Wewe al Qaeda ni lini ulikuwa Chadema..lolz..
Nilipojua Kampeni za Mbowe na comany yake ya Chama kumuandaa Mh Slaa kuwa ndio Mgombea wa urais, nilishtushwa sana. Kwa vile sikuwa na uwezo wa kutengua uchaguzi wao (kwa ukilitimba wao ndani ya chama) niliamua kujitoa.
Mnajua huyu mtu namfahamu, hana uwezo kabisa wa kuongoza nchi hii yenye wakazi zaidi ya watu 35 milioni. Uwezo wake kuongoza jimbo tu, na hivyo alistahili kuwa mbunge mpaka atapostaafu mwenyewe.
Sababu tano zinazomfanya kutofaa kuwa Rais:
1. Ataigawa nchi vibaya sana.
2. Atarudisha nyuma Demokrasia (huyu ni dikiteta no 1)
3. Si maarufu Dar wala Dodoma. sijui atakaa ikulu ya wapi.
4. Ndie mbunifu wa mavadhi ya CHADEMA (ishara ya vurugu)
5. Hana sera yeyote ile ya uchumi.
Hayo ni machache tu lakini udhaifu wake ni mwingi mno.
Ni heri kubaki bila chama kuliko kumpigia debe Mh Slaa. Ndio maana niliamua kukihama chama.
Post yako iko vague sana, unaona vipi utueleze kiundani zaidi?Nilipojua Kampeni za Mbowe na comany yake ya Chama kumuandaa Mh Slaa kuwa ndio Mgombea wa urais, nilishtushwa sana. Kwa vile sikuwa na uwezo wa kutengua uchaguzi wao (kwa ukilitimba wao ndani ya chama) niliamua kujitoa.
Mnajua huyu mtu namfahamu, hana uwezo kabisa wa kuongoza nchi hii yenye wakazi zaidi ya watu 35 milioni. Uwezo wake kuongoza jimbo tu, na hivyo alistahili kuwa mbunge mpaka atapostaafu mwenyewe.
Sababu tano zinazomfanya kutofaa kuwa Rais:
Ataigawa vipi nchi? Maelezo zaidi tafadhali.1. Ataigawa nchi vibaya sana.
Naomba utueleezee zaidi tafadhali.2. Atarudisha nyuma Demokrasia (huyu ni dikiteta no 1)
Kwani hapa wananchi wanachagua umaarufu ama uwezo wa kuongoza? Mwaka 1995 BWM hakuwa maarufu na bado alichaguliwa. Kweli watanzania tumeishiwa kiasi hiki mpaka tunachagua watu kwa vigezo vya umaarufu na sio utendaji wao wa kazi?3. Si maarufu Dar wala Dodoma. sijui atakaa ikulu ya wapi.
Mavadhi au mavazi?4. Ndie mbunifu wa mavadhi ya CHADEMA (ishara ya vurugu)
Slaa kama Slaa hana sera ya uchumi kwa sababu hagombei kama mgombea binafsi bali kwa kutumia ticket ya CHADEMA kwa hiyo nadhani mjadala unatakiwa uwe kuhusu sera ya uchumi ya chama chake.5. Hana sera yeyote ile ya uchumi.
Haya machache uliyoyaweka hayana mshiko tuongezee hayo mengine.Hayo ni machache tu lakini udhaifu wake ni mwingi mno.
