Nilikuwa Kenya, Culture Shock!

Nilikuwa Kenya, Culture Shock!

Kijakazi

JF-Expert Member
Joined
Jun 26, 2007
Posts
7,093
Reaction score
10,469
Nikiwa kama Mtz nilipata bahati kufika Nairobi na nilikuwa huko kwa muda wa Mwezi mmoja! Kitu kikubwa kilichonishangaza ni kwamba Kenya au nisema Nairobi kuna Watu wengi sana hakuna Lugha wanayoijua kwa kwa ufasaha, yaani kuna Watu hawawezi kuongea Kiswahili chote kwa ufasaha, pia hawawezi kuongea kiingereza chote kwa ufasaha na cha ajabu kabisa pia hawawezi kuongea vilugha vya kikwao kama kijaluo au sijui Kikuyu pia kwa Ufasaha, hili kwangu mimi ilikuwa ni Culture shock! Sasa hawa watu wanaongea Lugha Gani kwa ufasaha kabisa na kwa umahili?
 
I presume this fella interviewed 4 million Nairobians before reaching his assertions. Apparently the people of Nairobi walk around like zombies, unable to communicate but still manage the biggest and wealthiest city in the region.
 
ilikuwa ni Culture shock!
Wenyewe wenye lugha hiyo hawasemi hivyo, wanasema "cultural shock."

kabisa na kwa umahili?
Hata sisi pia tuna matatizo sana na lugha yetu wenyewe, utakuta watu, hasa hasa wale wanaotokea maeneo ya mbali na mijini, wanashindwa kutamka au kuandika kwa ufasaha neno "umahiri."
 
zamani kidogo kabla sijafika kenya,i had this poor view that all people from kenya mainland speak english.nilipo fika ndio nikajionea maajabu.baadhi hawajui kiswahili wala hawajui kizungu.kiswahili chao ni kibovu mno,na hata kizungu chao pia.wanachojua kuongea kwa ufasaha ni lugha zao za ushagoo tu.at some point navutiwa sana na kiswahili cha rafiki zangu wa-coast.jamaa wanaongea swahili kitamu sana na hawaringi.
 
Nikiwa kama Mtz nilipata bahati kufika Nairobi na nilikuwa huko kwa muda wa Mwezi mmoja! Kitu kikubwa kilichonishangaza ni kwamba Kenya au nisema Nairobi kuna Watu wengi sana hakuna Lugha wanayoijua kwa kwa ufasaha, yaani kuna Watu hawawezi kuongea Kiswahili chote kwa ufasaha, pia hawawezi kuongea kiingereza chote kwa ufasaha na cha ajabu kabisa pia hawawezi kuongea vilugha vya kikwao kama kijaluo au sijui Kikuyu pia kwa Ufasaha, hili kwangu mimi ilikuwa ni Culture shock! Sasa hawa watu wanaongea Lugha Gani kwa ufasaha kabisa na kwa umahili?
Karibu Kibera
 
The Biggest and the wealthiest? Source plz?

kipofu kauona mwezi bwana, acha ajishangalie. Na ndio lugha inavyozaliwa. Wakenya kwa kuvunja lugha mnajulikana na nadhani dunia nzima mmechukua kombe.
I presume this fella interviewed 4 million Nairobians before reaching his assertions. Apparently the people of Nairobi walk around like zombies, unable to communicate but still manage the biggest and wealthiest city in the region.
 
zamani kidogo kabla sijafika kenya,i had this poor view that all people from kenya mainland speak english.nilipo fika ndio nikajionea maajabu.baadhi hawajui kiswahili wala hawajui kizungu.kiswahili chao ni kibovu mno,na hata kizungu chao pia.wanachojua kuongea kwa ufasaha ni lugha zao za ushagoo tu.at some point navutiwa sana na kiswahili cha rafiki zangu wa-coast.jamaa wanaongea swahili kitamu sana na hawaringi.

10 cent contribution.inferiority complex kawaida.what ever a kenyan does will be your business forever.
 
Nikiwa kama Mtz nilipata bahati kufika Nairobi na nilikuwa huko kwa muda wa Mwezi mmoja! Kitu kikubwa kilichonishangaza ni kwamba Kenya au nisema Nairobi kuna Watu wengi sana hakuna Lugha wanayoijua kwa kwa ufasaha, yaani kuna Watu hawawezi kuongea Kiswahili chote kwa ufasaha, pia hawawezi kuongea kiingereza chote kwa ufasaha na cha ajabu kabisa pia hawawezi kuongea vilugha vya kikwao kama kijaluo au sijui Kikuyu pia kwa Ufasaha, hili kwangu mimi ilikuwa ni Culture shock! Sasa hawa watu wanaongea Lugha Gani kwa ufasaha kabisa na kwa umahili?
Sijui vigezo vipi ulitumia maana hata Kiswahili ulichoandika hapa, kina onyesha una matatizo makubwa ya ufasaha wa lugha yenyewe. The problem with Tanzanians, you think just by speaking one language and limiting yourselves makes you proficient but in real sense, it only reduces your efficiency and ability to think. You live like prisoners of a language and one way of doing things. Come out and spread your wings and fly the world, enjoy like the rest of the world, no wonder we beat you in just about everything be it international or local despite the fact your country is so huge with everything good. Everybody out there is trying to learn and practice additional languages, here in Kenya, we celebrate our diversity, we excel beyond the shackles of monolingual, we encourage our children to learn as many languages as they can. Only recently albeit late as usual, Tanzania has seen some light and are beginning to consider changing their mode of instruction in schools allAfrica.com: Tanzania: New Education Policy Eyes English-Medium Schools
 
