Nilikuwa mlevi sana wa kuokota wanawake wa kila aina nikafilisika

Nilikuwa mlevi sana wa kuokota wanawake wa kila aina nikafilisika

Wakati huo nilikuwa nipo njema Sana kiuchumi, sasa katika harakati za ulevi nikakutana na mdada bar, tukalewa tukaenda guesti mdada akalala chali kuomba mzigo akaniambia panda mgongoni, nimle kisamvu.

Kwa akili za kilevi nikamchamata baada ya hapo nikawa nimenogewa kula kisamvu lakini nilifilisika na kuwa na maisha magumu. Mtaalamu mmoja akaniambia huyo dada alisepa na nyota.
Mmmh mambo ya Sheila hayo ... kapime tu mkuu
 
Yaani uendekeze umalaya halafu usingizie umerogwa nyota imeibwa..? 😂😅 Uzinzi hufilisi pesa na akili, Pombe humaliza pesa...
 
Wakati huo nilikuwa nipo njema Sana kiuchumi, sasa katika harakati za ulevi nikakutana na mdada bar, tukalewa tukaenda guesti mdada akalala chali kuomba mzigo akaniambia panda mgongoni, nimle kisamvu.

Kwa akili za kilevi nikamchakata baada ya hapo nikawa nimenogewa kula kisamvu lakini nilifilisika na kuwa na maisha magumu. Mtaalamu mmoja akaniambia huyo dada alisepa na nyota.
Hyo kula kisamvu tu ni Laana kubwa
Hapo usimsingizie mdada wa Watu!
Fanya toba ili mwenyez mungu awe radhi nawe
 
Kisheria inabidi ukamatwe.
Kufanya mapenzi kinyume na maumbile kwa sheria za nchi yetu ni kosa na ikithibitika utafungwa kifungo kisichopungua miaka mitano.
 
Shida ilikua ukishapiga, mnarudi kunywa siku nzima ili ukazibue tena. Pombe haifilisi kama una timing nzuri
 
Back
Top Bottom