Kwanza nakupongeza sana, na kwa ukweli una alama 10/10 kwa upande wangu.Hoja zangu kujibu hoja zako kuhusu mabadikiko Tanzania ni kama ifuatavyo:
1. Ataigawa nchi vibaya sana: Nchi tayari imeshagawanyika vibaya kwa matabaka ya walio nacho na wasio nacho. Hii ni rahisi kuleta mapigano kwani wasio nacho watachoka kuona walio nacho tu ndio wanaongoza, wanaishi kitajiri na kupata huduma bora za afya (private hospitals), elimu (academy schools), mazoezi ili wawe na afya nzuri (gym), etc. Watanzania wengi kwa sasa wanakuwa marginalized kitabaka na historia sehemu nyingine inaonesha, uki marginalize watu baada ya muda wataanza mapambani ya mabadiliko (kama sasa Tanzania) na kama hakuna njia watatumia nguvu. Wapinzani wanatetea sera zinazoelekeza kuondoa hayo matabaka ya masikini na matajiri
2. Atarudisha nyuma Demokrasia (huyu ni dikiteta no 1): Demokrasia tayari iko nyuma kwa sasa kwani vyama nya upinzani havina uhuru chini ya msajili wa vyama na mwenyekiti wa tume ya uchaguzi aliyechaguliwa na Rais. Vile vile mgawanyo wa mihimili mitatu ya dola: serikali, mahakama na bunge hauko wazi sababu rais ndio anateua jaji mkuu. Ili demokrasia idumishwe katiba yote ya sasa inabidi ipitiwe na kufanyiwa mabadiliko. Kwa sababu katiba hiyo ilitokana na chama tawala kwa siku zilizopita, kwa sasa inabidi ipitiwe kwa kushirikisha wananchi wote referendum kama Kenya. Kwa hiyo si kweli kwamba chama cha CCM ndio kinaweza kudumisha demokrasia kwa sababu kwa sasa hatuna demokrasia chini katiba ya ki dikteta inayompa rais madaraka mengi
3. Si maarufu Dar wala Dodomasijui atakaa ikulu ya wapi: Are you a Great Thinker? - Hii si hoja ya kisomi kwa sababu tatu muhimu: Kwanza, walipokuwa wanatetea masuala ya kitaifia kwenye bunge na kufanikiwa kuleta mabadiliko, suala la kwamba wanakaa wapi halikuwa na maana; Pili hoja inatetea ubaguzi na u- mkoa kwa maana ya kwamba ili mtu aweze kuwa kiongozi bora Tanzania ni lazima awe maarufu Dar na Dodoma. Je, wakati anagombea urais, Mkapa alikuwa na umaarufu kwenye hizo sehemu?; tatu, rais anaongoza serikali ambayo inaweza kuundwa na watu kutoka sehemu yoyote Tanzania ikijumuishwa Dar na Dodoma
4. Ndie mbunifu wa mavadhi ya CHADEMA (ishara ya vurugu): Are you a Great Thinker? Hii si hoja ya kisomi kwa sababu suala la kuhusisha mavazi na ishara ya vurugu halina uzito. Ni nani alikuambia yeye Slaa ndio kabuni hayo mavazi? Hata kama ni yeye kabuni, ni kwa namna gani hayo mavazi yanahusishwa na vurugu? Ni mavazi ya aina gani ambayo hayahusishwi na vurugu? Je, unaona ni sawa kwa mwanasiana wa sasa wa Tanzania kutembelea mwananchi masikini wa kutupwa akiwa amevaa suti ya shs. laki sita, kiatu cha laki mbili na gari la mamilioni?
