Mervin
JF-Expert Member
- Sep 28, 2021
- 1,914
- 2,630
Kwani ni lazima kila anae andaa thread iwe ina mhusu yeye??Member since 2013
Umemaliza form four mwaka jana sio?Pole
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani ni lazima kila anae andaa thread iwe ina mhusu yeye??Member since 2013
Umemaliza form four mwaka jana sio?Pole
Kama vipi hivyo vya maana mkuu 😀😀Wewe ni mpuuzi, badala ya kusoma vitu vya maana, umekazana na kutibu watu.
Teknolojia, nadhani umeelewa. Chochote kinachohusu teknolojia na kiwe na hesabu ndio cha kusoma.Kama vipi hivyo vya maana mkuu 😀😀
Sahihi kaka.Teknolojia, nadhani umeelewa. Chochote kinachohusu teknolojia na kiwe na hesabu ndio cha kusoma.
Ila nadhani kama mtu anapenda udaktari aachwe asome udaktari maana kila mtu na passion yakeTeknolojia, nadhani umeelewa. Chochote kinachohusu teknolojia na kiwe na hesabu ndio cha kusoma.