Nikiwa kama Mtz nilipata bahati kufika Nairobi na nilikuwa huko kwa muda wa Mwezi mmoja! Kitu kikubwa kilichonishangaza ni kwamba Kenya au nisema Nairobi kuna Watu wengi sana hakuna Lugha wanayoijua kwa kwa ufasaha, yaani kuna Watu hawawezi kuongea Kiswahili chote kwa ufasaha, pia hawawezi kuongea kiingereza chote kwa ufasaha na cha ajabu kabisa pia hawawezi kuongea vilugha vya kikwao kama kijaluo au sijui Kikuyu pia kwa Ufasaha, hili kwangu mimi ilikuwa ni Culture shock! Sasa hawa watu wanaongea Lugha Gani kwa ufasaha kabisa na kwa umahili?

Ulifanya huu utafiti wako kwa muda wa mwezi mmoja tuu????:biggrin:

Tena,,ni vipi ulivyo wahi kujua kwamba hata 'vilugha' vyao kama kijaluo
na Kikuyu hawafahamu sababu nilazima uwe unafahamu hivyo vilugha
ndivyo uweze kuwatoa makosa??????

Hiki si nikichekesho cha mwaka.

Kuja Kenya,,,kaa kwa miaka kama miwili,,kwa uchache,,tena uwe na watu
zaidi ya ishirini watakao kusaidia kwa hiyo kazi ya lugha na wazunguke
Kenya mzima ndivyo uweze kusema ambayo umeyaleta katika hii
thread.

Nenda mahali kama Marekani ama Uingereza ambapo utadhani kwamba kila mtuu
anaweza kukitumia kiingereza kwa ufasaha,,,bro, sis,,utapata " culture shock"
hiyo yako.:biggrin::biggrin:

Tebea bro,,,,utaona mengi na sihivyo unavyo fikiri.

Tena,,,lugha maana yake ni nini.

Ni kumwezesha mwanadamu kumfahamu mwenzake.

Sasa,,kama ungelisema eti wakenya hawafahamiani na sababu ni
lugha,,,yaani maghari barabarani yanangongana kila saa,,,,ukiitisha
soda dukani wanakuletea maziwa,,,ukienda benki kutoa pesa ule
mfanyi kazi wa benki anakudunga sindano,,,ukipeleka ngari lako garage
wabadilishe oil wana paka rangi,,,,


Hapo ningelisema Kenya tunashida ya lugha.

Lakini,,,upende usipende,,,ukweli ni kwamba Kenya ndicho kituo cha
East Africa.

Hivi juzi,,,TZ ilifukuza walimu maelfu kutoka Kenya.

Sitaki kuongeza zaidi lakini,,,Kizuri cha jiuza na kibaya cha jitembeza.

Mwisho,,,,Tembea na utajua kwamba si kwenu tuu ambapo chakula cha
pikwa vizuri.


Nimejaribu ku upindua kidogo huo msemo wa kiswahili,,, kwa sababu fulani.

Mimi mwenyewe,,na zungumza Kikuyu safi,,,Kiswahili sina shida saana,,,
Kiingera naongea vizuri kuliko wataliano wengi,,niliwahi kufunza wa faransa
hicho kiingereza ambacho ni cha madugu zao kutoka wiingereza,,,this this,,
'that is spade',,this,,,'that is soil'..this,,,, 'that is water'.

Kiarabu,,nilikisoma kwa uchache katika madrassa huko Lamu.

Wenye kiswahili safi katika hii Kenya kama coastal area ndio,,
kimaendeleo,,, wako nyuma ya wale hata kukitamka kiswahili
chenyewe ni shida.

Sasa,,maana ngani kuongea lugha safi mbali unaenda kulala
na,,,njaa.

Tafakari hayo ndugu.
 
so comfuse:
ugali = sima
umeme = stima
wanapenda kucheza miziki ya kachiki
 
Nikiwa kama Mtz nilipata bahati kufika Nairobi na nilikuwa huko kwa muda wa Mwezi mmoja! Kitu kikubwa kilichonishangaza ni kwamba Kenya au nisema Nairobi kuna Watu wengi sana hakuna Lugha wanayoijua kwa kwa ufasaha, yaani kuna Watu hawawezi kuongea Kiswahili chote kwa ufasaha, pia hawawezi kuongea kiingereza chote kwa ufasaha na cha ajabu kabisa pia hawawezi kuongea vilugha vya kikwao kama kijaluo au sijui Kikuyu pia kwa Ufasaha, hili kwangu mimi ilikuwa ni Culture shock! Sasa hawa watu wanaongea Lugha Gani kwa ufasaha kabisa na kwa umahili?

Wenyewe wanaita "Sheng"
 
Wanaongea Kikenya.

sheng....mchanganyiko wa eti kiswahili, kiinglish na lugha zao za asili na za kihuni. Ndiyo sababu watiti wao wanafeli sana kila mwaka mitihani ya lugha-kiingereza na kiswahili.
 
sheng....mchanganyiko wa eti kiswahili, kiinglish na lugha zao za asili na za kihuni. Ndiyo sababu watiti wao wanafeli sana kila mwaka mitihani ya lugha-kiingereza na kiswahili.

Kiswahili chenywe mchanganyiko wa lugha nyingi kiasi kwamba hakuna nayekimiliki. Na zaidi, Kiswahili mnacho andika nyie Wabongo inaonyesha bado hata hamkielewi. hebu pitia JF yote.
 
Back
Top Bottom