Zawadi Ngoda
JF-Expert Member
- Aug 13, 2009
- 4,175
- 2,294
- Thread starter
-
- #121
Na haya 'mavadhi' yanahashiria nini?
Na hawa watoto ndio wanaandaliwa?
ULIKUWA AUNAOTA AU VIPI NJAA SEMA NAYO ILA UTAKUWA MJINGA PALE UTAKAPO ISHIWA KILE ULICHOPEWA JANA,
cONQUEST-HAUNA KADI YA CHADEMA ACHA UZUSHI PILIPILI ULIO LISHWA ITAKUWASHA MWENYEWE:mmph:
Kijani ni rangi ya amani ( sio Rais Amani). Vile vile ni Rangi ya Mazingira bora, kama mimea. Hivi hujui kuwa duniani kote sasa hivi hutumia rangi ya kijani kama mazingira bora.
Hata bendera ya Tanzania ina kijani. Sina zaidi.
naamini kwenye suala la uhuru wa maoni lakini vilevile inabidi admn uweke minimum IQ requirement kupost kwenye hii forum ,mtu anasema dr slaa si maarufu dar wala dodoma atakaa ikulu ipi? sikumbuki kusoma comment ya kipumbavu zaidi hii
[/COLOR]
Hapo kwenye nyekundu utakua umemweka malaria sugu kwenye ignore list. These are the kind of things we usually get from him.
Umbea mtupu!!!!Nilipojua Kampeni za Mbowe na comany yake ya Chama kumuandaa Mh Slaa kuwa ndio Mgombea wa urais, nilishtushwa sana. Kwa vile sikuwa na uwezo wa kutengua uchaguzi wao (kwa ukilitimba wao ndani ya chama) niliamua kujitoa.
Mnajua huyu mtu namfahamu, hana uwezo kabisa wa kuongoza nchi hii yenye wakazi zaidi ya watu 35 milioni. Uwezo wake kuongoza jimbo tu, na hivyo alistahili kuwa mbunge mpaka atapostaafu mwenyewe.
Sababu tano zinazomfanya kutofaa kuwa Rais:
1. Ataigawa nchi vibaya sana.
2. Atarudisha nyuma Demokrasia (huyu ni dikiteta no 1)
3. Si maarufu Dar wala Dodoma. sijui atakaa ikulu ya wapi.
4. Ndie mbunifu wa mavadhi ya CHADEMA (ishara ya vurugu)
5. Hana sera yeyote ile ya uchumi.
Hayo ni machache tu lakini udhaifu wake ni mwingi mno.
Ni heri kubaki bila chama kuliko kumpigia debe Mh Slaa. Ndio maana niliamua kukihama chama.
Kafulilo alipokihama CHADEMA alitoka hadharani na kueleza sababu za kuhama chama. Watanzania wote wakamsikilza na kumuelewa, hakuna aliyemueleza kwanini unatutaarifu kuwa umehama chama, si uamuzi wako au ni demokrasia n.k. Halikadhalika kwa Tambwe.
Leo masikini Zawadi nawaeleza sababu zangu za kuhama Chama mmekasirika na kunishutumu, eti dhambi yangu ni kuueleza umma tukio hilo. Binafsi nimeona ni muhimu sana kuwaeleza washiriki wenzangu si tu kwanini nimehama chama vile vile ni kuweka wazi kwanini 'KURA YANGU SITOMPA Mh Slaa'. Kweli binafsi sioni kama hilo ni kosa. Kwani ni kosa wewe kueleza kwanini hutampa kura yako 'Kikwete'?
Mmesema Mavazi si Muhimu, well, waulizeni wanasaikolojia Mavazi ya mtu yanavyoweza kumueleza mtu mwenyewe. Kifupi nilieleza hisia zangu na naeleza tena na tena hivyo ndivyo mimi ninavyohisi juu ya mavazi ya CHADEMA. Kuna aliyesema hata wakivaa mavazi ya KOMANDOO si kitu, hapana kwangu ni kitu.
Mwisho napenda kuwapa ishara za wakati: Huu ni wakati AMBAO UPEPO umemlenga JK na kumpeleka kikwete Ikulu.
Ujumbe wa leo: Nchi hii atakabidhiwa mtu aliye na vision ya uchumi-Kikwete, Rais ambaye popote afahamikapo duniani humuona kama ZAWADI kwa Afrika na Tanzania.
Ukifanya muhtasari wa hoja zenu zote utapata maneno mawili u kuwa 'UKWELI MNAUJUA' mnachofanya ni utani.
Sasa maswala ya nchi hayana utani, ukimchagua mtu akapoteza nchi basi ni vigumu sana kuirudisha katika mwelekeo sahihi. Jaribuni kufikiria watoto wenu ambao hawana haki ya kupiga kura nanyi ndio wawakilishi wao. Kura yako tar 31.10 ndio tegemeo la hawa watoto wenu, wajukuu na vitukuu. Ukifanya uamuzi sahihi wao baada ya miaka kadhaa watafaidika na watakusifu. Kumbuka Rome haikujengwa kwa siku moja.