5. Hana sera yeyote ile ya uchumi: Tatizo kubwa tulilo nalo ni ubadhilifu kwa maana ya kwamba viongozi wanafanya maamuzi yenye maslahi yao badala ya maslahi ya taifa. Sera nyingi za CCM kama za Mkukuta, Mkurabita, etc hazijaweza kubadilisha maisha ya Mtanzania wa kawaida. Hatutaki sera za kinadharia kwa sasa tunataka maamuzi yatakayobadilisha maisha ya watu wa chini na mabadiliko yakaonekana. Kwa miaka 15 sasa hali ya watu kijijini kwangu iko vile vile hakuna mabadiliko ingawa kumekua na sera nyingi tu zenye maneno matamu. Shule zimejengwa ndio lakini kwa wanakijiji kuweza kula mlo waliokuwa wanakula miaka 15 iliyopiwa kwa sasa ni ndoto. Mabadiliko tunayoyaona ni mijini tu kwenye watanzania wachache lakini vijjini hali ni mbaya. Kwa nini mpaka leo hatutumii maji ya Lake Victoria, Tanganyika, Nyasa kwa umwagiliaji Tanzania nzima? Mbona Egypt wanafaidika kwa Mto Nile? Haya mambo ni practical yanahitaji watu wanaofanya matendo zaidi ya maneno maneno mengi. Kwa kipindi kirefu sera za CCM zimekuwa za maneno tu na tunaona kwa macho yetu wanaoneemeka ni wachache wa mijini. Kwa walio wengi umasikini uko pale pale
Haya ndio majibu yangu ya hoja zako. Sasa soma halafu utoe hoja kujibu majibu yangu kwa dondoo hizi hizi ili tuendelee na mjadala huu mzuri kama Great Thinkers
Kwanza nakupongeza sana, na kwa ukweli una alama 10/10 kwa upande wangu.
Sioni aibu kusema kwa siku mbili toka hii thread iwe hewani, hakuna aliyejibu hoja zangu. Mtu mwingine aliyekaribia kujibu hoja ni 'babadesi' kuhusu mavazi ambae yeye nilimpa alama 2/10. Waliobaki wengi wamenitisha na kuishia kutukana tu. Matu.si si asili yangu na hata kama utaniona nimetoka nje ni kuhusu kutofautiana kimtazamo tu na wala si ma.tusi
1. Nakubaliana nawe ila mgawanyo unaouzungumzia nimatokeo ya kukubali ubepari ambapo watanzania wote tumakubali reform hiyo. lakini Mh Slaa akiingia madarakani mgawanyo utazidi mara mbili kwa sababu hatapata support bungeni na atalazimisha kukaa na wabunge 30% kwa nguvu. Ktk nchi zilizooendele mambo yakienda kombo wanajiuzulu mfano(Baruso- Italy)- sasa huyu atafanya nini.
2. Na 30% hawezi kuleta demokrasia hilo sina haja hata ya kulijadili.
3. Umetoa mfano wa Mkapa, lakini unajua Mkapa aliua wangapi Dar. Wengine hata alikuwa hasalimiani nao kwa kushikana mikono, ukweli Makamba na Mahita ndio walikuwa wasemaji wakuu wa Mkapa Dar. Unaweza ukafikiri hilo Dogo, lakini hata Mwl alitumia mbinu nzuri sana ya kuishika Dar (ni mjadala mrefu huu staingia kiundani). UD walipoandamana wakati wa Mwinyi aliwaita wazee wa Dar na kuwa hutubia, halikadhalika Kikwete mambo yalipomuendea kombo na wafanyakazi. Gadafi alihamisha makao makuu kwenda Tripoli baada ya kuchukiwa kule makao makuu-fuatilia.
4. BabaDesi kashamaliza, mimi sina la kusema. Hivi unahisia gani ukiyaona mavazi ya fuatayo: Mgambo, JKT, Polisi, JWTZ. Tunaweza kuiwa katika hisia tofauti, lakini mimi huwa najua kuna jambo limetokea. Wahuni huwaita wazee wa kazi.
5. Nakubaliana nawe, lakini hapa kazi ipo. Kusema bungeni ni kitu kingine lakini kuwa katika utendaji ni jambo jingine kabisa. Hii ni jinsi mimi ninavyomuona huyu Mheshimiwa, na ndio maana nimesema mara nyingi kuwa bado ninamkosa kama mbunge. Hapa tunaweza tukatofautiana lakini si kitu na ndio maana ya kura.
Any way nimejibu kifupi sana ili nisiwachoshe wasomaji.
