekwa.

mumeo kushinda mitandaoni ina maana kwamba mitandao inamfarijikuliko wewe. na hapa unanipa clue kwamba grand moms rearing was very poor interms of building a self motivated person person who can think and act accordingly. wewe kuwa peke yako peke yako umejiwekea cluster ya kutokuweza kuish na mtu na haya ni matokeo ya maisha ya upweke ya bila kuwa na experience ya kuvumilia na kutatua matatizo yajayo kwako yasababishwayo na mtu baki.

hata uondoke huyo Mungu utakaye mwmba hawez kumuumba malaika akupe uish nae milele, bdo utaishia kupata mwanadamu tena ambaye anaisha hapa hapa duniania tena unia hii hii yenye ambaye shetani aliyeasi mbiguni alitupwa na leo hii anazunguka zunguka kuwapoteza watu.

be prudent an 30 yrs lady unatakiwa uwe umeshajitambua kiasi cha kuelewa ni njia ipi bora ya kutatua matatizo yako na sio kuja kumtaliki mume hapa. namwonea sana huruma mwanao manake huyu atakuwa muhanga wa akili yako isiyotaka kuwaza kwa mapana ila unafikiria tu urefu wa pua yako.

hebu usomapo post hii kaa chini jifkirie kama kweli umetena sahhi kuja kumtaliki hapa, na pia jifikirie kama kweli unaweza kukutana na mwanaume akamvumilia mwanamke wa aina yako.

a kerbu ya maana will also do!
what dyu think!?
 
Yaani wewe dada nakuona kama mjumbe aliyetumwa na mungu kutoka mbinguni, mbona sikupata maneno yako tangu mwanzo??? Naahidi jua halitazama leo bila kuyafanyia kazi maneno yako naweza kuwa nafikia ushindi bila kujua nakata tamaa. Asante sana, ubarikiwe.

sasa kama umenielewa msome vyema Kongosho kisha rui anza kuyafanyia kazi haya. wewe uliwa hivyo hivi unategemea mwanao aweje si atakuwa kuzidi wewe??

manake imebii nicheke mama anatoa talaka mtandaoni mtoto si atatolea talaka gazetini??
 
Last edited by a moderator:
kama hakuhangaika wakati upo nyumbani,ukiondoka ndio atahangaika!!!!!!

kama ulimwambia mkiwa nyumbani,then kwa sim the Message was sent and delivered
Mkunde Original hukuwa na haja ya kuja huku,usijitese zaidi mateso aliyokupa yanatosha.....

nimelazimika kufanya hivi maana kunawakati unamtumia message hazisomi na kama ilikuwa ni taarifa baada ya wiki anakwambia kwanini hukuniambia kuhusu hili kumbe meseji hasomi so nimetumia njoa zote ili kama moja itafail basi nyingine zitawork, nime tumaini hivyo.
 
Ukiondoka nitakukata makofi ujue? Mie namaliza wino kukushauri hapa, unadhani unanilipa?

mimi pia nimetamani nimkate kibao!YANI ILA WADHUNGU wanasema A SLAP!
PAAH!
af nimkalishe chini!\
daadeki zake anafikiri sisi hatuna hao waume tunaopishana nao mitandaoni na kubaki kuwamwagia likes tuu atleast ajue umemuona !alah!
 
kufanya utani kwenye shuhuli ya mwenzio masihara hayo, vile tuu mie sijui kugombana wala ingekuwa baba mtoto wangu angeshakukata mitama. Punguza utani mwenzio niko siriasi.

Pole ndugu japo sidhani kama maamuzi uliyochukua ni sahihi sana, huenda ni mambo mawili matatu yanayohitaji wenye hekima na hata viongozi wa kanisa kuyamaliza ila nyie mmefunga milango yote ya mawasiliano na hivyo mnashindwa kuelewana. Pia nakushauri umpe mungu nafasi ya kuibadilisha ndoa yako kwa kumwomba.
 
nimelazimika kufanya hivi maana kunawakati unamtumia message hazisomi na kama ilikuwa ni taarifa baada ya wiki anakwambia kwanini hukuniambia kuhusu hili kumbe meseji hasomi so nimetumia njoa zote ili kama moja itafail basi nyingine zitawork, nime tumaini hivyo.
af we mkubwa ujue!
 
Natamani ningejua malezi ya mumewe ili kuweza kuwafanyia analysisi ya emotional stability.

