Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kuringa ni moja ya tabia zangu bila hata ya hiyo picha kuwa mimi naringa tayari.
Hapana hakunichumbia jamvini alinifahamia kanisani ila huku mitandaoni ndo anakoshinda na kulala, lengo langu message imfikie na asinitafute asiponiona nyumbani kwake maana naondoka.
unless kama sio mume wandoa ama ambaye unataka awe na mawasiliano na mwanae.
Kongosho na wengine wanaongea mambo ya msingi sana ila kwa njia ya utani. Nakushauri acha utoto rudi nyumban kwako msubiri mumeo arudi kaachini ongea nae na kama unaondoka huna haja ya kujikimbiza kwa kificho. Ondoka akiwepo ili aje leo mkewangu na mtoto wanaondoka.
unachokifanya wewe naona ni kama vile unampango wa kumfanyia uhalifu, ama wa kutaka kumkomoa kumbe ni heri muagane kwa amani ili siku mwanao akitaka kumwona baba yake isiwe kitu kigumu kwako.
sikatai yawezekana maisha ya kuish nae yamekuchosha lkn jiulize swali je huyu mwema malaika unayesema unamwomba Mungu akupe utampata wapi?? kama ulishina kanisani viti vya mbele na ukampata huyu sembuse sasa ambapo umemwacha mume wa ujana wako unategemea akusikie??
. Kudadadeki talaka tano
Sasa kama huangalii tamthilia wala movie, mbona umevaa uhusika wa sterring wa latin soap operas?
Yaani mie hapa nina pop corn na soda, ready for the movie. Tatizo tu sijamuona sterring msaidizi.
Labda, how old are you? Una mawasiliano na nduguzo kama mama, dada, shangazi, bibi, binamu?
Na je, uko karibu ndugu yeyote ya mzazi mwenzio? Labda dada, kaka?
Ukinijibu hayo, nitakuambia kitu.
Kwani ukila bar nyumbani huli..??? AU ukila asubuhi mchana na jioni huli..??? Au ukila nyumba ndogo nyumba kubwa huli..??? Au ukila nyumba kubwa, huko kwa mpango wa kando huli..?? Chezeya genye msindo weye..!!! full kuhitaji kula full time...akienda huko anakoshinda si anakuta keshapewa vya haja na Toria
Kila atakayemuuliza hali ana copy yake.Afu na wewe huu mtindo wa kuweka hako ka nukta mwamnzo umekatoa wapi? Ni swaggerrr? Huyu kalimwa talaka 9
Kuna jamaa alimuacha mkewe wa ndoa kwa mbwembwe na akaowa mwingine. Aliyemuacha walishazaa mtoto mmoja... Kuja kushtuka huyu mke mpya hazai, mwisho wa siku jamaa anaiba na mtalaka wake na hadi naingia mtandaoni, wameshazaa mtoto mwingine... ETI WANAENDELEA KUIBAna kama hiyo ndio sura yako basi unaaibisha ma kuivunjia heshima yake. sura nzuri inategemewa iende na tabia njema. sasa wewe sura nzuri halafu unamtaliki mumeo mtandaoni hujakuwa fair kwa hiyo sura.
muda mwingine wanaume wawe wanaagalia mke wa kuoa ukikimblia sura ndo ujue hata kumwagwa unamwagiwa mtandaoni.
yaani hakya mama tena ninavyoipenda ndoa yangu, yaani nimejitwika kichwani wallah manake hata kwenye sufuria nitakula ili tu idumu lkn kumbe kuna wengine hali ni tofauti.
Bidada utakuja kuona impact ya hili siku nyingine na utajilaumu sana. mume haachwi mtandaoni mume huachwa nyumbani tena mbele ya mashahidi na unaagana kwa amani.
Hebu walimi tusaidieni kulea, naona kuna mahali wazazi tumeshindwa kabisa.
Asante kwa kufafanua.
Ndio ujue hiyo ndoa ilikuwa ICU kitambo.
Kuna jamaa alimuacha mkewe wa ndoa kwa mbwembwe na akaowa mwingine. Aliyemuacha walishazaa mtoto mmoja... Kuja kushtuka huyu mke mpya hazai, mwisho wa siku jamaa anaiba na mtalaka wake na hadi naingia mtandaoni, wameshazaa mtoto mwingine... ETI WANAENDELEA KUIBA
Hata sijui hizo latin soap operas zinafananaje, this is not a movie jamani ni true life ambayo nimepitia, its sirias issue.