Nilipojua Kampeni za Mbowe na comany yake ya Chama kumuandaa Mh Slaa kuwa ndio Mgombea wa urais, nilishtushwa sana. Kwa vile sikuwa na uwezo wa kutengua uchaguzi wao (kwa ukilitimba wao ndani ya chama) niliamua kujitoa.
Mnajua huyu mtu namfahamu, hana uwezo kabisa wa kuongoza nchi hii yenye wakazi zaidi ya watu 35 milioni. Uwezo wake kuongoza jimbo tu, na hivyo alistahili kuwa mbunge mpaka atapostaafu mwenyewe.
Sababu tano zinazomfanya kutofaa kuwa Rais:
1. Ataigawa nchi vibaya sana.
2. Atarudisha nyuma Demokrasia (huyu ni dikiteta no 1)
3. Si maarufu Dar wala Dodoma. sijui atakaa ikulu ya wapi.
4. Ndie mbunifu wa mavadhi ya CHADEMA (ishara ya vurugu)
5. Hana sera yeyote ile ya uchumi.
Hayo ni machache tu lakini udhaifu wake ni mwingi mno.
Ni heri kubaki bila chama kuliko kumpigia debe Mh Slaa. Ndio maana niliamua kukihama chama.
1. Demokrasia imeshachakachuliwa na JK tayari - kungekuwa na demokrasia angewanyanyasa WAZEE wa watu kwa HAKI yao?? mbona MKAPA aliwapa kiasi?? ameshindwa nini kumalizia zilizobaki??? JK ni dictotor no. 1 aliyejificha kwenye nguo za rangi ya kijani
2. Eti Slaa sio maarufu Dar na Dodoma - ha ha haaaaaaaa - we unataka awe maarufu ki vipi??? na kwanini Dar na Dodoma tu??? yaani great thinker upeo wako wa kuwaza ni Dar na Dodoma - pole sana
3. Eti amebuni sare za chadema - whaaaaaaaaaat!!!! sie tunaongelea maendeleo ya nchi wewe unaongelea mavazi - sasa hiyo sare (tshirts na kofia za kijani na njano) ndio zinakusaidia nini???? mavazi sio TIJA wala HOJA - sie tunataka MABADILIKO period!!! na CCM imechemsha - imeshindwa kuyaleta - RUSHWA too much - UBADHIRIFU too much URASIMU too much - UONGO too much -
Hivi mtu unaandika eti mei nimeacha kuwa chama fulani - so what??????????????? thats your own business - UTAJIJUA MWENYEWE NA KUHANGAIKA KWAKO - wenzio ndio kwanza tunatoa michango kwa ajili ya CHADEMA - DR SLAA YUKO JUU - JUU - JUU ZAIDI!!!!!!!!!!!!!!!!!
Kwanza nakupongeza sana, na kwa ukweli una alama 10/10 kwa upande wangu.
Sioni aibu kusema kwa siku mbili toka hii thread iwe hewani, hakuna aliyejibu hoja zangu. Mtu mwingine aliyekaribia kujibu hoja ni 'babadesi' kuhusu mavazi ambae yeye nilimpa alama 2/10. Waliobaki wengi wamenitisha na kuishia kutukana tu. Matu.si si asili yangu na hata kama utaniona nimetoka nje ni kuhusu kutofautiana kimtazamo tu na wala si ma.tusi
Mi ni mtz na sijakubali hiyo reform..1. Nakubaliana nawe ila mgawanyo unaouzungumzia nimatokeo ya kukubali ubepari ambapo watanzania wote tumakubali reform hiyo. lakini Mh Slaa akiingia madarakani mgawanyo utazidi mara mbili kwa sababu hatapata support bungeni na atalazimisha kukaa na wabunge 30% kwa nguvu. Ktk nchi zilizooendele mambo yakienda kombo wanajiuzulu mfano(Baruso- Italy)- sasa huyu atafanya nini.