Au mumewe angekuja hapa naye akatoa yake ya moyoni, tatizo huyu dada anadhani yeye yuko perfect na hamkwazi mumewe. Kutoshinda home ni dalili kubwa ya kukosa kitu fulani home.

Kingine hata njia zake za kutatua matatizo ni kuzira na kukimbia badala ya kukabiliana na kuliongelea tatizo. Imagine mtu hawezi hata kumface mmewe kumwambia anaondoka home? Anakuja kumuagia jf? Low self esteem ya hali ya juu sana.

Lakini huyu anahitaji kukalishwa na mtu na kuwa trained, aondolewe hayo mawazo ya kitoto kitoto yaliyomjaa na awekewe kichwani reality. Anatakiwa ajue ndoa sio ku du tu na kupelekana guest, kunakutafuta chakula na kutolelewana pia.

Anaishi maisha ya mtu wa miaka 17 at 30.

umechoka kwani huwaga anakupa nyumba ubebe kichwani??
nikusomavyo wewe ni mdeki jambo ambalo hakuna mwanaume aliye rijali anaweza kulivumilia. kwa jins unavyoandiika ni yule mtu mwenye gubu ambaye kosa la leo utalisema hadi mwaka kesho unakumbusha na kukumbusha hai mtu anakerekwa.

mumeo kushinda mitandaoni ina maana kwamba mitandao inamfarijikuliko wewe. na hapa unanipa clue kwamba grand moms rearing was very poor interms of building a self motivated person person who can think and act accordingly. wewe kuwa peke yako peke yako umejiwekea cluster ya kutokuweza kuish na mtu na haya ni matokeo ya maisha ya upweke ya bila kuwa na experience ya kuvumilia na kutatua matatizo yajayo kwako yasababishwayo na mtu baki.

hata uondoke huyo Mungu utakaye mwmba hawez kumuumba malaika akupe uish nae milele, bdo utaishia kupata mwanadamu tena ambaye anaisha hapa hapa duniania tena unia hii hii yenye ambaye shetani aliyeasi mbiguni alitupwa na leo hii anazunguka zunguka kuwapoteza watu.

be prudent an 30 yrs lady unatakiwa uwe umeshajitambua kiasi cha kuelewa ni njia ipi bora ya kutatua matatizo yako na sio kuja kumtaliki mume hapa. namwonea sana huruma mwanao manake huyu atakuwa muhanga wa akili yako isiyotaka kuwaza kwa mapana ila unafikiria tu urefu wa pua yako.

hebu usomapo post hii kaa chini jifkirie kama kweli umetena sahhi kuja kumtaliki hapa, na pia jifikirie kama kweli unaweza kukutana na mwanaume akamvumilia mwanamke wa aina yako.
 
Ha ha ha, najua mie kiazi.
Ngoja nimkuze huyu mkunde hadi awe mchicha feki.

Ha ha, nikupe siri kwa nini nimeamua kumpa ukweli huu? Kuna kitu amenigusa, ukitaka kujua just hola.

mi mwenyewe kanitachimo! we acha tu
 
Yes, ana challenges za makuzi sana

Na ndio maana nashawishika kusema mchawi wa ndoa yake ni yeye mwenyewe.

She is just too emotional, wengine huwaita love sucker, sababu labda ya aina ya makuzi na rejection anayoihisi around her.


Lazima kwanza ajifungue kwenye chains za rejection kiakili ndio aweze kuwapokea watu wengine kama nduguze.

yani kama vile sisi tusivyopenda wale sijui ndo tunawaita mamas boy hata wanaume hawapendi papaz girl
unaweza kuamini hupendwi hujaliwi hufanwyi nini sijui kumbe mtu tu anataka a grown up woman in you!\

ila,
historia ya bidada na yenyewe has some charm on this !
huyu mamii mama yake alimwacha akaolewa na mudhungu,AKAJIHISI KUKATALIWA
huyu mamii akalelewa na bibi,bibi wa watu wacha adekeze,hajakaa vizuri bibi akafariki maskini,AKAJIHISI AMEACHWA
huyu mamii aliona labda awe na mwenza,mwenza nae ndo hivyo hardcore ,AKAAMINI HAPENDWI
huyu mamii aliamini familia ya mumewe itakuwa ya kwake,kauta familia ni melanchony kuliko maelezo,AKAHITIMSHA HANA THAMANI
(angalia namna anavyokomaa na mwanae,sijasema ni mbaya)MAANA NDIYE ANAAMINI NI WAKE PEKEE
 
