Nilikupenda sana...

Nilikupenda sana...

Mkunde Original

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2013
Posts
807
Reaction score
647
Kwako baba mtoto,

Samahani nimekuja huku maana najua unashinda humu kuliko kushinda nyumbani, nimeamua kuvuja kwenye pakacha lako iwe nafuu kwako kulibeba, baki salama.

Nilikupenda sana mfano wa keki/chokoleti (napenda sana keki na chokoleti)

Lakini hukupendeka......., nimechoka hakika sijiwezi, kuishi tena mi na wewe
Ingawa nakupenda, lakini sitoweza.....

Ingawa rohoni nimekwisha, namwomba mola anisaidie, niweze kukusahau kabisa, nipate mwingine kushinda wewe.

Najua unausoma ujumbe huu muhusika ila leo ukirudi nyumbani hutanikuta, nitapotea kwenye taswira ya uso wako na maisha yako kabisa, hutaniona tena.

Naenda kuanza upya.

Aliyekuwa mkeo, mama mtoto wako na aliyekupenda daima,

Mkunde.

:disapointed::disapointed:
 
umekusanya mtaji wa kutosha au ndo unarudi kijijini kwa wazee,kama hujachukua endelea kumvumilia kama mwezi hivi ujichotee rasilimali mwaya.....kitaa ni pagumu thana.
 
Kwako baba mtoto,

Samahani nimekuja huku maana najua unashinda humu kuliko kushinda nyumbani, nimeamua kuvuja kwenye pakacha lako iwe nafuu kwako kulibeba, baki salama.

Nilikupenda sana mfano wa keki/chokoleti (napenda sana keki na chokoleti)

Lakini hukupendeka......., nimechoka hakika sijiwezi, kuishi tena mi na wewe
Ingawa nakupenda, lakini sitoweza.....

Ingawa rohoni nimekwisha, namwomba mola anisaidie, niweze kukusahau kabisa, nipate mwingine kushinda wewe.

Najua unausoma ujumbe huu muhusika ila leo ukirudi nyumbani hutanikuta, nitapotea kwenye taswira ya uso wako na maisha yako kabisa, hutaniona tena.

Naenda kuanza upya.

Aliyekuwa mkeo, mama mtoto wako na aliyekupenda daima,

Mkunde.

:disapointed::disapointed:
Ooooooooohh sikujua kama utabadilika x2

Baki salamaaaa kuonana nawe ni majaliwaa

Ooooh ulimwengu kweli una mambo mengi mamaaaaaaah x2

Baba mtoto.:wave:
 
Back
Top Bottom