Mh mbona unachagua hivyo basi nimeghaili sitakii situmi mtu
Basi baki nazo tuKutoa kunahitaji motivation! Motivation yng watu wa jinsia yako!
Sawa nimekuelewaHapana sijakwazika ila sikuweka uzi kutaka kushauriwa mkuu maana naona wengi wanashauri wakati nilitaka kujua mawazo yao juu ya wanawake wenye tattoo ila mmepokea kivingine kuwa nataka kuchora tattoo
Uko sahihi mama.Tatizo ni wanaochora na wanachorwa wapi. Huwezi kuchora tatoo sehemu zako zinazotakiwa zisitiriwe halafu ukapata heshima.
Tatizo lingine kwamba watu wengi wanaokaa uchi, picha za ngono wana tatoo hivyo imejenga picha kwamba ni ya watu wenye tabia chafu.
Pengine ingekuwa inachorwa na waheshimiwa viongozi , au viongozi wa dini ingebaki tuu kama urembo.
Nyeusi hazionekani jamani.Hata nyeusi unapaka tu unatia rangi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Lol, tunasemaga 'mitazamo gongana'Hapana sijakwazika ila sikuweka uzi kutaka kushauriwa mkuu maana naona wengi wanashauri wakati nilitaka kujua mawazo yao juu ya wanawake wenye tattoo ila mmepokea kivingine kuwa nataka kuchora tattoo
Uwe muwazi hivyo hivyo na msimamo wako[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Kati ya vitu sifanyi ni kama hivyo mkuu. Nawasikiliza tu ujinga wao nawaambia sio kila kitu lazima tufanye wote wengine tumeachia wengine.
Ebu chora auntie halafu unitumie pichaIla katatoo ka kiunoni huwa kananoga, basi tu yaani.
Hapana sio uonyeshe hiyo tatu mfano umechora kwenye paja,kiuno mtu hawezi ona lakini matendo yako yatakujulisha tu wewe ni mtu ganiOooh.. kwamba akivaa nguo lazima aionyeshe eeh?
Na mimi nataka nianze kuchora piko tu sema naogopa nazo huwa kuna watu zinawakataa wanavimba mwili. Naishiaga kwenye henna tu sema nitachora piko very soon.Mm binafsi nazipenda lakini jinsi zinavyo tafsiriwa ndio Mmmmmh [emoji849]! Hata nikimuona mtu kachora halafu si msanii naona mtu aliedata balaa, ila kiukweli nazipenda
bhasi mwenyewe naishia kujichora piko.
Weeeeh sema kweli
Wavaa shanga oyeeee
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Tena ukute shanga zina rangi kama za chadema ama cuf! Yaani....! Daaah!