Joseph Carlo
Member
- Aug 29, 2018
- 8
- 3
labda anataka inywe juisi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mazda rx-8 inatumia rotary engine, cc ndogo ila power kubwa hence wese la kutoshaSi kweli mkuu nilikuaga na mazda rx-8 2005 model na nilishawshi kuisema humu jf ina cc 1300,4 clyinders inatoa Hp 200 na zaidi lkn inatembea kuliko Altezza na gari za aina hio labda subaru forester turbo+sti wrx ndo zilizikua zinanikimbiza kwa kiasi chake.
Ila ulaji wake wa mafuta ilikua ni lita 1 km 6(kumbuka ina cc 1300 tu) na inakula engine oil sio kitoto coz ni rotary na sio hizi piston engine.
Kwahiyoulishawahi kuwa mfilaji?Mimi hapana mambo hayo nimeokoka kweli nampenda yesu nimetubu dhambi nakuacha sawasawa na neno kenye biblia linalosema "afichae dhambi zake hatafanikiwa, bali yeye aziungamae na kuzia acha atapata rehema"(mithari 28:13) so mimi nimeungama uzizi, tamaa mbaya ,kupiga punyeto, ufiraji, hasira, kiburi, matusi , dharau nazingiene kama hizo na nimekubari kiziaacha na yesu kanisamee kweli na ushindi nimepata na wew njoo kwa YESU utumbu dhambi ulizonazo (uzizi) ili ufike mbinguni usipofanya ivo jihanam inakusubili
KumbeeeYuko right mkuu...sasa ununue Brevis cc 2500 still ni gari la chini na barabara zetu kila siku unagonga chini unaharibu mavyuma tuu!...the same centimeter cylinder si bora ununue hizo SUV harrier or klugger?
Sent using Jamii Forums mobile app
Safi umefanya maamuzi sahihi.Mimi hapana mambo hayo nimeokoka kweli nampenda yesu nimetubu dhambi nakuacha sawasawa na neno kenye biblia linalosema "afichae dhambi zake hatafanikiwa, bali yeye aziungamae na kuzia acha atapata rehema"(mithari 28:13) so mimi nimeungama uzizi, tamaa mbaya ,kupiga punyeto, ufiraji, hasira, kiburi, matusi , dharau nazingiene kama hizo na nimekubari kiziaacha na yesu kanisamee kweli na ushindi nimepata na wew njoo kwa YESU utumbu dhambi ulizonazo (uzizi) ili ufike mbinguni usipofanya ivo jihanam inakusubili
We jamaa ulizingua sana, taa kitu gani, unaacha tu watu wapige honi unashuka kutafuta kitu roho inapenda, hata traffic kama sio mnoko angeelewa tu.Off Topic... Alert! ALERT!
Nimegundua kuwa Witnessj ni mdada wakishua. Kuna sababu kubwa kwanini wale wakina skysrapa, sijui skylet, Rubi, Demi, misschaga na yule mwenye dp za mahips hips hawajaonekana humu. That means ni wapanda daladala[emoji12] . Kama nimekuuzi am sorry 4 zati, take this with a grain of salt and laugh with me[emoji23] .
Kiukweli natafuta wadada Kama nyie witnessj siwapati. Zaidi ya kuwaona kwenye foleni Posta tu, sijui machimbo yenu wapi. Am talking about ladies like you mnaoendesha magari mazuri, achana na hawa wa IST, tabia zao sawa na za wa daladala. Very stubborn.
Kuna siku nilikutana na mdada yupo ndani ya Range Rover Red Cross kwenye mataa. Nikabidi niweke bonge la music nianze kuimba 'Endi I will du enyithing 4 ya!!!' Nikapata attention[emoji2] . Despite the fact siku hii nilitoka na Funcargo imegongwa mbele kiaina, akaongea na Mimi. Piga vocal Kama zote akatoa karatasi kuniandikia number. Time anarusha paper, napigiwa honi foleni imesogea [emoji35] [emoji35] karatasi ikagonga kioo Cha nyuma chini. Nilidhani na upande wake utasogea. Nikampoteza. Kwa kweli nilitamani niwashe hazard nitafute ile paper naangalia nyuma hata range siioni[emoji17].
My question for you WitnessJ... Machimbo yako wapi? Na Mimi nihangout huko, naweza pata mwenye Porsche aiseee.
P.s Witnessj, are you taken here on JF?[emoji57] if not please be my Jf babe.
-callmeGhost
Sent using Jamii Forums mobile app
ndio nishawai ilasas nimeacha.....saw saw unauliza ushawaikuwa mzizi ...kwenye jamii wote wapo japokuwa vinaonekana ni vitendo vya aibu ..ikiamua kuacha unaacha na YESU anasamehe kweliKwahiyoulishawahi kuwa mfilaji?
Ulikuwa hujui mkuu?Kumbeee