Nina miaka 30, ndugu nilionao ni wa baba mtoto tuu, mimi nilizaliwa mwenyewe nimelelewa na bibi nae alishakufa baba sikumfahamu wala ndugu zake, mama aliniacha kwa bibi wakati niko mdogo na aliolewa na mjerumani wakati nasoma primary hajarudi tena hadi leo na sina mawasiliano nae. Ndugu wa baba mtoto wangu siko karibu nao maana ni familia ambayo iko busy sana na mambo ya kazi na kutafuta hela hawana muda wa kusocialise hata ukienda mtembelea kama huna appointment humuoni na ukiweka appointment ni ten minutes anakwambia nina kikao zaidi ya hapo sina wa kuongea nae.
Lengo lanu si anijibu bali apate ujumbe na asihangaike kunitafuta nimeondoka, maana kila nilipojaribu kumpa ujumbe bila kupitia mitandaoni hakunipa nafasi sasa imenilazimu. Sihitaji anijibu maana wakati nalipohitaji majibu hakunipa.
Mke/Mume ni yule wa ujana wako... Hawa wanaofuata kuishi nao inakuwa taabu saana maana kila kitu anachokifanya mke/mume mpya, utafanya reference kwa uliyeachana naye..kaka yangu alimwacha mkewe kwa mbwembwe sana nilihubiri sana juu ya hili hakuskia, akavuta mchuma mwingine mdada anafanya kazi Tanesco, baada ya kuvuta ndani mwezi ulipoisha akaanza kuskia hivi leo zamu ya nani kupika?? mara hivi hizo nguo unamrundikia nani?? alipata hasira akampiga mkewe hadi kulazwa hosp, ilibidi amwachie kule kule hosp manake yalimshinda.
akarudi home kuanza kumwomba dingi akamwombee samahani aruiane na mkewe wa awali.
unless kama sio mume wandoa ama ambaye unataka awe na mawasiliano na mwanae.
Kongosho na wengine wanaongea mambo ya msingi sana ila kwa njia ya utani. Nakushauri acha utoto rudi nyumban kwako msubiri mumeo arudi kaachini ongea nae na kama unaondoka huna haja ya kujikimbiza kwa kificho. Ondoka akiwepo ili aje leo mkewangu na mtoto wanaondoka.
unachokifanya wewe naona ni kama vile unampango wa kumfanyia uhalifu, ama wa kutaka kumkomoa kumbe ni heri muagane kwa amani ili siku mwanao akitaka kumwona baba yake isiwe kitu kigumu kwako.
sikatai yawezekana maisha ya kuish nae yamekuchosha lkn jiulize swali je huyu mwema malaika unayesema unamwomba Mungu akupe utampata wapi?? kama ulishina kanisani viti vya mbele na ukampata huyu sembuse sasa ambapo umemwacha mume wa ujana wako unategemea akusikie??
Mmmmmh dada maneno yako yameniingia ila ........................
Kiufupi sina mpango wa kumfanyia uhalifu wowote nabeba nguo zangu tuu na za mtoto. Tatizo pia hanipi hiyo nafasi ya kumuaga nimejaribu njia zote anazofanya mwanamke mwenye boma kutunza boma lake nimeshindwa sijajua nakosea wapi kwangu naona kama naishi bure nikiendelea kukaa humu, nilishawahi kuondoka mwaka mzima nilikuwa kwa wifi yangu wala hakunitafuta mimi wala mtoto wala kuulizia kama hata nimepata ajali au la. Kweli ni mume wa ujana wangu lakini.............!!!???
Hata sijui hizo latin soap operas zinafananaje, this is not a movie jamani ni true life ambayo nimepitia, its sirias issue.
Nina miaka 30, ndugu nilionao ni wa baba mtoto tuu, mimi nilizaliwa mwenyewe nimelelewa na bibi nae alishakufa baba sikumfahamu wala ndugu zake, mama aliniacha kwa bibi wakati niko mdogo na aliolewa na mjerumani wakati nasoma primary hajarudi tena hadi leo na sina mawasiliano nae. Ndugu wa baba mtoto wangu siko karibu nao maana ni familia ambayo iko busy sana na mambo ya kazi na kutafuta hela hawana muda wa kusocialise hata ukienda mtembelea kama huna appointment humuoni na ukiweka appointment ni ten minutes anakwambia nina kikao zaidi ya hapo sina wa kuongea nae.