La kuzingatia, usiige eti nchi fulani ilikitowa chama tawala basi tukitoe kwani sababu za wao kukitoa itatofautiana na ile ya nchini kwako Tanzania. Tumefika pazuri, sina maana kuwa watu kijijini wanamaisha mazuri ila narudia tena ROMA HAIKUJENGWA KWA SIKU M OJA. Hili nyie mwalifahamu.
Chagua Kikwete uendeleze kujenga nchi, ni chaguo la maisha yako ya baadaye, la wajukuu wako la uchumi.
Mafisadi walikuwa kabla yake si rahisi kuwatokomeza kwa siku moja, lakini upepo mkali wawafikia na sasa anataka kumalizia kazi aliyoibakiza.
PIGENI KAMPENI CHADEMA LAKINI CHAGUENI KIKWETE.
Nilipojua Kampeni za Mbowe na comany yake ya Chama kumuandaa Mh Slaa kuwa ndio Mgombea wa urais, nilishtushwa sana. Kwa vile sikuwa na uwezo wa kutengua uchaguzi wao (kwa ukilitimba wao ndani ya chama) niliamua kujitoa.
Mnajua huyu mtu namfahamu, hana uwezo kabisa wa kuongoza nchi hii yenye wakazi zaidi ya watu 35 milioni. Uwezo wake kuongoza jimbo tu, na hivyo alistahili kuwa mbunge mpaka atapostaafu mwenyewe.
Sababu tano zinazomfanya kutofaa kuwa Rais:
1. Ataigawa nchi vibaya sana.
2. Atarudisha nyuma Demokrasia (huyu ni dikiteta no 1)
3. Si maarufu Dar wala Dodoma. sijui atakaa ikulu ya wapi.
4. Ndie mbunifu wa mavadhi ya CHADEMA (ishara ya vurugu)
5. Hana sera yeyote ile ya uchumi.
Hayo ni machache tu lakini udhaifu wake ni mwingi mno.
Ni heri kubaki bila chama kuliko kumpigia debe Mh Slaa. Ndio maana niliamua kukihama chama.
Ndugu yangu ninakupenda sana, na pia naipenda sana Tanzania. Naamini watu wengi watakaoipigia CHADEMA kura ni watu ambao hawana hata kadi ya CHADEMA. Kama unamaanisha unachokisema, basi Mungu akufunulie na kukusaidia. Ila kama ni ushabiki tu, basi kabla hujatoka duniani utakuja kujutia maneno yako.
Kaa ufikilie, watu wote wenye akili wanaojua nini shida ya nchi hii wanakuambia Dr. Slaa anafaa na nchi inahitaji mtu kama yeye.
Narudia kama wewe si FISADI au mtoto wa FISADI, basi utakuwa umetumwa. Lakini hata hivyo wahurumie watoto na wakina mama wanaoteseka kwa maisha maisha magumu yaliyosababishwa na CCM. Mpigie DR. Slaa Kura Yako ili kama si wewe Uzao wako ufaidike na Kura yako Moja Tu. Yaani ni sawa na kuweka akiba benki.
Ni sawa na kuweka akiba BENKI-Ni maneno sahihi kabisa, lakini lazima ujue ni BENKI ipi unaweka, DECI au NBC, NMB au CRDB.
Unaweza kupata kigugumizi utapoambiwa uchague kati ya NBC, NMB au CRDB. Lakini kamwe hutashikwa na kigugumizi ikiwa uchaguzi ni kati ya DECI na Benki hizo nyingine.
Sina aibu kusema kuwa kumpa kura yako Mh Slaa ni sawa na kuweka pesa yako DECI.
Kumchaguia Kikwete ni sawa na kuweka pesa yako NBC, NMB au CRDB.
Uchaguzi ni wako.
Mimi si FISADI wala Mtoto wa FISADI, bali ninachojua ni kuwa kukuwa kwa uchumi nchi zote za Afrika ni kati ya 5-8%. Sisi uchumi wetu mwaka jana pamoja na mtikisiko wa uchumi ulikuwa kwa 6.5%, hivyo mambo si mabaya. Sasa kwanini tusimchague Kikwete.
Jamani tuwe na shukurani wakati mwingine, tutapata laana!
Buahahaha eti rangi ya kijani ni ya amani, na rangi nyeupe ni ya nini? Hao wanajeshi wanaovaa migwanda ya kijani ambao kila siku wanapiga raia wasio na hatia nao ni watetezi wa amani? Duh wewe kiboko eti kutumia rangi ya kijani ni kama mazingira bora Kinacholeta mazingira bora ni vitendo sio rangi ya nguo.Kijani ni rangi ya amani ( sio Rais Amani). Vile vile ni Rangi ya Mazingira bora, kama mimea. Hivi hujui kuwa duniani kote sasa hivi hutumia rangi ya kijani kama mazingira bora.
Hata bendera ya Tanzania ina kijani. Sina zaidi.