kadoda11
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 21,453
- 20,746
kuwa na lugha inayotambulika kimataifa ni hatua kubwa sana kimaendeleo, kama ulikua hujui au umeamua kujifanya hujui ujupe matumaini ya muda mfupi, huoni hao waingereza wnavyojivuni lugha yao kutumika dunia nzima, lugha huenda na tmaduni hivyo kusambaa kwa lugha pia ni kusambaa kwa tamaduni za jamii husika
hao wanaoona lugha haina faida kwa taifa wanajifariji tu.
nawashauri wachunguze ni namna gani nchi ya uingereza inapata faida kwa kupitia miradi mbalimbali ya uchapaji vitabu chini ya shirika lake la oxford press.
vitu vingine watu wanabisha tu ili kujirizisha.