Ni kweli huezi kujadili assumption kwa sababu ina-exists kwenye kichwa chako tu, it is not a real data.2. Na 30% hawezi kuleta demokrasia hilo sina haja hata ya kulijadili.
Pointless..makazi ya rais hayana mafungamano yeyote na popularity ktk eneo la Ikulu, unless kama kiongozi mhusika aliingia Ikulu kwa mtutu au ujambazi wa kura. Kiongozi aliyechaguliwa kidemokrasia hana shaka kwenda popote,kuishi popote au kukutana na yeyote..and by the way huna empirical data kuthibisha kwamba ktk wagombea wetu ni yupi yupo popular wapi so far, unless utuambie wewe ni mfuga majini.3. Umetoa mfano wa Mkapa, lakini unajua Mkapa aliua wangapi Dar. Wengine hata alikuwa hasalimiani nao kwa kushikana mikono, ukweli Makamba na Mahita ndio walikuwa wasemaji wakuu wa Mkapa Dar. Unaweza ukafikiri hilo Dogo, lakini hata Mwl alitumia mbinu nzuri sana ya kuishika Dar (ni mjadala mrefu huu staingia kiundani). UD walipoandamana wakati wa Mwinyi aliwaita wazee wa Dar na kuwa hutubia, halikadhalika Kikwete mambo yalipomuendea kombo na wafanyakazi. Gadafi alihamisha makao makuu kwenda Tripoli baada ya kuchukiwa kule makao makuu-fuatilia.
Pumba.4. BabaDesi kashamaliza, mimi sina la kusema. Hivi unahisia gani ukiyaona mavazi ya fuatayo: Mgambo, JKT, Polisi, JWTZ. Tunaweza kuiwa katika hisia tofauti, lakini mimi huwa najua kuna jambo limetokea. Wahuni huwaita wazee wa kazi.
Thibitisha hoja yako ya awali kwamba Slaa hana sera ya Uchumi, usipaparike kama kuku kishingo alopigwa jiwe la utosini.5. Nakubaliana nawe, lakini hapa kazi ipo. Kusema bungeni ni kitu kingine lakini kuwa katika utendaji ni jambo jingine kabisa. Hii ni jinsi mimi ninavyomuona huyu Mheshimiwa, na ndio maana nimesema mara nyingi kuwa bado ninamkosa kama mbunge. Hapa tunaweza tukatofautiana lakini si kitu na ndio maana ya kura.
..si lolote si chochoteAny way nimejibu kifupi sana ili nisiwachoshe wasomaji.
Hoja zangu kujibu hoja zako kuhusu mabadikiko Tanzania ni kama ifuatavyo:
1. Ataigawa nchi vibaya sana: Nchi tayari imeshagawanyika vibaya kwa matabaka ya walio nacho na wasio nacho. Hii ni rahisi kuleta mapigano kwani wasio nacho watachoka kuona walio nacho tu ndio wanaongoza, wanaishi kitajiri na kupata huduma bora za afya (private hospitals), elimu (academy schools), mazoezi ili wawe na afya nzuri (gym), etc. Watanzania wengi kwa sasa wanakuwa marginalized kitabaka na historia sehemu nyingine inaonesha, uki marginalize watu baada ya muda wataanza mapambani ya mabadiliko (kama sasa Tanzania) na kama hakuna njia watatumia nguvu. Wapinzani wanatetea sera zinazoelekeza kuondoa hayo matabaka ya masikini na matajiri
