Nilikuwa namchukulia poa Makonda, sasa nimebadili mawazo

Nilikuwa namchukulia poa Makonda, sasa nimebadili mawazo

Kimalingano

JF-Expert Member
Joined
Mar 27, 2023
Posts
709
Reaction score
919
Mwanzoni Makonda akiwa ndiyo ametoka kuteuliwa nilidhani ataishia umbali wa kutupa jiwe. Nilikosea kufikri hivyo kwa sababu nimekuja kubaini yafuatayo;

1. Mikutano ya Makonda watu wanahudhuria wenyewe bila kusombelewa kwa gharama ya Chama.

2. Wahudhuriaji ni wasikivu sana. Ni tofauti na wahudhuriaji mikutano ya viongozi wengine wa CCM.

3. Makonda anajiamini sana kiasi kwamba haogopi kuwananga hata wapinzani wa Mama wa ndani ya CCM.

4. Amewakata kauli wapinzani wa ndani ya CCM na nje ya CCM.
 
Mwanzoni Makonda akiwa ndiyo ametoka kuteuliwa nilidhani ataishia umbali wa kutupa jiwe. Nilikosea kufikri hivyo kwa sababu nimekuja kubaini yafuatayo;

1. Mikutano ya Makonda watu wanahudhuria wenyewe bila kusombelewa kwa gharama ya Chama.

2. Wahudhuriaji ni wasikivu sana. Ni tofauti na wahudhuriaji mikutano ya viongozi wengine wa CCM.

3. Makonda anajiamini sana kiasi kwamba haogopi kuwananga hata wapinzani wa Mama wa ndani ya CCM.

4. Amewakata kauli wapinzani wa ndani ya CCM na nje ya CCM.

Hujaandika chochote but personal feelings. Swali langu hayo anayo agiza mangapi yametekelezwa mpaka sasa?
 
Mwanzoni Makonda akiwa ndiyo ametoka kuteuliwa nilidhani ataishia umbali wa kutupa jiwe. Nilikosea kufikri hivyo kwa sababu nimekuja kubaini yafuatayo;

1. Mikutano ya Makonda watu wanahudhuria wenyewe bila kusombelewa kwa gharama ya Chama.

2. Wahudhuriaji ni wasikivu sana. Ni tofauti na wahudhuriaji mikutano ya viongozi wengine wa CCM.

3. Makonda anajiamini sana kiasi kwamba haogopi kuwananga hata wapinzani wa Mama wa ndani ya CCM.

4. Amewakata kauli wapinzani wa ndani ya CCM na nje ya CCM.
Wajinga wote lazima wabadili mawazo wanaweza hata kumsifia Makonda kwa kumpiga Mzee Warioba

Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app
 
Mwanzoni Makonda akiwa ndiyo ametoka kuteuliwa nilidhani ataishia umbali wa kutupa jiwe. Nilikosea kufikri hivyo kwa sababu nimekuja kubaini yafuatayo;

1. Mikutano ya Makonda watu wanahudhuria wenyewe bila kusombelewa kwa gharama ya Chama.

2. Wahudhuriaji ni wasikivu sana. Ni tofauti na wahudhuriaji mikutano ya viongozi wengine wa CCM.

3. Makonda anajiamini sana kiasi kwamba haogopi kuwananga hata wapinzani wa Mama wa ndani ya CCM.

4. Amewakata kauli wapinzani wa ndani ya CCM na nje ya CCM.
Ungejua watanzania walivyo na dharau....
Ule ukimya wa wahudhuriaji wanamchora tuu
 
Mwanzoni Makonda akiwa ndiyo ametoka kuteuliwa nilidhani ataishia umbali wa kutupa jiwe. Nilikosea kufikri hivyo kwa sababu nimekuja kubaini yafuatayo;

1. Mikutano ya Makonda watu wanahudhuria wenyewe bila kusombelewa kwa gharama ya Chama.

2. Wahudhuriaji ni wasikivu sana. Ni tofauti na wahudhuriaji mikutano ya viongozi wengine wa CCM.

3. Makonda anajiamini sana kiasi kwamba haogopi kuwananga hata wapinzani wa Mama wa ndani ya CCM.

4. Amewakata kauli wapinzani wa ndani ya CCM na nje ya CCM.
Hapa unamvika kilemba ambacho baadae kisije mziba macho!
 
Mwanzoni Makonda akiwa ndiyo ametoka kuteuliwa nilidhani ataishia umbali wa kutupa jiwe. Nilikosea kufikri hivyo kwa sababu nimekuja kubaini yafuatayo;

1. Mikutano ya Makonda watu wanahudhuria wenyewe bila kusombelewa kwa gharama ya Chama.

2. Wahudhuriaji ni wasikivu sana. Ni tofauti na wahudhuriaji mikutano ya viongozi wengine wa CCM.

3. Makonda anajiamini sana kiasi kwamba haogopi kuwananga hata wapinzani wa Mama wa ndani ya CCM.

4. Amewakata kauli wapinzani wa ndani ya CCM na nje ya CCM.
Mahushurio hayo yanadhihirisha kuwa CCM ina hazina kubwa sana ya wapumbavu.
 
Back
Top Bottom