Kwakweli nimekuja hapa kutua ambayo nilitaka kuyatua kwa baba mtoto ni mume wangu wa ndoa ila nimeona nazidiwa kazi sizifanyi vizuri, moyo wangu somehow ulishakufa ganzi hauna hasira tena wala haujali kwakuwa nilishafanya rescue nyingi na hakuna iliyozaa matunda. Hata wanaofanya utani sina la kuwafanya wala kuajibu zaidi ya kuwapita tuu.
kuwa mwanamke umeskia?? na sio uwe mschana.
ndo mana kifua chako kina manyonyo mawili hayo yanakuongezea nguvu ya kustahimili. ningelikuwa ni mimi nigetuliza akili yangu nikamwita Mungu nikamuuliza niani hatma yangu akiniambia sepa basi taratibu tena pasi hata jiran kujua nasepa akisema nitambadilisha basi namwabia rekebisha ma here for him.

acha ueki na uneng'ene acha kujiona huna msaaa na kwamba umesukumiwa kwenye kichaka cha miiba. amka uwe active kwaajili hata ya mwanao. usione watu wanakushauri wengine tuna experience mbaya kuliko hizi na still tumesurvive na sasa tuko paradiso
 
af sio mdogo wewe ujue!

ila hebu twende taratibu! Kongosho kaa kushoto\
sasa mamii dah!
manake umenifanya niwe na akili baa ya hii post!\
ilikuwaje ukadate na huyo mtu,mkaoana,mkazaa, halafu mpka mnafika hapa!\
manake si umeamua kuongea wacha tuongee!nimeacha kupiga puff hapa ila ombea King'asti asije humu!

Aliniapproach moja ya jumapili baada ya ibada na ilinichukua miezi sita kusoma na kumkubalia ombi lake. tulikuwa marafiki kwa miaka miwili na mwaka wa tatu tukaoana na maisha ndo yakaanza hapoo.
 
very clever akiri za kuzaliwa mhimu....! karuka mkojo ngoja akanyage mavi aone uchungu wake!
Na mie mke mwenzio leo ndio nahamia rasmi mjengoni,ukinyanyuka tu wenzio twakaa so usije ukabadili mawazo ati
 
Haisaidii kama hushirikishi na akili za kichwani unazozipata kwa kufunga huko. Ni sawa na kuumwa malaria afu ukafunga tuu wakati Mungu kawaonesha binadamu paracetamol na metakelfin. Use your brain, ulipewa for free, utilise it.


Ila unahitaji experience pia ya kufanya maamuzi na kuwa hardcore kama mmeo.

Kila jumatatu na alhamis huwa nafunga na kufanya maombi ya faragha kwa ajili ya ndoa yangu huu mwaka wa 4 sasa.
 
acha akiri za kujifunza ebu apply za kuzaliwa bora ukanyage mkojo kuliko mavi akiri kumkichwa!
Aliniapproach moja ya jumapili baada ya ibada na ilinichukua miezi sita kusoma na kumkubalia ombi lake. tulikuwa marafiki kwa miaka miwili na mwaka wa tatu tukaoana na maisha ndo yakaanza hapoo.
 
Mwanamme hata akutongoze kwa miaka 10, ukimkubali tu na kuishi pamoja lazima migongano itakuwepo. Youn can't eliminate conflicts, but you can manage conflicts.

Aliniapproach moja ya jumapili baada ya ibada na ilinichukua miezi sita kusoma na kumkubalia ombi lake. tulikuwa marafiki kwa miaka miwili na mwaka wa tatu tukaoana na maisha ndo yakaanza hapoo.
 
natafuta mke anayenipenda kwa mabaya yangu maana mazuri yangu kila raia hapa duniani anayataka!
kuwa mwanamke umeskia?? na sio uwe mschana.
ndo mana kifua chako kina manyonyo mawili hayo yanakuongezea nguvu ya kustahimili. ningelikuwa ni mimi nigetuliza akili yangu nikamwita Mungu nikamuuliza niani hatma yangu akiniambia sepa basi taratibu tena pasi hata jiran kujua nasepa akisema nitambadilisha basi namwabia rekebisha ma here for him.

acha ueki na uneng'ene acha kujiona huna msaaa na kwamba umesukumiwa kwenye kichaka cha miiba. amka uwe active kwaajili hata ya mwanao. usione watu wanakushauri wengine tuna experience mbaya kuliko hizi na still tumesurvive na sasa tuko paradiso
 
Back
Top Bottom