2. Atarudisha nyuma Demokrasia (huyu ni dikiteta no 1): Demokrasia tayari iko nyuma kwa sasa kwani vyama nya upinzani havina uhuru chini ya msajili wa vyama na mwenyekiti wa tume ya uchaguzi aliyechaguliwa na Rais. Vile vile mgawanyo wa mihimili mitatu ya dola: serikali, mahakama na bunge hauko wazi sababu rais ndio anateua jaji mkuu. Ili demokrasia idumishwe katiba yote ya sasa inabidi ipitiwe na kufanyiwa mabadiliko. Kwa sababu katiba hiyo ilitokana na chama tawala kwa siku zilizopita, kwa sasa inabidi ipitiwe kwa kushirikisha wananchi wote referendum kama Kenya. Kwa hiyo si kweli kwamba chama cha CCM ndio kinaweza kudumisha demokrasia kwa sababu kwa sasa hatuna demokrasia chini katiba ya ki dikteta inayompa rais madaraka mengi
3. Si maarufu Dar wala Dodomasijui atakaa ikulu ya wapi: Are you a Great Thinker? - Hii si hoja ya kisomi kwa sababu tatu muhimu: Kwanza, walipokuwa wanatetea masuala ya kitaifia kwenye bunge na kufanikiwa kuleta mabadiliko, suala la kwamba wanakaa wapi halikuwa na maana; Pili hoja inatetea ubaguzi na u- mkoa kwa maana ya kwamba ili mtu aweze kuwa kiongozi bora Tanzania ni lazima awe maarufu Dar na Dodoma. Je, wakati anagombea urais, Mkapa alikuwa na umaarufu kwenye hizo sehemu?; tatu, rais anaongoza serikali ambayo inaweza kuundwa na watu kutoka sehemu yoyote Tanzania ikijumuishwa Dar na Dodoma
4. Ndie mbunifu wa mavadhi ya CHADEMA (ishara ya vurugu): Are you a Great Thinker? Hii si hoja ya kisomi kwa sababu suala la kuhusisha mavazi na ishara ya vurugu halina uzito. Ni nani alikuambia yeye Slaa ndio kabuni hayo mavazi? Hata kama ni yeye kabuni, ni kwa namna gani hayo mavazi yanahusishwa na vurugu? Ni mavazi ya aina gani ambayo hayahusishwi na vurugu? Je, unaona ni sawa kwa mwanasiana wa sasa wa Tanzania kutembelea mwananchi masikini wa kutupwa akiwa amevaa suti ya shs. laki sita, kiatu cha laki mbili na gari la mamilioni?
5. Hana sera yeyote ile ya uchumi: Tatizo kubwa tulilo nalo ni ubadhilifu kwa maana ya kwamba viongozi wanafanya maamuzi yenye maslahi yao badala ya maslahi ya taifa. Sera nyingi za CCM kama za Mkukuta, Mkurabita, etc hazijaweza kubadilisha maisha ya Mtanzania wa kawaida. Hatutaki sera za kinadharia kwa sasa tunataka maamuzi yatakayobadilisha maisha ya watu wa chini na mabadiliko yakaonekana. Kwa miaka 15 sasa hali ya watu kijijini kwangu iko vile vile hakuna mabadiliko ingawa kumekua na sera nyingi tu zenye maneno matamu. Shule zimejengwa ndio lakini kwa wanakijiji kuweza kula mlo waliokuwa wanakula miaka 15 iliyopiwa kwa sasa ni ndoto. Mabadiliko tunayoyaona ni mijini tu kwenye watanzania wachache lakini vijjini hali ni mbaya. Kwa nini mpaka leo hatutumii maji ya Lake Victoria, Tanganyika, Nyasa kwa umwagiliaji Tanzania nzima? Mbona Egypt wanafaidika kwa Mto Nile? Haya mambo ni practical yanahitaji watu wanaofanya matendo zaidi ya maneno maneno mengi. Kwa kipindi kirefu sera za CCM zimekuwa za maneno tu na tunaona kwa macho yetu wanaoneemeka ni wachache wa mijini. Kwa walio wengi umasikini uko pale pale
Haya ndio majibu yangu ya hoja zako. Sasa soma halafu utoe hoja kujibu majibu yangu kwa dondoo hizi hizi ili tuendelee na mjadala huu mzuri kama Great Thinkers